Yatakayojiri huko Tunisia tarehe 09/11/22 baada ya Yanga kudhalilishwa na Mwarabu

Unajisikiaje kwa sasa! Pole kwa aibu iliyokukuta. Siku nyingine utajitahidi kuficha huu ujinga wako ulio uandika hapo juu.
 
UNA LA KUSEMA?
 
Baada ya wewe kuandika mashudu haya,vipi tupe tathmini yako sasa baada ya matokeo halisi,
 
Maelezo marefuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu ka mkojo wa asubuhi alafu pumba

Kima kabisa

Ujuaji ujuaji mwingi kumbe ndondo
 
Mm nililiona toka mapema kwa uchezaji wa wale waarabu na uchezaji wa Yanga ni kwamba wangefuzu tuu. Hizi mambo nyingine ni ushabiki tuu kukerana basi hahahaa
Hii wikiendi, nenda pale wavuvi kempu, agiza chupa mbili za jagermeister na ule msosi wa kutosha....halafu unitumie hiyo bili.
 
Kweli Aiseeee !!
 
Mnatumia nguvu kubwa kuongea mwisho wa siku mnakaa pumzi inakata mbwa nyie machokolo kiko wapiii
Aibu kubwa sana watu kujifanya wajuaji wapiga ramri wachambuzi uchwara takataka za mpira wa karatasi hizi

Mbele giza hakuna muonacho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…