Yapi maoni yako juu ya wimbi la dawa za kuongeza maumbile kwa wanaume? Wanaotumia zinawasaidia?

Yapi maoni yako juu ya wimbi la dawa za kuongeza maumbile kwa wanaume? Wanaotumia zinawasaidia?

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
817
Reaction score
2,180
Kama uko online najua hujambo, wagonjwa wako ICU simu zao zimezimwa.

Kuna kasumba ya wanaume kuambiwa vibamia suala ambalo limepelekea kuibuka kwa wingi kwa watu wanaosema wanatibu tatizo hilo. Hivi juzi niliijiwa na jamaa yangu anasema ana rafiki yake anamsumbua amuelekeze dawa ya kukuza mashine jamaa anasema mzigo wake mzito na jamaa yake alimuona wakiwa washroom na anaona sio kawaida lazima jamaa katumia dawa kuongeza. Hii imenipa maswali.

Je, ni kweli hizi dawa zipo na zinafanya kazi?

Je, wanaozitumia wanapata matokeo ya moja kwa moja? Hairudi wakiacha dawa?

Kama kuna mtu ametumia au anamjua mtu alietumia na akapata matokeo atililike hapa.

Lengo ni tuelimishane ili kama hizi mambo ni utapeli watu waamke.

Asanteni.
 
Kama uko online najua hujambo, wagonjwa wako ICU simu zao zimezimwa.

Kuna kasumba ya wanaume kuambiwa vibamia suala ambalo limepelekea kuibuka kwa wingi kwa watu wanaosema wanatibu tatizo hilo. Hivi juzi niliijiwa na jamaa yangu anasema ana rafiki yake anamsumbua amuelekeze dawa ya kukuza mashine jamaa anasema mzigo wake mzito na jamaa yake alimuona wakiwa washroom na anaona sio kawaida lazima jamaa katumia dawa kuongeza. Hii imenipa maswali.

Je, ni kweli hizi dawa zipo na zinafanya kazi?

Je, wanaozitumia wanapata matokeo ya moja kwa moja? Hairudi wakiacha dawa?

Kama kuna mtu ametumia au anamjua mtu alietumia na akapata matokeo atililike hapa.

Lengo ni tuelimishane ili kama hizi mambo ni utapeli watu waamke.

Asanteni.
Hizo dawa n nyingi sana kwenye mitandao ya na makundi ya ngono kama telegram n.k
 
Size sio tatizo mkuu it's about how you use your tool!,Zafanana!!kumbuka yule mwanamke pale Tanga aliyekua mmiliki wa mabus haya zote zafanana ,ohoooo na yule wa pale kinondoni!!,siri yako...Dar to Dom
 
Kwa hiyo uliona mzigo wa jamaa yako mkiwa washroom?

Mlikua mnaoga pamoja?

Umezunguka sana ila wewe ndio kiba100 na unatafuta ukuze hiyo bamia,
Jikubali,tafuta pesa,enjoy your life.
Kwa kifupi walikuwa wanaoga mtoni bwana,kwani wewe hujaoga mtoni? Kwani Kuna partition mtoni? Huko mambo hadharani...
 
Kama uko online najua hujambo, wagonjwa wako ICU simu zao zimezimwa.

Kuna kasumba ya wanaume kuambiwa vibamia suala ambalo limepelekea kuibuka kwa wingi kwa watu wanaosema wanatibu tatizo hilo. Hivi juzi niliijiwa na jamaa yangu anasema ana rafiki yake anamsumbua amuelekeze dawa ya kukuza mashine jamaa anasema mzigo wake mzito na jamaa yake alimuona wakiwa washroom na anaona sio kawaida lazima jamaa katumia dawa kuongeza. Hii imenipa maswali.

Je, ni kweli hizi dawa zipo na zinafanya kazi?

Je, wanaozitumia wanapata matokeo ya moja kwa moja? Hairudi wakiacha dawa?

Kama kuna mtu ametumia au anamjua mtu alietumia na akapata matokeo atililike hapa.

Lengo ni tuelimishane ili kama hizi mambo ni utapeli watu waamke.

Asanteni.
Za kuongeza urefu, upana au ugumu siwezi kuzitolea ushahidi. Ila za kudumu muda mrefu bila wajamaa kutoka hizo zipo kweli.

Yaani ni ganzi fulan hivi wanaiita viksi unapa kichwani inafanya head iwe senseless. Sasa hata upige mikito vip mawasiliano (stimu) hazifiki kwenye medulla oblongata yako sababu pale mbele hapahisi chochote.
 
Niseme ukweli tu nilijaribu kutumia ili umbo liwe kubwa na refu, ukubwa niliona kiasi cha kuingiwa hofu nisije nikalemaa likaendelea kubwa zaidi mpaka kwenye magoti. Baada ya masaa 48 ukubwa ukapungua dushe likawa kama kawaida. Nilitumia dawa ya kichina kumbe ni ya muda tu si ya kudumu. Kuhusu kusimamisha muda mrefu nilienda famasi kununua za huko nilipewa ila nilionywa nisipende kuzitumia nitakuwa tegemezi kila nikitaka kupiga shoo ntalazimika kuzitumia nikaambiwa nile vyakula vya asili kama karanga, maziwa na matunda kwa sana nilijaribu vyakula vya asili asili viko vizuri na shughuli inafanyika vyema. Tulishajaribu kuchanjia madodoki na milegea ili tuwe na mizigo/gogo kubwa ili tu kuwakomesha wale wanaotudharau tuna vitu vidogo kama watoto vikiingia mle wakikohoa vinanyofoka vyenyewe kwa hiyo tukawa tunataka tuwe na magogo hasa, madushe ya kueleweka mpaka tuache kuvaa boksa tuvae bukta tu
 
Kwa kifupi walikuwa wanaoga mtoni bwana,kwani wewe hujaoga mtoni? Kwani Kuna partition mtoni? Huko mambo hadharani...
Mleta mada amesema Washroom ila wewe unasema mtoni,

Kwahiyo wewe unajua zaidi kuliko mleta mada? au labda hujui Washroom maana yake nini?
 
Kama uko online najua hujambo, wagonjwa wako ICU simu zao zimezimwa.

Kuna kasumba ya wanaume kuambiwa vibamia suala ambalo limepelekea kuibuka kwa wingi kwa watu wanaosema wanatibu tatizo hilo. Hivi juzi niliijiwa na jamaa yangu anasema ana rafiki yake anamsumbua amuelekeze dawa ya kukuza mashine jamaa anasema mzigo wake mzito na jamaa yake alimuona wakiwa washroom na anaona sio kawaida lazima jamaa katumia dawa kuongeza. Hii imenipa maswali.

Je, ni kweli hizi dawa zipo na zinafanya kazi?

Je, wanaozitumia wanapata matokeo ya moja kwa moja? Hairudi wakiacha dawa?

Kama kuna mtu ametumia au anamjua mtu alietumia na akapata matokeo atililike hapa.

Lengo ni tuelimishane ili kama hizi mambo ni utapeli watu waamke.

Asanteni.
Sisi hutumia zile bamia kubwa iwe saizi yako, unailainisha mpaka irendemke kisha unaikata kikonyo na kuivaa, mambo safi ina utelezi unaohitajika.
 
Size sio tatizo mkuu it's about how you use your tool!,Zafanana!!kumbuka yule mwanamke pale Tanga aliyekua mmiliki wa mabus haya zote zafanana ,ohoooo na yule wa pale kinondoni!!,siri yako...Dar to Dom
Umenikumbusha mbali,bus za SIRI YAKO USIMUAMBIE MTU, dah!
 
Back
Top Bottom