Yani hawa Ray na Kanumba ni vilaza kweli

Tukijadili mambo ya kitaifa itakuwa bora zaidi, suala la kununua gari la bei kubwa siyo issue, think critically!

we nawe mambo ya taifa gani? Tusipumue kujiburudisha na udaku kidogo mara ooh taifa hilo taifa toka tumeanza kulizungumza hakuna lolote zaidi ya shida kuongezeka
 
Wewe kama huna hizo mil 200, chagua dagaa wako, washa mkaa, pika, kula, ulale.
 

Jamani mwenzako akifanikiwa msifie tena umuombee kwa Mungu ili afanikiwe zaidi kwa kufanya hivo na ww ubarikiwa, wivu wa nn c wao!!!!
 
tuwape hongera zao,
siku wakishindwa kuyarun si watayabadilisha tu,
na kama ni hivyo kumbe kazi yao inalipa vizuri tu.
 
tumeumbwa tofauti na kila mmoja ana dreams zake .................wape hongera
 
Acheni watumie jasho lao, but waangalie yasije kuwakuta ya Mr Nice, wakumbuke ku invest.
 
Hela wametafuta wao. Matumizi mnapanga nyinyi. Hizi zote ni attributes za umasikini wa fikra.
 
ya kaisari mwachie kaisari
 
Hoja yako ni nini? Kama mifuko yao inaruhusu wewe inakuuma nini? Halafu eti unadriki kuwaita vilaza wewe ndio kilaza!
 
ukiona comments zao utawajua tu!!!
we nawe mambo ya taifa gani? Tusipumue kujiburudisha na udaku kidogo mara ooh taifa hilo taifa toka tumeanza kulizungumza hakuna lolote zaidi ya shida kuongezeka
 
Hizo picha umeka we kanumba mwenyewe unatafuta sifa huku nenda na picha zako huko kwa watoto wenzako huko fb.
 

dadangu umenifurahisha kweli hapa ofisini kuna kabosi kana ibilisi wa ngono kanapenda kweli lakini vibinti vilivyompatia mlo kila mmoja analalamika akipata kamoja kwishna ..lakini kesho ake anaitaji mwingine kweli tunaelekea pabaya
 
Mlitaka wapande bajaji muwaweke kwenye magazeti wamechokajamani mbona hivyokaulizeni uganda huko wasaniii wanajua maana ya matumizi na wakishindwa si wanayauza walishakuja kuwagongea hodi muwajazie mafuta
 
Kwanza nipe aina ya magari waliyonunua, pili naomba unithibitishie habari yako kwa ushahidi unaoingia akilini vingievyo nitajua umekurupuka kwa kuangalia magari yanayotumika kwenye magari ukajua ni ya kwao.
 
Milioni 200 ambazo ni karibia dola laki mbili?Acheni uongo,hayo magari hayana thamani hiyo hata yote mawili kwa mkupuo.
Zimekuwa Lamboghini?What is our current exchange rate dollarwise?
Ni mazuri lakini hilo la bei ni uongo,sijui inasaidia nini.
 
wamenunua magari gani? Toyota Stout au Datsun? Au wamefunika kabisa kwa kununua Bedford na Leyland Daf?
Mi nashauri wangenunua Isuzu Injection
Bedford ni bora zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…