Yapi ni Mavazi sahihi kwa Mwanaume kwaajili ya Mtoko wa kukutana na Mwanamke kwa mra ya kwanza?

Sawa mkuu.
Uko vizuri
 
Kumbe kuna vijana wenzangu bado mnateseka sana na mapenzi [emoji276]siku nikitongoza mtoto wa mfalme ndio nitafanya hivyo lakini hawa wakina umber lulu hawahitaji mbwembwe hizo
 
Condom......
Usisahau Condom please!!
 
Unyama..
 
shati la red, suruali njano. viatu vyeupe na perfume kulthum, imetoka hio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…