Yasser Arafat alikufa kwa ugonjwa gani?

Yasser Arafat alikufa kwa ugonjwa gani?

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Tangu kifo chake mwaka 2004, kuna sintofahamu ni kipi hasa kilimuua Kiongozi wa zamani wa Palestina Yasser Arafat. Kuna nadharia nyingi juu ya kifo chake, wengine wanadai aliuaawa na wengine wanadai alikufa kifo Cha kawaida.

1. Nadharia ya kwanza: Aliuawa.
Wengi kwenye nadharia ya kwanza wanadai ya kwamba Yasser Arafat Aliuawa na maadui zake wa kisiasa. Kwamba baada ya kukataa offer ya Waziri Mkuu wa Israel wa Ehud Barak mwaka 2000 ya uwanzishaji wa mataifa mawili ya Israel na Palestina, shida ilianzia hapo.

Inadaiwa ya kwamba Yasser Arafat alidhamiria ya kwamba ili Taifa la Palestina lianzishwe basi inabidi wakimbizi wote wa kpalestina waliofurumushwa kutoka Israel warudi kwenye maeneo yao kwanza ndani ya Israel ndipo Sasa wakubaliane kuanzisha nchi mbili za Israel na Palestina. Msimamo huu ndio chanzo Cha uadui na hata kuuawa.

Kwenye nadharia hii inadaiwa na wapelelezi wa kifaransa ya kwamba Yasser Arafat Aliuawa kwa sumu aina ya Polonium 210. Wapelelezi Hawa wanadai ya kwamba, sample ya mkono iliyopatikana kwenye chupi ya Arafat ilionesha ya kwamba ilikuwa na kiwango kikubwa Cha Polonium 210. Ingawa ni nani hasa alimwekea sumu hiyo hakuna ajuaye. Wengine wanadai ni mke wake wa ndoa, wengine wanadai ni Israel na wengine wanadai ni mahasimu wake kutoka Palestina.

2. Nadharia ya Pili: kifo Cha kawaida.
Kwenye nadharia ya Pili ya kifo Cha Arafat, inasemekana Alikufa kwa maradhi ya kawaida ingawa inashtusha kidogo. Mwaka 2007, Daktari binafsi wa Yasser Arafat, ajulikanaye Kama Dr Ashraf Al Kurdi, alidai ya kwamba walipopima damu ya Arafat waligundua Ina virusi vya HIV. Ingawa Daktari huyo anadai pamoja na damu ya Arafat kuwa na HIV ila hakufa kwa maradhi ya UKIMWI Bali maradhi mengine kabisa. Majibu ya Dr Al Kurdi yameleta mabishano mengi Sana, ni Kwa vipi afe kwa ugonjwa mwingine kabisa usiohusiana na HIV? Na je ni kweli sample ya damu yake haikuchezewa kuleta majibu yanayoonesha alikuwa ameambukizwa HIV.

Mpaka Leo kifo Cha Yasser Arafat kimekuwa kigumu kujua kilisababishwa na Nini.
 
Wayahudi wana akili fupi sana wanaamini kumuua kiongozi ndio itawarahisishia mipango yao. Hio inapunguza tu muda wa tatizo then tatizo linarudi pale pale inakua alichofanya ni bure, tena bora yule dingi hakua mtu wa kash kash na vita, saivi viongozi wote watao kuja wa hamas ni aggressive kweli kweli tatizo limeshatiwa kiberiti na wao wenyewe. Waliua wanasayansi wa Iran sasa Iran ananyuklia tayari, walimuua Qasem Suleiman sasa Iran anashusha vitu direct ndani Israel. Wamemuua Nasrallah matokeo yake hizbollah wanalipiza kisasi chake kila siku. Huu mgogoro hauna suluhu ya kudumu kwaku na wao wanaanza kupata silaha kali kali
 
Wayahudi wana akili fupi sana wanaamini kumuua kiongozi ndio itawarahisishia mipango yao. Hio inapunguza tu muda wa tatizo then tatizo linarudi pale pale inakua alichofanya ni bure, tena bora yule dingi hakua mtu wa kash kash na vita, saivi viongozi wote watao kuja wa hamas ni aggressive kweli kweli tatizo limeshatiwa kiberiti na wao wenyewe. Waliua wanasayansi wa Iran sasa Iran ananyuklia tayari, walimuua Qasem Suleiman sasa Iran anashusha vitu direct ndani Israel. Wamemuua Nasrallah matokeo yake hizbollah wanalipiza kisasi chake kila siku. Huu mgogoro hauna suluhu ya kudumu kwaku na wao wanaanza kupata silaha kali kali
Umeisha fikia hitimisho kwamba Dr. Yasra Arafat aliuwa na Israel? Umefikiaje hitomisho hilo kaka? Mleta uzi kaleta hypothesis kwa data zilizokusanywa na madaktari tofauti, why blaming Israel for this why the guy went to Paris for his treatment? Why hakwenda Iran, Egypt or Indonesia nchi za Kiislamu? Wafaransa tena hospital ya jeshi? Kwanini usitikirie wao ndio walimuua?
 
Wayahudi wana akili fupi sana wanaamini kumuua kiongozi ndio itawarahisishia mipango yao. Hio inapunguza tu muda wa tatizo then tatizo linarudi pale pale inakua alichofanya ni bure, tena bora yule dingi hakua mtu wa kash kash na vita, saivi viongozi wote watao kuja wa hamas ni aggressive kweli kweli tatizo limeshatiwa kiberiti na wao wenyewe. Waliua wanasayansi wa Iran sasa Iran ananyuklia tayari, walimuua Qasem Suleiman sasa Iran anashusha vitu direct ndani Israel. Wamemuua Nasrallah matokeo yake hizbollah wanalipiza kisasi chake kila siku. Huu mgogoro hauna suluhu ya kudumu kwaku na wao wanaanza kupata silaha kali kali
Maneno ya kujifariji tu ya wafia dini ungejua israel ndio anapenda kash kash ila muwe mnapunguza kulia lia mnapoanzisha hizo kashkash halafu israel huwa anawajibu vizuri
 
Tangu kifo chake mwaka 2004, kuna sintofahamu ni kipi hasa kilimuua Kiongozi wa zamani wa Palestina Yasser Arafat. Kuna nadharia nyingi juu ya kifo chake, wengine wanadai aliuaawa na wengine wanadai alikufa kifo Cha kawaida.

1. Nadharia ya kwanza: Aliuawa.
Wengi kwenye nadharia ya kwanza wanadai ya kwamba Yasser Arafat Aliuawa na maadui zake wa kisiasa. Kwamba baada ya kukataa offer ya Waziri Mkuu wa Israel wa Ehud Barak mwaka 2000 ya uwanzishaji wa mataifa mawili ya Israel na Palestina, shida ilianzia hapo.

Inadaiwa ya kwamba Yasser Arafat alidhamiria ya kwamba ili Taifa la Palestina lianzishwe basi inabidi wakimbizi wote wa kpalestina waliofurumushwa kutoka Israel warudi kwenye maeneo yao kwanza ndani ya Israel ndipo Sasa wakubaliane kuanzisha nchi mbili za Israel na Palestina. Msimamo huu ndio chanzo Cha uadui na hata kuuawa.

Kwenye nadharia hii inadaiwa na wapelelezi wa kifaransa ya kwamba Yasser Arafat Aliuawa kwa sumu aina ya Polonium 210. Wapelelezi Hawa wanadai ya kwamba, sample ya mkono iliyopatikana kwenye chupi ya Arafat ilionesha ya kwamba ilikuwa na kiwango kikubwa Cha Polonium 210. Ingawa ni nani hasa alimwekea sumu hiyo hakuna ajuaye. Wengine wanadai ni mke wake wa ndoa, wengine wanadai ni Israel na wengine wanadai ni mahasimu wake kutoka Palestina.

2. Nadharia ya Pili: kifo Cha kawaida.
Kwenye nadharia ya Pili ya kifo Cha Arafat, inasemekana Alikufa kwa maradhi ya kawaida ingawa inashtusha kidogo. Mwaka 2007, Daktari binafsi wa Yasser Arafat, ajulikanaye Kama Dr Ashraf Al Kurdi, alidai ya kwamba walipopima damu ya Arafat waligundua Ina virusi vya HIV. Ingawa Daktari huyo anadai pamoja na damu ya Arafat kuwa na HIV ila hakufa kwa maradhi ya UKIMWI Bali maradhi mengine kabisa. Majibu ya Dr Al Kurdi yameleta mabishano mengi Sana, ni Kwa vipi afe kwa ugonjwa mwingine kabisa usiohusiana na HIV? Na je ni kweli sample ya damu yake haikuchezewa kuleta majibu yanayoonesha alikuwa ameambukizwa HIV.

Mpaka Leo kifo Cha Yasser Arafat kimekuwa kigumu kujua kilisababishwa na Nini.
Kuna
Ukweli ni Mayahudi ndiyo waliomuua kwa sumu.
jamaa alikuwa ana nunua mizizi/ unga wa alkasusi na dawa zingine za Kisunha weneyewe wanavyoziita toka kwa mzee mmoja kwenye soko huko ukanda wa Gaza! Wana wa Yuda! Wakaweka Vitu vyao kama vile kwenye Pagers na Radio call- So mzee akawa anajilia dose pole pole mpaka Umauti unamkuta
Mzee aliekuwa anamuuzia Alkasusi ndo huyu hapa....
View: https://youtu.be/vZxiS8jQm40 (kipo kitabu nilisoma kina hii story) Mzee alioa Binti mbiichi wa Kutoka kabila la Yuda pia So alikuwa anaenda na bits za Mrembo🥰pia hapa BBC 💉💉Yasser Arafat 'may have been poisoned with polonium' - BBC News
 
Umeisha fikia hitimisho kwamba Dr. Yasra Arafat aliuwa na Israel? Umefikiaje hitomisho hilo kaka? Mleta uzi kaleta hypothesis kwa data zilizokusanywa na madaktari tofauti, why blaming Israel for this why the guy went to Paris for his treatment? Why hakwenda Iran, Egypt or Indonesia nchi za Kiislamu? Wafaransa tena hospital ya jeshi? Kwanini usitikirie wao ndio walimuua?
Hapana bila shaka ni wao mazayuni na yeye alikua mlaini sana kwao kidogo wamuyumbishe na sio huyo hata yule waziri wao aliyetaka suluhisho walimuua, anamanisha kila anayefikiria kuweka usawa wote waishi kama mataifa zayuni lazima awalambishe mchangani na wangeweza kama sio uimara wa Iran kumuondoa Ayatollah kabisa na ndio lengo lao mpaka kesho
 
Tangu kifo chake mwaka 2004, kuna sintofahamu ni kipi hasa kilimuua Kiongozi wa zamani wa Palestina Yasser Arafat. Kuna nadharia nyingi juu ya kifo chake, wengine wanadai aliuaawa na wengine wanadai alikufa kifo Cha kawaida.

1. Nadharia ya kwanza: Aliuawa.
Wengi kwenye nadharia ya kwanza wanadai ya kwamba Yasser Arafat Aliuawa na maadui zake wa kisiasa. Kwamba baada ya kukataa offer ya Waziri Mkuu wa Israel wa Ehud Barak mwaka 2000 ya uwanzishaji wa mataifa mawili ya Israel na Palestina, shida ilianzia hapo.

Inadaiwa ya kwamba Yasser Arafat alidhamiria ya kwamba ili Taifa la Palestina lianzishwe basi inabidi wakimbizi wote wa kpalestina waliofurumushwa kutoka Israel warudi kwenye maeneo yao kwanza ndani ya Israel ndipo Sasa wakubaliane kuanzisha nchi mbili za Israel na Palestina. Msimamo huu ndio chanzo Cha uadui na hata kuuawa.

Kwenye nadharia hii inadaiwa na wapelelezi wa kifaransa ya kwamba Yasser Arafat Aliuawa kwa sumu aina ya Polonium 210. Wapelelezi Hawa wanadai ya kwamba, sample ya mkono iliyopatikana kwenye chupi ya Arafat ilionesha ya kwamba ilikuwa na kiwango kikubwa Cha Polonium 210. Ingawa ni nani hasa alimwekea sumu hiyo hakuna ajuaye. Wengine wanadai ni mke wake wa ndoa, wengine wanadai ni Israel na wengine wanadai ni mahasimu wake kutoka Palestina.

2. Nadharia ya Pili: kifo Cha kawaida.
Kwenye nadharia ya Pili ya kifo Cha Arafat, inasemekana Alikufa kwa maradhi ya kawaida ingawa inashtusha kidogo. Mwaka 2007, Daktari binafsi wa Yasser Arafat, ajulikanaye Kama Dr Ashraf Al Kurdi, alidai ya kwamba walipopima damu ya Arafat waligundua Ina virusi vya HIV. Ingawa Daktari huyo anadai pamoja na damu ya Arafat kuwa na HIV ila hakufa kwa maradhi ya UKIMWI Bali maradhi mengine kabisa. Majibu ya Dr Al Kurdi yameleta mabishano mengi Sana, ni Kwa vipi afe kwa ugonjwa mwingine kabisa usiohusiana na HIV? Na je ni kweli sample ya damu yake haikuchezewa kuleta majibu yanayoonesha alikuwa ameambukizwa HIV.

Mpaka Leo kifo Cha Yasser Arafat kimekuwa kigumu kujua kilisababishwa na Nini.
Aliwekewa sumu polonium 210
 
Soma historia vizuri,alifia ufaransa nchi ambayo ndio ilikuwa ikumuangalia na kumtunza kwa kila kitu,na hata sasa mkewe na binti yake wanaishi huko
Sasa Ufaransa walishageuza kibao kwamba sumu iliyokutwa kwenye kaburi lake ya polonium na lead zilikuwa “enviromental”

“In March 2015, a French prosecutor announced that Arafat's death was from natural causes, and found that the polonium 210 and lead 210 discovered in Arafat's grave were of an environmental nature.”

 
Tangu kifo chake mwaka 2004, kuna sintofahamu ni kipi hasa kilimuua Kiongozi wa zamani wa Palestina Yasser Arafat. Kuna nadharia nyingi juu ya kifo chake, wengine wanadai aliuaawa na wengine wanadai alikufa kifo Cha kawaida.

1. Nadharia ya kwanza: Aliuawa.
Wengi kwenye nadharia ya kwanza wanadai ya kwamba Yasser Arafat Aliuawa na maadui zake wa kisiasa. Kwamba baada ya kukataa offer ya Waziri Mkuu wa Israel wa Ehud Barak mwaka 2000 ya uwanzishaji wa mataifa mawili ya Israel na Palestina, shida ilianzia hapo.

Inadaiwa ya kwamba Yasser Arafat alidhamiria ya kwamba ili Taifa la Palestina lianzishwe basi inabidi wakimbizi wote wa kpalestina waliofurumushwa kutoka Israel warudi kwenye maeneo yao kwanza ndani ya Israel ndipo Sasa wakubaliane kuanzisha nchi mbili za Israel na Palestina. Msimamo huu ndio chanzo Cha uadui na hata kuuawa.

Kwenye nadharia hii inadaiwa na wapelelezi wa kifaransa ya kwamba Yasser Arafat Aliuawa kwa sumu aina ya Polonium 210. Wapelelezi Hawa wanadai ya kwamba, sample ya mkono iliyopatikana kwenye chupi ya Arafat ilionesha ya kwamba ilikuwa na kiwango kikubwa Cha Polonium 210. Ingawa ni nani hasa alimwekea sumu hiyo hakuna ajuaye. Wengine wanadai ni mke wake wa ndoa, wengine wanadai ni Israel na wengine wanadai ni mahasimu wake kutoka Palestina.

2. Nadharia ya Pili: kifo Cha kawaida.
Kwenye nadharia ya Pili ya kifo Cha Arafat, inasemekana Alikufa kwa maradhi ya kawaida ingawa inashtusha kidogo. Mwaka 2007, Daktari binafsi wa Yasser Arafat, ajulikanaye Kama Dr Ashraf Al Kurdi, alidai ya kwamba walipopima damu ya Arafat waligundua Ina virusi vya HIV. Ingawa Daktari huyo anadai pamoja na damu ya Arafat kuwa na HIV ila hakufa kwa maradhi ya UKIMWI Bali maradhi mengine kabisa. Majibu ya Dr Al Kurdi yameleta mabishano mengi Sana, ni Kwa vipi afe kwa ugonjwa mwingine kabisa usiohusiana na HIV? Na je ni kweli sample ya damu yake haikuchezewa kuleta majibu yanayoonesha alikuwa ameambukizwa HIV.

Mpaka Leo kifo Cha Yasser Arafat kimekuwa kigumu kujua kilisababishwa na Nini.
Ngiri
 
Back
Top Bottom