Dini ziko nyingi sasa wewe angalia dini yako inasema nini sio kuniuliza wewe dini gani? hapo tu najuwa uelewa wako mdogo au hauko katika dini mbili kubwa kama upo basi soma usiwe mvivu haijalishi dini gani katika hizo mbili.Wewe dini gani imekwambia uongelee mazuri tu ya marehemu?
1 Thessalonians 4:13–18Wewe dini gani imekwambia uongelee mazuri tu ya marehemu?
Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana. Lakini, Adui yako akiwa na njaa, mlishe; akiwa na kiu, mnyweshe; maana ufanyapo hivyo, utampalia makaa ya moto kichwani pake. Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.Warumi 12:19-21Wewe dini gani imekwambia uongelee mazuri tu ya marehemu?
Kitendo cha kuomboleza kinaelezwa kwamba kina lengo la kuifariji familia ya mfiwa, kuwapatia afueni na kupunguza majonzi. Mjumbe wa Allaah amesema: ((Muumini ambaye anamuomboleza ndugu yake kwa kufariki kwake atavishwa na Allaah nguo bora kabisa kwa heshima na hadhi ya juu Siku ya Qiyaamah.))Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana. Lakini, Adui yako akiwa na njaa, mlishe; akiwa na kiu, mnyweshe; maana ufanyapo hivyo, utampalia makaa ya moto kichwani pake. Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.Warumi 12:19-21
Siku hizi marehemu wanajisafisha hahahaha you people are insane for real and it's very sad to see my fellow tanzanians like that.Ili Ruge ajisafishe anatakiwa aonyeshe mikataba kama hana basi Dudubaya kasema kweli,
Msamehe bure babe inawezekana hajui na andiko hajasoma kakimbilia kukomentiSiku hizi marehemu wanajisafisha hahahaha you people are insane for real and it's very sad to see my fellow tanzanians like that.
Kweli babe acha tu nimsamehe maana hakuna namna,Msamehe bure babe inawezekana hajui na andiko hajasoma kakimbilia kukomenti
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli babe acha tu nimsamehe maana hakuna namna,
Mzima lakini?
Niko poa pia... kumekucha.
ahsante mkuu wangu!!Kwa hiyo Kama marehemu alikuwa tapeli tuseme alikuwa mtakatifu??? Wewe mpu.mbavu nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa na mtu akuchome na kijinga cha moto mkunduni halafu akuzibe mdomo usipige kelele ya maumivu, ukipiga akuzabe kofi la usoni!
HahahahaKwa hiyo Kama marehemu alikuwa tapeli tuseme alikuwa mtakatifu??? Wewe mpu.mbavu nini
Sent using Jamii Forums mobile app