Hatukuskia, ulikuwa unasemaje wewe pimbi..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatukuskia, ulikuwa unasemaje wewe pimbi..?
Safari hii mbumbumbu tumekwisha. Kuna uwezekano mkubwa tukapotea mazima jukwaanKwa ambao hamjui beki bora wa kulia hapa kuna stori fupi inayo mhusu
Yao ndio aliyekuwa nyuma ya Sakho akikabia macho mpira ambao ulienda kufunga goli bora la mashindano yote.
What a back?
View attachment 2688333
za saizi mkuuKama beki lenu la kulia ndio hili lililokabia macho siku ile ni bora mtuletee tu beki lakucheka
Duuuh aliyewaloga mbumbumbu sijui naniKama beki lenu la kulia ndio hili lililokabia macho siku ile ni bora mtuletee tu beki lakucheka
Hivi mlivyo pigwa hamsa si alikuwepoKwa ambao hamjui beki bora wa kulia hapa kuna stori fupi inayo mhusu
Yao ndio aliyekuwa nyuma ya Sakho akikabia macho mpira ambao ulienda kufunga goli bora la mashindano yote.
What a back?
View attachment 2688333
Duuh
Duuuh
Vitu vya Maana sana hiilvi
A SON OF ANYAMA ATTOULAJ YAO IS GREEN AND YELLOW ||
Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa beki wa kulia Kouassi Attohoula Yao kutoka Asec kwa Mkataba wa mwaka mmoja.
Yao ni moja ya Ma Full back bora kabisa barani Afrika kwa Wachezaji wanaocheza soka ndani ya bara la Africa kwa sasa, SolBen Academy ya Asec Mimosas ndiyo iliyomkuza.
Aliwahi kwenda Morocco lakini mambo hayakwenda Vema akarejea Asec Mimosas na baadae kuwa na mchango mkubwa kikosini hapo hata kufika nusu fainali ya Shirikisho Africa Msimu jana.
Ameungana na Aubin Kramo Kouame na Stephanie Azizi KI ambao walicheza Asec Msimu Juzi Kwa pamoja wakifika hatua ya makundi ya Shirikisho Africa.
Attoula Yao Kousi, Anatokea Eneo liitwalo Anyama katika Jiji la Abidjan, Eneo Hilo Star mkubwa zaidi ni Gervinho.
Wewe ni msaidizi wa Mwasibu?Kama beki lenu la kulia ndio hili lililokabia macho siku ile ni bora mtuletee tu beki lakucheka
Hapa lazima walikuita Mamluki.Tusijidanganye wanasimba
Huyo beki ni mzuri, yuko more aggressive and technical kulinganisha na Djuma au Kapombe.
Taratibu mnakimbia jukwaaniKwa ambao hamjui beki bora wa kulia hapa kuna stori fupi inayo mhusu
Yao ndio aliyekuwa nyuma ya Sakho akikabia macho mpira ambao ulienda kufunga goli bora la mashindano yote.
What a back?
View attachment 2688333