Yani mtu uko freemason, halafu unaendesha Passo?

Yani mtu uko freemason, halafu unaendesha Passo?

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Juzi kati nkipita mitaa ya posta, huku dar, maeneo karibu na benki kuu nikaona jengo jeupe limeandikwa freemasons hall, nkajisemea akilini, mitandaoni watu wanasema Freemason wanaabudu shetani na ukijiunga huko unapata utajiri, dooh nikaangalia vizuri ndani ya fensi ya ile jengo nkaona Passo, statlet, escudo na magari yanayofanana na hayo yamepaki nje..nkasema wenye haya magari lazma watakua ni member wa freemason coz wamepaki ndani ya fens ya jengo

Nkaona huu upumbavu, bora ukope au u-hustle mwenyewe ununue paso, sasa unamwabudu shetani, unatoa kafara za damu ya watu, hlf unaendesha Passo, Sasa si bora uwe raia wa kawaida
 
Juzi kati nkipita mitaa ya posta, huku dar, maeneo karibu na benki kuu nikaona jengo jeupe limeandikwa freemasons hall, nkajisemea akilini, mitandaoni watu wanasema Freemason wanaabudu shetani na ukijiunga huko unapata utajiri, dooh nikaangalia vizuri ndani ya fensi ya ile jengo nkaona Passo, statlet, escudo na magari yanayofanana na hayo yamepaki nje..nkasema wenye haya magari lazma watakua ni member wa freemason coz wamepaki ndani ya fens ya jengo

Nkaona huu upumbavu, bora ukope au u-hustle mwenyewe ununue paso, sasa unamwabudu shetani, unatoa kafara za damu ya watu, hlf unaendesha Passo, Sasa si bora uwe raia wa kawaida
Ni fikra zako tuuuuuuuuu
 
Juzi kati nkipita mitaa ya posta, huku dar, maeneo karibu na benki kuu nikaona jengo jeupe limeandikwa freemasons hall, nkajisemea akilini, mitandaoni watu wanasema Freemason wanaabudu shetani na ukijiunga huko unapata utajiri, dooh nikaangalia vizuri ndani ya fensi ya ile jengo nkaona Passo, statlet, escudo na magari yanayofanana na hayo yamepaki nje..nkasema wenye haya magari lazma watakua ni member wa freemason coz wamepaki ndani ya fens ya jengo

Nkaona huu upumbavu, bora ukope au u-hustle mwenyewe ununue paso, sasa unamwabudu shetani, unatoa kafara za damu ya watu, hlf unaendesha Passo, Sasa si bora uwe raia wa kawaida
Ukitoa damu ya ndugu yako na wewe watoto zako wakikua lazima wakutoe roho.
huo ndio ushetani wenyewe.
ni bora upate hela ya kula kuliko kuwafuata hao mashetani.
 
Shetani hajawahi kumiliki kitu zaidi ya hirizi yenye nywele za kwapani.

Hata unaona wana vitu wame hustle tu. Kule ni ulaghai na baadae vifo
Hata shetani ana Mali pia,Ila zina masharti

Unajua Kwa nn watu wengi hawafanikiwi? Kwa sababu ni vuguvugu;yaani Kwa MUNGU wapo Kwa shetani pia wapo matokeo yake hawatambuliki wanasimamia wapi

MUNGU mwenyewe anasema ukitaka akubariki ni eidha uwe wa baridi au uwe wa moto,usiwe vuguvugu maana ukiwa vuguvugu atakutapika..Kwa hiyo na shetani nae hivyohivyo ukitaka akubariki ingia kwake miguu miwili usiwe vuguvugu_hapendi unafiki

Inasemekana Kanumba alikuwa vuguvugu,mwenzie huyu mbongo flavour kaamua kuwa wa baridi/Moto ndy maana anazidi kufanikiwa (nasikia Tu lakini)


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Juzi kati nkipita mitaa ya posta, huku dar, maeneo karibu na benki kuu nikaona jengo jeupe limeandikwa freemasons hall, nkajisemea akilini, mitandaoni watu wanasema Freemason wanaabudu shetani na ukijiunga huko unapata utajiri, dooh nikaangalia vizuri ndani ya fensi ya ile jengo nkaona Passo, statlet, escudo na magari yanayofanana na hayo yamepaki nje..nkasema wenye haya magari lazma watakua ni member wa freemason coz wamepaki ndani ya fens ya jengo

Nkaona huu upumbavu, bora ukope au u-hustle mwenyewe ununue paso, sasa unamwabudu shetani, unatoa kafara za damu ya watu, hlf unaendesha Passo, Sasa si bora uwe raia wa kawaida

Kuna uongo na upotofu mwingi sana unafanywa kwa makusudi juu ya freemason hasa katika kutoa kafara za damu za watu kama ulivyoandika!
Elimu inahitajika kwa kiwango kikubwa sana kuhusu freemason, na hii dhana ya kuwa wanatoa kafara itaisha tu dunia itakapokuwa chini ya serikali moja!
Wengi hawajui chochote kuhusu freemason, wengi ni porojo za kuambiwa mtaani huko tu!
 
Ameamua tu kujishusha ili asifahamike, huenda Kariakoo ana ghorofa ya uhakika.
 
Back
Top Bottom