Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana vivid example? Hapo unamaanisha nini mkuu?Na bado vita inakuja..
Wenyewe wangekubali kuwa chini ya Israel na siyo kusema Israel kavamia taifa lao na hawana vivid example or written document kulithibitisha hilo.
wakae chini wayajenge waishi kwa amani, uzuri Israel anakubali kuishi nao ndani ya Israel (maana Palestine siyo nchi).
Sasa wewe unamtekaje mtu anayekupatia maji, umeme, chakula na kuruhusu huduma za afya kuingia kwako 😳😳?
Sorry, it's vivid evidence.Hawana vivid example? Hapo unamaanisha nini mkuu?
Huyo mzayuni arudi kwenye mipaka yake aliyopewa mwaka 1947 na umoja wa mataifa, vinginevyo hakuna atakaekubali uonevu wa kiasi hiki, vitahaitaisha hii...Dah hii picha imenifikirisha sana unajuwa haya mambo some time huwa tunayachukulia poa kwa sababu hayajatokea kwenye nchi zetu.
Ata hivyo wanaonekana bado wana matumaini licha ya kupitia magumu.View attachment 2792828
Wapigwe tu ww baba ni chizi anaenda kuchokoza nyuki wakati anajua ana watoto.Mm huruma za kipuuzi sina.Ww uchokoze watu harafu unapigwa unatafuta kapicha ka watoto na kabendela eti tuone huruma shenz kabisa Israeli piga hao wapuuzi mpaka adab ishike mkondo maana kama wanapata mda wa kuandaa watoto na kuwapa ka bendela inaonekana bado kipigo hakijawapata sawa sawa.Piga mpaka uzao wao ili watakao baki wawe wanasimuliana jamani tukaeni kwa amani na watu na majirani.
Hiyo hali haijawakuta,ni matokeo ya wao ku resist hiyo occupation ya Israel ambapo as a result waliishia kupigwa na ardhi yao kupokonywa zaidi.View attachment 2808102
Uache hali kama hii iendelee kisa una watoto?
Kuresist occupation? Yaani ni kama wewe uje kulawitiwa halafu tukulaumu kwa kitendo cha wewe kukataa kuingiliwa kinyume?!Hiyo hali haijawakuta,ni matokeo ya wao ku resist hiyo occupation ya Israel ambapo as a result waliishia kupigwa na ardhi yao kupokonywa zaidi.
Kwa sababu bado wanatumia njia ile ile may be watapokonywa hata hicho kidogo walichobaki nacho.
Ndio, yaani waje kukulawiti wewe halafu tukulaumu kwa kitendo cha wewe kukataa kinyume.Kuresist occupation? Yaani ni kama wewe uje kulawitiwa halafu tukulaumu kwa kitendo cha wewe kukataa kuingiliwa kinyume?!
Sawa, endelea tu kulawitiwa, Palestina wamegoma sasa, usilazimishe wawe kama weweNdio, yaani waje kukulawiti wewe halafu tukulaumu kwa kitendo cha wewe kukataa kinyume.
Mungu wa vitaWenye Iman zao wanakwambia ety hao wamechokoza taifa teule la MUNGU..
Unabaki unajiuliza n MUNGU yupi anapenda vita na kuuwa wtt km hawa wasio na hatiaa[emoji134]
Analawitiwa baba Yako.Sawa, endelea tu kulawitiwa, Palestina wamegoma sasa, usilazimishe wawe kama wewe
Akikataa utamlaumu au utampongeza?Analawitiwa baba Yako.
Anakulawiti ndio maana unapenda sana hizo habariAkikataa utamlaumu au utampongeza?
Nikikataa, utanilaumu au utanipongeza?Anakulawiti ndio maana unapenda sana hizo habari
Hakuna kitu kibaya kama dam. Palestina wanaumia kwa ujinga wa kikundi kimoja tu Hamas. Dam walio mwaga kule Israel ina watafuta😭😭🤐🤐Dah hii picha imenifikirisha sana unajuwa haya mambo some time huwa tunayachukulia poa kwa sababu hayajatokea kwenye nchi zetu.
Ata hivyo wanaonekana bado wana matumaini licha ya kupitia magumu.View attachment 2792828