Yataka moyo kuwa mchezaji wa mpira wa miguu Tanzania

Masibayi

Member
Joined
Jan 2, 2018
Posts
19
Reaction score
65
Hebu piga picha, lengo la yanga ni kutafuta watu,lengo la simba ni kuonesha kikosi kipana.

Ndugu zangu wanaobeti sasa! Unakuta anaitabiria yanga kufunga magoli saba huku haina kikosi kipana? Duh!

Wao wanataka watu na siyo magoli,hhhhhh!

Hongereni watani zangu yanga kaa ushindi wa jumapili.
 
Huu Uzi sio mahala pake au unaogopa mapovu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…