Said Cosmetics
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 2,001
- 1,591
[emoji23][emoji23][emoji23]si atakuwa amenunaNapenda kumalizia kwa kusema 'OVER' kama ile ya polisi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unauzi wewe jamaa“Basi ndio hivyo mke wangu tutafanikiwa tu”
Hatari aise ebu watagin wengine tuoneTusipelekeshane...[emoji1787][emoji1787]
Aise ulikuwa a kauafadhali eti mkuuSiku nikimpata mpenzi nitakuja kusema tunaagana vipi. Ila yule dear ex ilikuwa ni 'bye, okay babe.
,[emoji23][emoji23][emoji23]hapo lazima moyo umuume kabisa"Kata wewe"
Na muda mfupi alikuwa kifuani kwako akisema hawezi kuishi bila wewe ndipo utakumbuka ule msemo "shetani wa mtu ni mtu"Ukitaka kujua hujui unaagana na mpenzi wako vizuriii alafu unampigia kwa bahati mbaya unakuta inatumika
Hapo mambo yapo 🔥🔥🔥 hadi kukata simu tu inabidi mrushiane mpira,[emoji23][emoji23][emoji23]hapo lazima moyo umuume kabisa
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unauzi wewe jamaa
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app