Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Na kwa nini dunia iwe chini ya serikali moja?!Kuna uongo na upotofu mwingi sana unafanywa kwa makusudi juu ya freemason hasa katika kutoa kafara za damu za watu kama ulivyoandika!
Elimu inahitajika kwa kiwango kikubwa sana kuhusu freemason, na hii dhana ya kuwa wanatoa kafara itaisha tu dunia itakapokuwa chini ya serikali moja!
Wengi hawajui chochote kuhusu freemason, wengi ni porojo za kuambiwa mtaani huko tu!
😂😂😂😂Magari ya wafagizi na walinzi hayo
Ofisi hasa za freemason ziko ununio hapo posta ni registerd office tu
Kuna uongo na upotofu mwingi sana unafanywa kwa makusudi juu ya freemason hasa katika kutoa kafara za damu za watu kama ulivyoandika!
Elimu inahitajika kwa kiwango kikubwa sana kuhusu freemason, na hii dhana ya kuwa wanatoa kafara itaisha tu dunia itakapokuwa chini ya serikali moja!
Wengi hawajui chochote kuhusu freemason, wengi ni porojo za kuambiwa mtaani huko tu!
[emoji16][emoji16][emoji16]Kwamba freemason wenye sifa za umilionea wanachukua bukubuku za parking?
Haa HaaHao ndio wameenda kuchukua joining instruction.
Hawako kwenye payroll.
Mwingine kaleta passport size picture
Amina kubwa. Kanisa lako/lenu lipo wapi na linaitwaje?Utajiri wa kweli uko kwa Kristo Yesu Bwana. Njooni kwa Yesu awaokoe.
JESUS IS SAVIOR!
Huo muda ulioenda haukuwa muda wa ibadaJuzi kati nkipita mitaa ya posta, huku dar, maeneo karibu na benki kuu nikaona jengo jeupe limeandikwa freemasons hall, nkajisemea akilini, mitandaoni watu wanasema Freemason wanaabudu shetani na ukijiunga huko unapata utajiri, dooh nikaangalia vizuri ndani ya fensi ya ile jengo nkaona Passo, statlet, escudo na magari yanayofanana na hayo yamepaki nje..nkasema wenye haya magari lazma watakua ni member wa freemason coz wamepaki ndani ya fens ya jengo
Nkaona huu upumbavu, bora ukope au u-hustle mwenyewe ununue paso, sasa unamwabudu shetani, unatoa kafara za damu ya watu, hlf unaendesha Passo, Sasa si bora uwe raia wa kawaida
watawai kukua mkuu hao watoto sasa kafara halirudi nyuma ni mbele kwa mbele apo ukimaliza ndugu unakuja kwa wazaz watot hadi mke baadae ndo unakua chalii hoi na majuto juu.Ukitoa damu ya ndugu yako na wewe watoto zako wakikua lazima wakutoe roho.
huo ndio ushetani wenyewe.
ni bora upate hela ya kula kuliko kuwafuata hao mashetani.
Huwa watu wanaomba ku park gari mle ndani mkuu hata wewe ukiongea na mlinzi wa pale una pakiJuzi kati nkipita mitaa ya posta, huku dar, maeneo karibu na benki kuu nikaona jengo jeupe limeandikwa freemasons hall, nkajisemea akilini, mitandaoni watu wanasema Freemason wanaabudu shetani na ukijiunga huko unapata utajiri, dooh nikaangalia vizuri ndani ya fensi ya ile jengo nkaona Passo, statlet, escudo na magari yanayofanana na hayo yamepaki nje..nkasema wenye haya magari lazma watakua ni member wa freemason coz wamepaki ndani ya fens ya jengo
Nkaona huu upumbavu, bora ukope au u-hustle mwenyewe ununue paso, sasa unamwabudu shetani, unatoa kafara za damu ya watu, hlf unaendesha Passo, Sasa si bora uwe raia wa kawaida
Freemason sio dini wala sio dini ya kishetani.ni chama kama unavyoona fifa,rotary club,gymkhana clubHizi dini za Kishetani zinawezaje kupata usajili hapa Tanzania?
Na kwa nini dunia iwe chini ya serikali moja?!
Serikali moja, dini moja, jeshi moja, mahakama moja ili iweje? New world order au ulimwengu mpya ndio suluhisho lenu kwa wanadamu?
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] - legacy ya mwendazakeTumeliwa Sana Ndugu Zangu
Bwana Bure Hayupo
Tuchape Kazi Tukimtanguliza Mungu Mbele
Mzilankende Mnyago![emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] - legacy ya mwendazake
Hao wafagizi sio freemason?Magari ya wafagizi na walinzi hayo
Ofisi hasa za freemason ziko ununio hapo posta ni registerd office tu
Wako internHao wafagizi sio freemason?