Yatokanayo na bodaboda;
Ni hayo tu!!
- Ukipanda boda boda unakuwa sehemu ya pikipiki kama mzigo
- Ukibebwa na mwendesha pikipiki mwenye mawenge nawewe unasomeka waruwaru mkipita wote mnaonekana pipa na mfuniko.
- Ukibebwa na mwendesha pikipiki mfupi kwenye utelezi au mchanga jiandae kuagushwa
- Endapo mtakutana na mgambo awapige rungu, basi mgongo wako ndiyo utakaopigwa rungu
- Dereva wa bodaboda akitukanwa mkiwa pamoja kakubeba, tambua tusi hilo linawahusu wote!
Ni hayo tu!!