Yapi ni Mavazi sahihi kwa Mwanaume kwaajili ya Mtoko wa kukutana na Mwanamke kwa mra ya kwanza?

Yapi ni Mavazi sahihi kwa Mwanaume kwaajili ya Mtoko wa kukutana na Mwanamke kwa mra ya kwanza?

Khaaa!!

Watu mnafanya maisha kuwa magumu sana!! Halafu siku Wazungu wakisema Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo wananchi wake hawana furaha utakuta mnabisha!!

Huwezi kuwa serious kwa vitu basic kama hivyo halafu utarajie eti unaweza kuwa mtu mwenye furaha... NEVER!

Anyway, nisiseme sana manake sie wengine ni Watoto wa Tandika! Hayo mambo ya sijui first date ni huko huko kwenu mlikoathiriwa ni movies za "Kimerekani" tangu enzi za Sunset Beach!
Nigawie furaha.
Mara zingine sio vibaya kujifunza kwa wengine.
Kuenda na wakati sio dhambi.
Usiwe kama malecturer wa history mlimani.
 
Long sleeve simple (nyeusi, kijivu au bluu bahari). Jeans inayokufit dark blue. Kanivea -Dry Impact na hela.

Viatu vaa vyovyote hata ndala ila usivae moka.
Hii nimeipenda. Ni nzuri
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Nigawie furaha.
Mara zingine sio vibaya kujifunza kwa wengine.
Kuenda na wakati sio dhambi.
Usiwe kama malecturer wa history mlimani.
Jifunze na yale ya kwetu Watoto wa Tandika, and trust me, you'll love it!
 
Ukitaka ushaur mzuri ni muhimu tujue hiyo date inakua wapi na majira/Usiku au mchana.

Vazi la dinner ya chips kuku kwa Sele bonge haliwezi kufanana na la dinner date mkienda pale Addis in Dar.

Utaingia na Limousin au boda?
Majibu yako ndo yatasaidia Stylist akupangie mavaz gan.
 
Ukitaka ushaur mzuri ni muhimu tujue hiyo date inakua wapi na majira/Usiku au mchana.

Vazi la dinner ya chips kuku kwa Sele bonge haliwezi kufanana na la dinner date mkienda pale Addis in Dar.

Utaingia na Limousin au boda?
Majibu yako ndo yatasaidia Stylist akupangie mavaz gan.
Basi, kwa unaweza tolea mfano kwa kila sehemu. Na mavazi ake
 
Mie nikienda kuonana na Mtoto mzuri haijalishi ni first time or wereva..

Chini- Kadet (Khaki/brown) sio bwanga ya kawaida na wala sio kichupa.. + Mkanda Black + (Sometimes Earpods case)

Mguuni - Boot flan la kupanda (Timberland style flan) or something smooth like Chelsea Boot. (Black or Brown)

Juu- Shirt la mikono mirefu (Jeans style) White/ Light blue- Grey plain or White iwe na culture styles zenye Blackish elements.

Shingoni - Necklace ya Gold (inatupiwa kwa ndan so inaonekana kwa mbaaaali)

Mkononi Saa (Gold mkono wa kushoto) Mkono wa kulia Bracelet ya Shaba (Thin.......).

Kichwani inategemea (Kofia mara moja moja sana) pemben na sunglasses just incase nikiw na ride kwenye jua or wateva the case.

Kuhusu manukato ( Nacheza ga na Tomford + Versace things) huwa kuna Mixing moja hivi matata.

Hela kias sio sana so malipo jitahid kulipa kwa BANK card. (Utajiwekea heshima).

Jitahid first date usijikweze sana stay low and gentle
 
Kwanza mwili wako uko namna gani? Una kitambi usichomekee, tafuta jinzi ya rangi moja isibane sana na tishirt, lakini utafute simple flat shoe hasa iwe ya kuchomeka isiwe ya kufunga na kamba, angalia mpagilio wa nywele iwe low cut style sio viduku, ndevu ziwe kwenye mpangilio sahihi uwe smart hapo tayari maongezi yataenda vizuri uwe haunuki kwapa wala mdomo lazima usikilizwe tu hapo ni maeneo ya bar, bustanini, au sehemu za manunuzi kama kwenye malls na kadhalika
 
Kama mnakutana maeneo ya beach nyuka pensi yako ya kufika magotini, sendo flat na tishirt ya round hii itakufanya uwe confortable hasa kama unaenda na ride yako, lakini kama ni public nyuka track yako, tishirt ya mafutamafuta rangi moja na raba tu flat sole na saa yako
 
Kama unakutana nae mida ya kutoka kazini may be umenyuka cadet yako, shati mikono mirefu au mifupi, mkanda safi kiatu nadhifu sio mbaya, unaonana na mtu onetime unaondoka,
 
Mie nikienda kuonana na Mtoto mzuri haijalishi ni first time or wereva..

Chini- Kadet (Khaki/brown) sio bwanga ya kawaida na wala sio kichupa.. + Mkanda Black + (Sometimes Earpods case)

Mguuni - Boot flan la kupanda (Timberland style flan) or something smooth like Chelsea Boot. (Black or Brown)

Juu- Shirt la mikono mirefu (Jeans style) White/ Light blue- Grey plain or White iwe na culture styles zenye Blackish elements.

Shingoni - Necklace ya Gold (inatupiwa kwa ndan so inaonekana kwa mbaaaali)

Mkononi Saa (Gold mkono wa kushoto) Mkono wa kulia Bracelet ya Shaba (Thin.......).

Kichwani inategemea (Kofia mara moja moja sana) pemben na sunglasses just incase nikiw na ride kwenye jua or wateva the case.

Kuhusu manukato ( Nacheza ga na Tomford + Versace things) huwa kuna Mixing moja hivi matata.

Hela kias sio sana so malipo jitahid kulipa kwa BANK card. (Utajiwekea heshima).

Jitahid first date usijikweze sana stay low and gentle
ilinibidi niangalie kwanzaa I'd yako,, nice 😍
 
Back
Top Bottom