Yawezekana Tanzania isije kupata maendeleo chini ya siasa monopoly za CCM?

Yawezekana Tanzania isije kupata maendeleo chini ya siasa monopoly za CCM?

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Wakati wa mwwshimiwa kikwete tuliaminishwa kwamba

1. Soon mgao wa umeme utakua historia. Akatoka madarakanai kaacha mgao unaendelea.

2. Tukaimbishwa nyimbo za uchumi wa gesi. Kiukweli wanasiasa Mungu anawaona. Ule wimbo ulikoishia anayeweza kuelezea serikali ya CCM.

3. Akaja Mweshimiwa JPM na ujemzi wa bwawa la umeme wa maji. Inaonyesha wazi maji kwenye mito yana tegemea mvua , ukame unaotokana na mabadiliko ya hali ya hewa unatia mashaka UA ufanisi wa kuzalisja umeme kupitia bwawa hill.

4. Vyombo vya usalama kuganya kazi za chama cha mapinduzi. Hili liko wazi , asilimia kubwa ya viongozi wandamizi wa idara ya usalama na polis ni makada wa CCM. hivyo mtazamo wao kuhusu taifa unapofushwa na mahaba yao kwa chama. Si rahisi wao kukunali kwamba mfumo productive wa vyama vingi ni ule unaoruhusu kubadilishana madaraka. Chama kikiboronga kikae pembeni , kingine kije, kimiboronga pia kikae pembeni nk. Hatueleweki tunafanya nini kwenye kila jambo.

Hatueleweki kama tunafuata mfumo wa chama kimoja au vyama vingi. Vyama pinzani vinapigwa vita na taasis zote nyeti zinazo ongozwa na makada wa ccm.

Hatueleweki kama kweli tunataka katiba mpya au hatuitaki,maana mchakato ulitupwa bila kujali billions of money zilizo tumika. Na serikali ya ccm wanaogopa hata kusikia neno katiba likitamkwa.

Hatueleweki tunafuata siasa ya ijamaa au ubepari. Jpm kwa juhudi kubwa akawa anaturudisha kwenye ujamaa akipata support kubwa kwa chama hikihiki ambacho sasa mwenyekiti wake anatirudisha kwenye ubepari. Ninini tunachotaka?

Mwingine anakuja anajenga uwanja wa ndege wa kimataifa wilayani kusiko chochote cha maana.

Wakati jumuhia ya ulaya wanapambana kila raia wa ulaya awe na maji safi yakuoga. Siye huku maji kunywa ni matope miaka 60 post independence CCM wakizubaisha raia kwa propaganda hii na ile.

Mambo ni mengi.

Tatizo nikwamba ccm iko exhausted. Bahati mbaya hata zile taasis zinazo angalia ustawi na usalama wa taifa zimekwama kwenye matope ya chama cha mapinduzi . hivyo kama taifa tumekwama.

Suruhisho ni moja. Turuhusu ushindani wakweli kwenye siasa. Kusiwepo chama hodhi wa siasa za inchi hii vinginevyo vizazi na vizazi visubiri hadi tufikie japo robo ya maendeleo ya ulaya.
 
Ukishaona kila siku wanasiasa wanafikiria uchaguzi na kutengeneza ukanda na makundi, kila wanachokifanya wanalenga uchaguzi, hapo hatuna viongozi.
 
Na kamwe tusitegemee hiki chama kutupa maendeleo hata kwa miaka 100 ijayo. Hii nchi inaongozwa na magenge ya ujambazi kutoka CCM. Na wote kuanzia wanachama mpaka viongozi wakuu waandamizi wako kwa ajili ya kurithishana madaraka na utajiri wa hii nchi geration after generation zao. Ndio sababu wamewekana kila mahali ili kulinda na kudhibiti kila anayegusa maslahi ya magenge yao.

Tunahitaji mapinduzi makubwa sana ya kiutawala katika nchi yetu. Pres' Magufuli alikua MTU pekee ambaye angeweza kuondoa hayo magenge na kutuachia Taasisi imara sadly pamoja na uthubutu wake hakua na hiyo vision kabisa instead naye akaanzisha magenge yake ya ujambazi.

CCM is built on gang and they are the most notorious gang in this country. JWTZ mko wapi, we need you to do something for our country.
 
Ikijatokea CCM wakawa nje ya uringo haya yatatokea.
1.Vyombo vya ulinzi kuwa imara.
2.Vyama vya upinzani kuongezeka
3.Makada wa CCM kufunguka mengi
4.CCM kupoteza uchawa wa teuzi.
5.Waliomiliki Mali za chama watatajwa wote.
6.Vyombo vya habari kuuza story za mapungufu ya CCM
 
Madaraka yanatakiwa yashikiliwe na watu wenye akili kubwa, inapokuwa vinginevyo raia lazima wataabike sana.
Tuna illegal aliens karibia Milioni saba kutoka Burundi ambao tunashire nao resources

Tanzania inaenda Kucollapse siku si nyingi.
 
Wakati wa mwwshimiwa kikwete tuliaminishwa kwamba

1. Soon mgao wa umeme utakua historia. Akatoka madarakanai kaacha mgao unaendelea.

2. Tukaimbishwa nyimbo za uchumi wa gesi. Kiukweli wanasiasa Mungu anawaona. Ule wimbo ulikoishia anayeweza kuelezea serikali ya CCM.

3. Akaja Mweshimiwa JPM na ujemzi wa bwawa la umeme wa maji. Inaonyesha wazi maji kwenye mito yana tegemea mvua , ukame unaotokana na mabadiliko ya hali ya hewa unatia mashaka UA ufanisi wa kuzalisja umeme kupitia bwawa hill.

4. Vyombo vya usalama kuganya kazi za chama cha mapinduzi. Hili liko wazi , asilimia kubwa ya viongozi wandamizi wa idara ya usalama na polis ni makada wa CCM. hivyo mtazamo wao kuhusu taifa unapofushwa na mahaba yao kwa chama. Si rahisi wao kukunali kwamba mfumo productive wa vyama vingi ni ule unaoruhusu kubadilishana madaraka. Chama kikiboronga kikae pembeni , kingine kije, kimiboronga pia kikae pembeni nk. Hatueleweki tunafanya nini kwenye kila jambo.

Hatueleweki kama tunafuata mfumo wa chama kimoja au vyama vingi. Vyama pinzani vinapigwa vita na taasis zote nyeti zinazo ongozwa na makada wa ccm.

Hatueleweki kama kweli tunataka katiba mpya au hatuitaki,maana mchakato ulitupwa bila kujali billions of money zilizo tumika. Na serikali ya ccm wanaogopa hata kusikia neno katiba likitamkwa.

Hatueleweki tunafuata siasa ya ijamaa au ubepari. Jpm kwa juhudi kubwa akawa anaturudisha kwenye ujamaa akipata support kubwa kwa chama hikihiki ambacho sasa mwenyekiti wake anatirudisha kwenye ubepari. Ninini tunachotaka?

Mwingine anakuja anajenga uwanja wa ndege wa kimataifa wilayani kusiko chochote cha maana.

Wakati jumuhia ya ulaya wanapambana kila raia wa ulaya awe na maji safi yakuoga. Siye huku maji kunywa ni matope miaka 60 post independence CCM wakizubaisha raia kwa propaganda hii na ile.

Mambo ni mengi.

Tatizo nikwamba ccm iko exhausted. Bahati mbaya hata zile taasis zinazo angalia ustawi na usalama wa taifa zimekwama kwenye matope ya chama cha mapinduzi . hivyo kama taifa tumekwama.

Suruhisho ni moja. Turuhusu ushindani wakweli kwenye siasa. Kusiwepo chama hodhi wa siasa za inchi hii vinginevyo vizazi na vizazi visubiri hadi tufikie japo robo ya maendeleo ya ulaya.
Mbona nchi imeendelea tu. Vyama pinzani si vipo au unataka viingie madarakani bila ridhaa ya wananchi?
Watanzania ni werevu wanajua nani awaongoze. Uchaguzi wakati wa ukoloni kabla ya uhuru walichagua tanu kwa asilimia karibu mia. Na wameendelea kuweka mayai yao mahali pamoja kwenye siasa. Sasa kama kuna mtu anafikiri ni hila inatumika hebu awaulize wakoloni wa kingereza kwa nini tanu enzi zao ikazoa viti vyote vya legico. Waliiba kura kwa ruhusa ya wakoloni au walipata kura halali.
 
Wakati wa mwwshimiwa kikwete tuliaminishwa kwamba

1. Soon mgao wa umeme utakua historia. Akatoka madarakanai kaacha mgao unaendelea.

2. Tukaimbishwa nyimbo za uchumi wa gesi. Kiukweli wanasiasa Mungu anawaona. Ule wimbo ulikoishia anayeweza kuelezea serikali ya CCM.

3. Akaja Mweshimiwa JPM na ujemzi wa bwawa la umeme wa maji. Inaonyesha wazi maji kwenye mito yana tegemea mvua , ukame unaotokana na mabadiliko ya hali ya hewa unatia mashaka UA ufanisi wa kuzalisja umeme kupitia bwawa hill.

4. Vyombo vya usalama kuganya kazi za chama cha mapinduzi. Hili liko wazi , asilimia kubwa ya viongozi wandamizi wa idara ya usalama na polis ni makada wa CCM. hivyo mtazamo wao kuhusu taifa unapofushwa na mahaba yao kwa chama. Si rahisi wao kukunali kwamba mfumo productive wa vyama vingi ni ule unaoruhusu kubadilishana madaraka. Chama kikiboronga kikae pembeni , kingine kije, kimiboronga pia kikae pembeni nk. Hatueleweki tunafanya nini kwenye kila jambo.

Hatueleweki kama tunafuata mfumo wa chama kimoja au vyama vingi. Vyama pinzani vinapigwa vita na taasis zote nyeti zinazo ongozwa na makada wa ccm.

Hatueleweki kama kweli tunataka katiba mpya au hatuitaki,maana mchakato ulitupwa bila kujali billions of money zilizo tumika. Na serikali ya ccm wanaogopa hata kusikia neno katiba likitamkwa.

Hatueleweki tunafuata siasa ya ijamaa au ubepari. Jpm kwa juhudi kubwa akawa anaturudisha kwenye ujamaa akipata support kubwa kwa chama hikihiki ambacho sasa mwenyekiti wake anatirudisha kwenye ubepari. Ninini tunachotaka?

Mwingine anakuja anajenga uwanja wa ndege wa kimataifa wilayani kusiko chochote cha maana.

Wakati jumuhia ya ulaya wanapambana kila raia wa ulaya awe na maji safi yakuoga. Siye huku maji kunywa ni matope miaka 60 post independence CCM wakizubaisha raia kwa propaganda hii na ile.

Mambo ni mengi.

Tatizo nikwamba ccm iko exhausted. Bahati mbaya hata zile taasis zinazo angalia ustawi na usalama wa taifa zimekwama kwenye matope ya chama cha mapinduzi . hivyo kama taifa tumekwama.

Suruhisho ni moja. Turuhusu ushindani wakweli kwenye siasa. Kusiwepo chama hodhi wa siasa za inchi hii vinginevyo vizazi na vizazi visubiri hadi tufikie japo robo ya maendeleo ya ulaya.
Maendeleo kwa TANZANIA Chini ya SIASA za CHUKI na VISASI za CCM ni NDOTO za Mchana
 
Back
Top Bottom