wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Usiwasahu wakina seuuuuuu chalii angu πππMkuu umecheki hapo Makumira, Tengeru na Kwa mrefu?
Dah home sweet home. Yani nakumbuka kwa kina lemaa na Lauu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwasahu wakina seuuuuuu chalii angu πππMkuu umecheki hapo Makumira, Tengeru na Kwa mrefu?
Dah home sweet home. Yani nakumbuka kwa kina lemaa na Lauu.
IringaHivi kuna sehemu Kuna matrafiki wengi barabarani kama Arusha?
Sikujua mkuu hahahIringa
Nani amekuambia Kinana amelalamika, waliolalamika ni wakazi wa mkoa wa Mbeya, yeye amepeleka ujumbe kunakohusika, pongezi kwa mama Samia.Mh Kinana kakerwa na Trafiki huenda alipita hii njia kutokea Njiapanda hadi Arusha wanajipanga hivi.
Njiapanda - 4
Uchira - 4
Kawawa - 8
Mjohoroni - 2
Kiboriloni - 6
Changbay - 5
Kibosho - 4 na mmoja wakike mkalii
Mali Sita - 8
Machame - 4
Kwasadala - 11
Boma - 16
Kwa wasomali - 4
KIA - 4
King'ori - 2
Kikatiti - 6
Maji ya Chai - 12
USA - 16
Leganga - 4
Makumira - 4
Tengeru - 8
Kwa Mrefu - 8
Ngulelo - 4
Kimandolu - 4
Kwa Shabani - 6
Philips - 8
MountMeru - 2
Sanawari - 2
Mianzin - 6
Stand Kuu - 12
Ukichomoka wote hawa katambike.
ππππππ
Dar usipiime Arusha cha mtotoHivi kuna sehemu Kuna matrafiki wengi barabarani kama Arusha?
Raisi Samia Alihoji hilo kuwa Askari wengi wakimaliza chuo polisi hutaka kupangiwa Traffic na bandarini!! Akasema sijui kwa niniKuna wakati kiongozi Fulani alihoji ni kwa nini polisi wengi wanaomba wapangiwe traffic barabarani? Kuna nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pana haja ya kufanya sensa ya polisi kujua wapo wangapi traffic, FFU, upelelezi nk. Kwa mtaji huu, yawezekana traffic ni unnecessarily wengi!
Katoro ukitokea wapi?kutoka geita katoro ni 40 kms lakini kuna point zaid ya 5 unakuta matrafick.
Zambia unaweza safiri 1000 kms bila kusimamishwa na traffic ila maafisa wa uhamiaji tu.
Tanzania ni moja ya nchi ngumu sana kwa wamiliki wa magari.
Sio kiongozi flan,ni Mama Samia MwenyeweKuna wakati kiongozi Fulani alihoji ni kwa nini polisi wengi wanaomba wapangiwe traffic barabarani? Kuna nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Police kama police yaani vitengo vyote nadhani hawazidi elfu 30
Ila kwa takwimu hizi inamaana kazi kubwa wamefanya barabarani
Ni ngumu haswaa kuanzia Bandarini hadi uraiani humuπkutoka geita katoro ni 40 kms lakini kuna point zaid ya 5 unakuta matrafick.
Zambia unaweza safiri 1000 kms bila kusimamishwa na traffic ila maafisa wa uhamiaji tu.
Tanzania ni moja ya nchi ngumu sana kwa wamiliki wa magari.
Kati barabara moja wapo ambayo nimeitumia Mara nyingi lakin Ina trafiki wachache Sana ni hii kutoka Songea, Tunduru, Msasai had Mnazi mmoja nafikil Zaid ya kilometers 500 trafiki hawazid sehem tatu ukitoa Hawa wa standkutoka geita katoro ni 40 kms lakini kuna point zaid ya 5 unakuta matrafick.
Zambia unaweza safiri 1000 kms bila kusimamishwa na traffic ila maafisa wa uhamiaji tu.
Tanzania ni moja ya nchi ngumu sana kwa wamiliki wa magari.
Mh Kinana kakerwa na Trafiki huenda alipita hii njia kutokea Njiapanda hadi Arusha wanajipanga hivi.
Njiapanda - 4
Uchira - 4
Kawawa - 8
Mjohoroni - 2
Kiboriloni - 6
Changbay - 5
Kibosho - 4 na mmoja wakike mkalii
Mali Sita - 8
Machame - 4
Kwasadala - 11
Boma - 16
Kwa wasomali - 4
KIA - 4
King'ori - 2
Kikatiti - 6
Maji ya Chai - 12
USA - 16
Leganga - 4
Makumira - 4
Tengeru - 8
Kwa Mrefu - 8
Ngulelo - 4
Kimandolu - 4
Kwa Shabani - 6
Philips - 8
MountMeru - 2
Sanawari - 2
Mianzin - 6
Stand Kuu - 12
Ukichomoka wote hawa katambike.
ππππππ