Wapeni muda jamani loh1. Badhi ya namba unajibiwa namba unayopiga umekosea chunguza tena, inawezekana ya mumeo au mkeo
2. Ukitaka kuunganisha Yas pesa unaabiwa bad connection or wrong MMI
3. Ukitaka kujiunga band, mtandao unakatika
Kweli huuu mtandao KIBOKO, siku 2 mambo yamekuwa moto moto
Katika business hakuna muda, bando ikisha unapewa muda?Wapeni muda jamani loh
Watakuwa wanafanya modification mkuu.1. Badhi ya namba unajibiwa namba unayopiga umekosea chunguza tena, inawezekana ya mumeo au mkeo
2. Ukitaka kuunganisha Yas pesa unaabiwa bad connection or wrong MMI
3. Ukitaka kujiunga band, mtandao unakatika
Kweli huuu mtandao KIBOKO, siku 2 mambo yamekuwa moto moto
Modification maaanake nini? Tumia neno improvementsWatakuwa wanafanya modification mkuu.
Wanafanya system upgrade, tuwape muda!
Tatizo lao hawajatoa taharifa, app yao ndo haifunguki kabisa!
Jina lenyewe lipo chini ya Tangazo. Umeona wapi hii? Mambo kinyume kinyume. Penye saini wanaweka logo
Sawa mwalimu wa kingerezaModification maaanake nini? Tumia neno improvements