Atakuwa ni individual asiyempenda Trump ndie aliyefanya hivyo, chama cha Democrats kisihusishwe na hilo tukio.
Trump hata kama anaelekea kuwa President wa USA, but awe makini sana, namuona JF Kennedy mwingine yuko njiani kutokea kwenye historia ya Marekani.
Sera za Trump wakati mwingine ndizo zinamsababishia matatizo, nakumbuka wakati wa utawala wake wapo waliosema Putin ameliwekea taifa la Marekani Rais, hii ilikuwa kama kashfa kwa taifa la Marekani.
Je, this time, CIA na FBI wataruhusu ile hali ijirudie? Kwasababu inavyoonekana ushindi wa Trump ni sawa na ushindi kwa Putin.