Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alikuwa open? Huyo secret service agent?Duh,mbona alikuwa so open,hapa kuna namna aisee
Nani alikuwa open? Huyo secret service agent?
Huyo kwenye tweet ni secret service agent. Siyo shooter.The shooter was very open... Halafu sio pro... Aliinuka kidogo ndio akapiga risasi ndio maana hakupata target vizuri..
Hakuna gun detector hapo? Au mpaka akisha kuwa Potus ndio kunakuwa na hizo detectors na surveillance cams!??
Huyo kwenye tweet ni secret service agent. Siyo shooter.
Sahihi kabisa huyu SSA ndo amemuua mshambuliaji Kwa kutizana Eneo alokuwepo Trump, Upande Risasi ilompitia Trump, na Wapi SSA alipona.Huyo kwenye tweet ni secret service agent. Siyo shooter.
Assassination huwezi tambua itafanyika muda upi mkuu. Ule wakati mnaouona wa amani hapo hapo ndipo muuaji hutumia nafasiNawaza kwanini hakuchukua hizo hatua mapema mpaka akasubiri mshambuliaji ampige risasi Trump?
Ipi?Duh,mbona alikuwa so open,hapa kuna namna aisee