Yawezekana siyo Gaidi au Jambazi, Silaha za kivita alijulia wapi?

Yawezekana siyo Gaidi au Jambazi, Silaha za kivita alijulia wapi?

Kwa maelezo ni kuwa huyo jamaa anamiliki mgodi alioachiwa na marehemu baba yake. Kwa mtu anaemiliki mali kama mgodi ni lazima awe na mafunzo ya kujihami (self defence) kwa ajili ya usalama wake na mali zake. Kwa hyo hilo la ujuzi wa kutumia SMG kwangu mm sio tatizo.
 
SMG mbona simple tu kikubwa tu kujiamini, Kwa pale ilikuwa ni kukoki na kuweka jinsi unavyotaka risasi zitoke coz tayari magazine ilikuwepo kweny bunduki ila kwenye shabaha ndo inahitaji uzoefu na utulivu
sijawahi kwenda jeshi ila shabaha huwa naona kitu simple sana
 
Sawa tukubaliane na ushuhuda wa majirani kuhusu kijana Hamza aliyeuawa na polisi baada ya yeye kuwaua polisi wawili na mlinzi moja, ukitazama tukio lilivyokuwa kupitia video zilizorekodiwa, utaona kuwa huyu bwana alikuwa na uwezo wa kutumia mashine gun au silaha nzito ya kivita, haya mafunzo aliyapata wapi?
  • Alipita JKT?
  • Alifunzwa Mgambo?
  • Wakati anafungwa kutumia pistol alifundishwa kutumia na silaha ziingine?
  • Kupitia picha mbali mbali zinazotumwa kupitia mitandao ya kijamii, inaonekana Hamza alikua kijana wa UVCCM, alikuwa kwenye kambi za ukakamavu za vijana akafunzwa huko?
Haiwezekani mtu hajawahi kushiriki vita yeyote from now where tu atumie silaha za kivita. Mbaya zaidi alionekana kushambulia na kukwepa mashambulizi ya askari halafu alikua shabaha.

Hamza alifunzwa na nani kutumia AK47?

Hili swali mpaka sasa halijapata jibu.

unajiuliza alijifunzia wapi siraha mtoto wa kisomari
 
Afu watu wanajua kuwa silahaa ni ngumu Sana ya kuutumia.
Mbona ni kitu rahisi sana. Yaani sijui nisemeje ni sawa kuwa hujawahi kudu so ulipodu tundu ulijua kuwa liko wapi
 
Ndugu yake alikufa kwenye mapigano huko Somalia akiwa na Magaidi wenzake wa Alshabab

MOGADISHU (HOL) - The man behind the killing of three police officers and a security guard near the French embassy in Dar es Salaam Wednesday is the brother of a former Al-Shabaab operative who was killed a while back in central Somalia, HOL can authoritatively reveal.
 
hizi movies za masineeeipaaaa zinachangia
 
Sawa tukubaliane na ushuhuda wa majirani kuhusu kijana Hamza aliyeuawa na polisi baada ya yeye kuwaua polisi wawili na mlinzi moja, ukitazama tukio lilivyokuwa kupitia video zilizorekodiwa, utaona kuwa huyu bwana alikuwa na uwezo wa kutumia mashine gun au silaha nzito ya kivita, haya mafunzo aliyapata wapi?
  • Alipita JKT?
  • Alifunzwa Mgambo?
  • Wakati anafungwa kutumia pistol alifundishwa kutumia na silaha ziingine?
  • Kupitia picha mbali mbali zinazotumwa kupitia mitandao ya kijamii, inaonekana Hamza alikua kijana wa UVCCM, alikuwa kwenye kambi za ukakamavu za vijana akafunzwa huko?
Haiwezekani mtu hajawahi kushiriki vita yeyote from now where tu atumie silaha za kivita. Mbaya zaidi alionekana kushambulia na kukwepa mashambulizi ya askari halafu alikua shabaha.

Hamza alifunzwa na nani kutumia AK47?

Hili swali mpaka sasa halijapata jibu.
CCM ndo walimfundisha.. sipati picha angejulikana ni mwanachadema wa CHADEMA!!! Mungu mkubwa sana. Magaidi wanayo wenyewe
 
Back
Top Bottom