frankkilulya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2022
- 590
- 1,494
Very risk Road ndio maana ina huu wingi wa AskariMh Kinana kakerwa na Trafiki huenda alipita hii njia kutokea Njiapanda hadi Arusha wanajipanga hivi.
Njiapanda - 4
Uchira - 4
Kawawa - 8
Mjohoroni - 2
Kiboriloni - 6
Changbay - 5
Kibosho - 4 na mmoja wakike mkalii
Mali Sita - 8
Machame - 4
Kwasadala - 11
Boma - 16
Kwa wasomali - 4
KIA - 4
King'ori - 2
Kikatiti - 6
Maji ya Chai - 12
USA - 16
Leganga - 4
Makumira - 4
Tengeru - 8
Kwa Mrefu - 8
Ngulelo - 4
Kimandolu - 4
Kwa Shabani - 6
Philips - 8
MountMeru - 2
Sanawari - 2
Mianzin - 6
Stand Kuu - 12
Ukichomoka wote hawa katambike.
ππππππ
Pana haja ya kufanya sensa ya polisi kujua wapo wangapi traffic, FFU, upelelezi nk. Kwa mtaji huu, yawezekana traffic ni unnecessarily wengi!Mh Kinana kakerwa na Trafiki huenda alipita hii njia kutokea Njiapanda hadi Arusha wanajipanga hivi.
Njiapanda - 4
Uchira - 4
Kawawa - 8
Mjohoroni - 2
Kiboriloni - 6
Changbay - 5
Kibosho - 4 na mmoja wakike mkalii
Mali Sita - 8
Machame - 4
Kwasadala - 11
Boma - 16
Kwa wasomali - 4
KIA - 4
King'ori - 2
Kikatiti - 6
Maji ya Chai - 12
USA - 16
Leganga - 4
Makumira - 4
Tengeru - 8
Kwa Mrefu - 8
Ngulelo - 4
Kimandolu - 4
Kwa Shabani - 6
Philips - 8
MountMeru - 2
Sanawari - 2
Mianzin - 6
Stand Kuu - 12
Ukichomoka wote hawa katambike.
ππππππ
Cc: RPC KilimanjaroMh Kinana kakerwa na Trafiki huenda alipita hii njia kutokea Njiapanda hadi Arusha wanajipanga hivi.
Njiapanda - 4
Uchira - 4
Kawawa - 8
Mjohoroni - 2
Kiboriloni - 6
Changbay - 5
Kibosho - 4 na mmoja wakike mkalii
Mali Sita - 8
Machame - 4
Kwasadala - 11
Boma - 16
Kwa wasomali - 4
KIA - 4
King'ori - 2
Kikatiti - 6
Maji ya Chai - 12
USA - 16
Leganga - 4
Makumira - 4
Tengeru - 8
Kwa Mrefu - 8
Ngulelo - 4
Kimandolu - 4
Kwa Shabani - 6
Philips - 8
MountMeru - 2
Sanawari - 2
Mianzin - 6
Stand Kuu - 12
Ukichomoka wote hawa katambike.
ππππππ
Kinana anacheza na akili za wananchi na wabongo walivyo wavivu kutafakari wanapatikana kweli kweli. Alichofanya Kinana ni kutafuta umaarufu kwa kukemea kitu ambacho anajua ni kero inayosumbua watu wengi. Watanzania tulivyo bongolala tutaanza kuimba sifa na mapambio ila ukweli tatizo halijaondoka ila limetulizwa kwa muda tu na baada ya siku hadhaa hali itarudi kuwa mbaya zaidi. Katu mtu kama Kinana hatagusa yale mambo muhimu yenye kuleta mabadiliko ya kweli na ya moja kwa moja bali atagusa hapa na pale ili kutafuta umaarufu.Mh Kinana kakerwa na Trafiki huenda alipita hii njia kutokea Njiapanda hadi Arusha wanajipanga hivi.
Njiapanda - 4
Uchira - 4
Kawawa - 8
Mjohoroni - 2
Kiboriloni - 6
Changbay - 5
Kibosho - 4 na mmoja wakike mkalii
Mali Sita - 8
Machame - 4
Kwasadala - 11
Boma - 16
Kwa wasomali - 4
KIA - 4
King'ori - 2
Kikatiti - 6
Maji ya Chai - 12
USA - 16
Leganga - 4
Makumira - 4
Tengeru - 8
Kwa Mrefu - 8
Ngulelo - 4
Kimandolu - 4
Kwa Shabani - 6
Philips - 8
MountMeru - 2
Sanawari - 2
Mianzin - 6
Stand Kuu - 12
Ukichomoka wote hawa katambike.
ππππππ
Hawa wapo kukusanya pesa tu ingekuwa wana lengo la kuzuia ajali wangetumia scientific approach za kitehamaMh Kinana kakerwa na Trafiki huenda alipita hii njia kutokea Njiapanda hadi Arusha wanajipanga hivi.
Njiapanda - 4
Uchira - 4
Kawawa - 8
Mjohoroni - 2
Kiboriloni - 6
Changbay - 5
Kibosho - 4 na mmoja wakike mkalii
Mali Sita - 8
Machame - 4
Kwasadala - 11
Boma - 16
Kwa wasomali - 4
KIA - 4
King'ori - 2
Kikatiti - 6
Maji ya Chai - 12
USA - 16
Leganga - 4
Makumira - 4
Tengeru - 8
Kwa Mrefu - 8
Ngulelo - 4
Kimandolu - 4
Kwa Shabani - 6
Philips - 8
MountMeru - 2
Sanawari - 2
Mianzin - 6
Stand Kuu - 12
Ukichomoka wote hawa katambike.
ππππππ
Agenda yao ni kukusanya 2000, huo usalama kwao siyo agendauwekezaji kwenye teknolijia ungesaidia kuondoa huu uwingi wa traffic polisi na wengi wangeenda kwenye majukumu mengine.
Njia panda pale HIMO to ARUSHA to NAMANGA to BABATI kuna ugumu gani wakufunga road camera's kuangalia muenendo wa barabara na speed camera ambazo by automatic zinaregister faini kwenye system.
Ukifunga hizo cameras unaweka road patrol with 2 police kila 300km's, road patrol wanakuwa controlled na control room.
Hizi issue za speed na ujinga ujinga barabarani watu wanakutana na mafaini ya mamilioni ya hela, na mtu akiwa ticketed mara tatu per month tuna burn driving licence for 5yrs..
Una uhakika unaowaongelea ni hawa?Hofu yangu ni kwamba tusije tukawapunguza tukatengeneza tatizo lingine!
Aidha wengi waende wakasomee Mv inspections ili magari mabovu yashughulikiwe kikamilifu.
Na wasipokusanya hakuna gari itatembea barabarani maana wengi ni wapiga gia na sio maderevaAgenda yao ni kukusanya 2000, huo usalama kwao siyo agenda
Kinana anacheza na akili za wananchi na wabongo walivyo wavivu kutafakari wanapatikana kweli kweli. Alichofanya Kinana ni kutafuta umaarufu kwa kukemea kitu ambacho anajua ni kero inayosumbua watu wengi. Watanzania tulivyo bongolala tutaanza kuimba sifa na mapambio ila ukweli tatizo halijaondoka ila limetulizwa kwa muda tu na baada ya siku hadhaa hali itarudi kuwa mbaya zaidi. Katu mtu kama Kinana hatagusa yale mambo muhimu yenye kuleta mabadiliko ya kweli na ya moja kwa moja bali atagusa hapa na pale ili kutafuta umaarufu.
Mkuu umecheki hapo Makumira, Tengeru na Kwa mrefu?Hivi kuna sehemu Kuna matrafiki wengi barabarani kama Arusha?
Trafiki woote wa Dar hukusanyika Kigamboni mchana hadi alasiri.Hivi kuna sehemu Kuna matrafiki wengi barabarani kama Arusha?
Amefanya jambo gani tuwekane sawa kwanza?Ni Vizuri kujifunza kua appreciate mtu akifanya jambo
Naomba utuwekee mambo matano ambayo ungetamani yawe kipaumbele kwake (kwa nafasi yake)