Yataka moyo kuwa mchezaji wa mpira wa miguu Tanzania

Yataka moyo kuwa mchezaji wa mpira wa miguu Tanzania

Masibayi

Member
Joined
Jan 2, 2018
Posts
19
Reaction score
65
Hebu piga picha, lengo la yanga ni kutafuta watu,lengo la simba ni kuonesha kikosi kipana.

Ndugu zangu wanaobeti sasa! Unakuta anaitabiria yanga kufunga magoli saba huku haina kikosi kipana? Duh!

Wao wanataka watu na siyo magoli,hhhhhh!

Hongereni watani zangu yanga kaa ushindi wa jumapili.
 
Back
Top Bottom