mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,904
- 8,371
Kwa wale waliohudhuria tamasha alilotumbuiza mwanamziki Fari Ipupa kutoka DRC nadhani watakumbuka akitaja jina na kumwita mwanadada Yasmine ambaye kwenye hilo tamasha alikuwa amekaa kwenye jukwaa la wanamziki ,ni dada ambaye kwa hakika ni kipisi cha mdada mungu kamjalia alivaa gauni jekundu nashinda nikijiuliza je anauhusiano gani na Fari Ipupa hata Fari alipomaliza aliongozana naye na pia sijui huyo mwanadada Yasmine ndiye huyo alipokuja mwanamziki D'banj kutoka Nigeria ndiye anatajwa kuwa huyo kijana wa Kinigeria amewehuka kiasi cha kumchukua mwanadada huyo mpaka Nairobi kutumbua maraha na alienda huko na wapambe wake,kama ni yeye sijui anawadaka vipi hao maselebu wa muziki.Tafadhali mwenye CV ya huyu dada atudokolee kidogo nataka nami nkauze shamba langu Visiga ili nimtafute Yasmine teh teh