Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Kazoea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazoea.
PoaWakuu habari za muda huu.
Poleni sana na mihangaiko wa kwuta nzima.
Natumaini baadhi yetu tumepata muda nzuri wa kupumzika na familia zetu.
Jambo au mambo ambayo napenda leo tuyajadili ni hili:
Wewe kama mwanaume au mwanamke katika kumaliza mazungumzo yenu je ni neno gani bora la kuagana kati ya haya na unajisikiaje ukitamkiwa au kuandikiwa?
1. oky
2. sawa
3. thank you honey/darling
4. bye
5. sawa bhana
6. utajua.
7. nimekuelewa
8. oky my wife/husband
Je, wewe unapenda kumwambia maneno mpenzi wako na yepi huoendi kuambiwa baada mazungumzo?.
Karibuni wakuu tutillilike hapa
View attachment 1841578View attachment 1841579View attachment 1841580
Hivi ni kweli huna mtu we mrembo au unatutamanisha tu mkuu?Siku nikimpata mpenzi nitakuja kusema tunaagana vipi. Ila yule dear ex ilikuwa ni 'bye, okay babe.
Hapo sasa nimekutamanisha nini? Sina mtu na sitaki mtu.Hivi ni kweli huna mtu we mrembo au unatutamanisha tu mkuu?
Utataka tu kwani vina mda basi😂😂😂Hapo sasa nimekutamanisha nini? Sina mtu na sitaki mtu.
Usiniambie hivyo basi 😂Utataka tu kwani vina mda basi😂😂😂
Siku uki kupata mpenzi!!!Siku nikimpata mpenzi nitakuja kusema tunaagana vipi. Ila yule dear ex ilikuwa ni 'bye, okay babe.
Aah nyie ni michepukoUninitafute hadi niaze mimi.
Sitaki kupata kwa sasa.Siku uki kupata mpenzi!!!
Ni kwamba haujapata au hautaki kupata?
KwaniniAah nyie ni michepuko
Hiyo pin mliyopeana. ' Ref your commentKwanini
🤣🤣🤣Sio mchepuko anatumia simu ya mzazi wake kwa wizi.Hiyo pin mliyopeana. ' Ref your comment
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]Unaaga mapema uongee na Malaya zako
Changamkia fursa mkuuHivi ni kweli huna mtu we mrembo au unatutamanisha tu mkuu?
Daaah! Hongera lakini .Sitaki kupata kwa sasa.