Yawezekana huyu ndo Secret Service counter assault team member aliyemuua jamaa aliyempiga risasi Donald Trump

Basi ameshashinda maana hata hapa Tz tunampigia kura...
 
Ukimsikiliza shuhuda aliyehojiwa na bbc ni kwamba walikua wakiwaambia SS ila kwa sauti hawakuwasikia, na wao walikua wanamuona shooter la SS hawakua wanamuona sababu walikua upande wa pili wa slop ya bati... tukio zima halijazidi dk nne, that was somehow quick kujiposition na kummaliza...
IIa swali ni why SS agent gave the shooter a free shot before taking him out??? What if that free shot was a success?.
 
Mawazo ya kijima kabisa haya.
 
Mawazo ya kipumbavu haya.
 
Kama walimuona Anapanda Was it not a suspicious Action mtu anapanda na Silaha juu Walitakiwa kumtengua kabla hajafanya mashambulizi ingekuwa ni Biden hata Dakika moja isimgefika..
Inamaana hawakuwa na Armor Detector??
 
Soros hawana huo ujinga
 
Niliwaambia mchezo wa kitoto hamjanielewa, mmeona nani aliyefanya jaribio? Ameshajulikana.

Mtaelewa tu kuwa uzee ni dawa, siyo ugonjwa.
😁😁😁 Unachekesha mno.
 
.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-15_013545-1.jpg
    200.2 KB · Views: 1
unajua hiyo ilikuwa rahisi sana, waliomwona anapanda walijua labda ni mojawapo ya secret service mwenzao kwasababu kwa historia kitambo sasa sio rahisi mtu binafsi kupita na bunduki kwa uhuru vile na kupanda kule juu kama sio mlinzi. wengine wanasema walinzi wa marekani wengi walitamani trump auawe, ndio maana walilegeza, kila mtu anaongea la kwake, lakini all in all, kulikuwa na nafasi dogo kukamatwa akiwa hai ila wakaamua kupoteza ushahidi.
 
ilikuwa lazima wamuue dogo ili kupoteza ushahidi asije kuja kuropoka. vijana wa 20s wakibanwa kidogo tu wangesema nani aliwatuma.
Aisee!!

Naona una taarifa za ndani kabisa!

Utakuwa Secret Service agent wewe!
 
1. Thomas alijuaje hilo eneo la juu na kwamba lisingekuwa na ulinzi?

2. Iliwezekanaje Sniper aliyemuua Thomas afanye hivyo upesi vile kama si kwamba alikuwa amemlenga muda wote hata kabla hajampiga risasi Trump?

3. Mashuhuda wawili walihojiwa na BBC wakasema waliwaambia polisi na pia maafisa usalama kuhusu uwepo wa mtu mwenye silaha anayetiliwa shaka, lakini wao hawakuchukua tahadhari zozote.

4. Walinzi SS wa Trump walionekana kubabaika sana wakati wa tukio kana kwamba walivunjika moyo kwa lengo lao kutotimia.

5. Vyombo vikuu vya habari vyote pamoja na viongozi wa Democrats wakiongozwa na Barack Obama na Nancy Pelosi walionekana kuwa na ujumbe unaofanana sana kimaandishi na mwelekeo.

Ule wa Pelosi unashangaza zaidi maana anajizungumzia mwenyewe zaidi na wala hataji suala la kumtakia Trump kupona haraka.
 
Drama za industrial military complex ya Marekani ku maintain illusion ya uchaguzi kuwa real na wenye maana.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…