Mpaka leo bado sijaelewa kwa nn Pep alimuuza Etoo aliyekuwa on fire wakati huo na kumleta Zlatan aliyeshindwa kabisa kuperformEtoo alilazimishwa kwenda inter na pesa juu pep alitoa amchukue zlatan ili tu etoo atoke barcelona na etoo alikuwa kwenye kiwango bora kabisa
Pep amezingua sana unajua pale City kamkuta Toure ndio king basi alitakiwa afanye ubinadamu tu ata kama hakua kwenye mipango yake angemtaarifu mapema ili ajue jinsi gani anaondoka akiwa bado na heshima yake.Toure hajui kupiga basi za mwisho ukweli mchungu
Ukweli mchungu kaka waafrica wengi mno hawawezi kuendana na falsafa za pep inabidi tu tukubali hiloPep amezingua sana unajua pale City kamkuta Toure ndio king basi alitakiwa afanye ubinadamu tu ata kama hakua kwenye mipango yake angemtaarifu mapema ili ajue jinsi gani anaondoka akiwa bado na heshima yake.
Sasa yeye kapiga kimya tu jamaa adi hadhi yake imeshuka pale kambini.
Kwani hao walioendana na falsafa za jamaa wameipa nini cha ziada City ambacho kina toure hawakuipa?Ukweli mchungu kaka waafrica wengi mno hawawezi kuendana na falsafa za pep inabidi tu tukubali hilo
Zaidi ya Etoo na hata ubingwa wa UEFA hajawahi beba.
Kwamba Yaya Toure ni Mbongo????
Kuwa serious basi!Etoo kabeba?
Kuwa serious basi!
Zaidi ya Etoo na hata ubingwa wa UEFA hajawahi beba.
Alimtokea Amerie akamkataa toka siku hiyo aliapa kula sahani moja na black yeyote!Yaya imemuuma sana, pep apo tu ndio anafel
Cjui watu weus walimfanyia ubaya gan, usioisha??
Nilijuwa utasema kabeba mkuu, wakati Diego Millito ndiye alikuwa engine ya inter, wakiwemo na akina sneider, samuel water n.k..huyo etoo alikuwa anasubiri kutengewa tu.inshort hakuwa na msaada!
Jamaa wanashangaza sana, lakini inawezekana hawakuwa wakitizama soka wanatizama statistics za kwenye simu zao tu. mana wapo wengi sikuhizi.
Militto, Sneider, Lucio, Samuel, Maicon, Zanetti, Motta, Cambiaso, Chivu, Stankovic, Cesar, Jamaa alikua ndio bomu wao kwenye timu. knockout stage yote ya champion league alifunga goli moja tenda ndani ya round of 16 na jumla alifunga magoli mawili tu. Msimu mzimu alifunga goli 15 tu, wakati militto alifunga 30. Yani bora Balotelli ambae ni mchazaji wa akiba tu alifunga goli 12.
Miltto alimaliza msimu akiwa mchezaji bora wa Champion league, forward bora wa mwaka wa ulaya, mchezaji bora wa Seria A, Mfungaji bora wa Seria A, Man of of the match wa champion league Final, Man of the Match wa Italian Cup Final.
Malalamishi haya hata Seydou Keita kipindi yupo Barcelona alisema, Pep alikuwa akimsifia sana mazoezini na kumwambia ni mmoja wa viungo wakabaji wazuri. Ila namba akawa hapati, kama kweli anaendana na sifa hizo.
Hadi Keita akamchoka na kumwambia aache kumdhihaki, anakupa sifa tu nafasi ya kucheza hupati
Jamaa wanashangaza sana, lakini inawezekana hawakuwa wakitizama soka wanatizama statistics za kwenye simu zao tu. mana wapo wengi sikuhizi.
Militto, Sneider, Lucio, Samuel, Maicon, Zanetti, Motta, Cambiaso, Chivu, Stankovic, Cesar, Jamaa alikua ndio bomu wao kwenye timu. knockout stage yote ya champion league alifunga goli moja tenda ndani ya round of 16 na jumla alifunga magoli mawili tu. Msimu mzimu alifunga goli 15 tu, wakati militto alifunga 30. Yani bora Balotelli ambae ni mchazaji wa akiba tu alifunga goli 12.
Miltto alimaliza msimu akiwa mchezaji bora wa Champion league, forward bora wa mwaka wa ulaya, mchezaji bora wa Seria A, Mfungaji bora wa Seria A, Man of of the match wa champion league Final, Man of the Match wa Italian Cup Final.
Jamaa alitisha huo msimu...alikuwa balaaa mbele ya goli
Millito alikuwa habari ingine
Kwa muktadha huo basi ni sahihi pia kusema Okocha ni bora zaidi ya Ronaldinho?Hata Maradonna hakuwah beba Ubingwa wa Uefa, hata Ronaldo de lima, hata Romario, hata Baggio Je pia wote kawashinda hao?
Kwa muktadha huo basi ni sahihi pia kusema Okocha ni bora zaidi ya Ronaldinho?