Yatokanayo Taifa Stars na nguvu ya mafuta ya Simba katika kutawala na kumiliki

Tuache watekeleze ilan ya chama[emoji3][emoji3][emoji3]
True mkuu,tulikosea haswa tena HASWA!
Na kuitoa hii ideology ni ngumu sana kwa sasa.
 
I wish ingekuwa Boeing 737 MAX8 just saying..[emoji2296] uwiiiii ! Yule wa Malaysia alisema Gudnite Air Malaysia!
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mshana na mie nakupaka mafuta ya Simba nawe nenda ili iwe Kenya 0/Tanzania 3 na utakaporudi nyumbani ntakupatia bonge la suprise ili waliokusema wasikie soni
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Swala la kuzingatia.
1.Mashimo apelekwe Misri haraka kuitabiria timu.
2. Wachezaji wanunuliwe misosi ya uhakika na wasimamiwe wakati wa kuila hadi waimalize.
 
Kale kazee kanazingua sana. Kila jambo kanapenda kulitumia kimtaji wa siasa zao.
Kupigwa 2-0, 3-0 na 5-0 ndiyo ilani ya maccm pale lumumba chini ya Mwenyekiti wao Mwendawazimu na fikra zake POTOFU.
 
Swala la kuzingatia.
1.Mashimo apelekwe Misri haraka kuitabiria timu.
2. Wachezaji wanunuliwe misosi ya uhakika na wasimamiwe wakati wa kuila hadi waimalize.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inapofikia hata wakuu wa mihimili mingine kumgwaya mtu mmoja... Basi tambua nguvu ya mafuta ya Simba kwenye muktadha huo.... Sijazungumzia nguvu na ubabe wa Simba mbele ya yanga....
Noted!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…