Yedioth Ahronoth: Takriban wanajeshi 10,000 wa Israel wameuawa/kujeruhiwa katika miezi 9 iliyopita ya vita vya Israel kwenye Ukanda wa Gaza

Yedioth Ahronoth: Takriban wanajeshi 10,000 wa Israel wameuawa/kujeruhiwa katika miezi 9 iliyopita ya vita vya Israel kwenye Ukanda wa Gaza

Nachojua. Israel imepata hasara lakini sio wanajeshi 10000. Hiyo ni idadi kubwa sana kwa jeshi la viwango vya israel.
 
Iran atumie chance hii kumchapa mzayuni anasubiri nini?kama ameshaelemewa upande mmoja kama ilivoandikwa hapo akija na muiran saa nne asubuhi tu anafunga hesabu.

Au labda amestuka zayuni ametunga uwongo ili kumvutia ajichanganye amtandike,huwezi kujua lakini Mimi naona huu ndiyo ulikuwa wakati sahihi kufunga kazi
Iran anajua anachokifanya anajua lini atafungua bucha Israel hapa anakusanya mizigo.


View: https://x.com/jacksonhinklle/status/1819867590384107831?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Hapo kapigana na Hamas walio na silaha za kuokoteza.
Je angepigana na jeshi kamili lenye vifaa kama vyake ingekuaje?
Anadhani Anga yq Gqza anajiachia kila sehemu.

Ndege isiyo na rubani ya Marekani MQ-9 ilidunguliwa juu ya Saada, Yemen, kulingana na Al-Mayadeen.

Ni mara ya nane kwa ndege ya MQ-9 yenye thamani ya dola milioni 32 kupigwa risasi kutoka angani tangu Mafuriko ya Al-Aqsa kuanza, na mara ya saba Yemen.


View: https://x.com/suppressednws/status/1820116883019801060?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Waislam Wanajali siku hizi.. au ndio vile bila wayahudi Muslim anakuwa mpweke.. kama simba na Yanga
 
$32 million X 8 Yemen kaishazitungua hizo MQ-9 drone .

Ohooo Yemen masikini hawana uwezo wowote kazi yao kula mirungi.

Marekani kapelaka kila ofa wamekataa wanataka Israel aondoke Gaza patamu hapo😀
 
Waisrael wa Nyamshwa. Songwe, Ngudu, Maji Matitu, Makete, Makoko. Kibosho. mpo?
Watajificha ngojea kesho uone ksma kuna ataongea kitu hapa. Mimi na infomation channel ya tv ya Egypt inasema Israel wanajeshi wake wote wamekufa kule Gaza, wanao pigana na wale Reserve Soldiers tu, sio wanajeshi wenyewe sababu wamemalizwa huko Gaza huoni wanasita kuingia Lebanon. Wamewapleka wale Madoruz ambao ni warabu ndio wakapigane na Hezbullah. Kuna tv channel ya Egypt ndio imesema vile. Takutafutia na leo hi jioni Hezbullah kapeleka salamu kama za jana


View: https://youtu.be/hJb9oktFhs0?si=o7zYTOwNk1zcZ3Fw
 
Watajificha ngojea kesho ione mkristo kama ataongea kitu hapa. Mi.i na infomation channel ya tv ya Egypt inasema Israel wanajeshi wake wote wamekufa kule Gaza wanao pigana na wale Reserve Soldiers tu sio wanajeshi wenyewe sababu wamemalizwa huko Gaza huoni wanasita kuingia Lebanon wamewapleka wale Madoruz ambao ni warabu ndio wakapigane na Hezbullah. Kuna tv channel ya Egypt ndio imesema vile. Takutafutia na leo hi jioni Hezbullah kapeleka salamu kama za jana


View: https://youtu.be/hJb9oktFhs0?si=o7zYTOwNk1zcZ3Fw

Nakubaliana na wewe wanajeshi hamna kama wanavyosema wenyewe.
Not less than 10,000 israeli soldiers were killed or wounded during the war in Gaza. According to data from the Ministry of Defense's Rehabilitation Branch, every month about 1,000 soldiers are added to the list of the wounded.

Source: Yedioth Ahronoth

🇮🇱BREAKING:

Wanajeshi wasiopungua 10,000 wa Israel waliuawa au kujeruhiwa wakati wa vita huko Gaza. Kwa mujibu wa data kutoka Tawi la Wizara ya Ulinzi la Urekebishaji, kila mwezi takriban wanajeshi 1,000 huongezwa kwenye orodha ya waliojeruhiwa.

Ajabu Muisrael wa Bukombe anapingana na jarida maarufu la Yedioth Ahronoth.
 
Wangekuwa Al Jazeera wamesema hizi habari ndiyo wangepinga sasa wamesema wenyewe.
Wamesema wenyewe akina nani?
Hicho ni kigazeti uchwara cha UDAKU na propaganda cha huko nchini Uturuki, angalia vizuri
 
Wanakumbi.

YERUSALEMU

Takriban wanajeshi 10,000 wa Israel wameuawa na kujeruhiwa tangu kuzuka kwa mzozo wa Gaza Oktoba 7 iliyopita, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Israel siku ya Jumapili.

Gazeti la Yedioth Ahronoth lilisema wanajeshi 1,000 wanahamishwa kila mwezi hadi idara ya ukarabati ya Wizara ya Ulinzi kutokana na majeraha waliyopata katika vita vya Gaza.

"Jeshi linakabiliwa na uhaba wa askari wasiopungua 10,000 waliouawa au kujeruhiwa wakati wa miezi mingi ya mapigano katika Ukanda wa Gaza," gazeti la kila siku lilisema.

Gazeti hilo lilikosoa Knesset (bunge la Israeli) kwa kwenda mapumziko ya kiangazi kuanzia Julai 22 hadi katikati ya Oktoba bila kupitisha sheria ya kuongeza utumishi wa lazima wa kijeshi.

"Hakujawa na hali kama hiyo katika historia ya vita vya Israeli ... ambapo askari wanapigana ndani ya ardhi ya adui, chini ya hali mbaya, kwa miezi 10 mfululizo," mama wa mwanajeshi wa Israeli katika Brigedi ya jeshi la Nahal aliiambia Yedioth Ahronoth.

Kulingana na gazeti hilo, wanajeshi wa kike wanaohudumu katika Milima ya Golan ya Syria inayokaliwa na Israel waliarifiwa bila kutarajia kuhusu kuongezwa kwa miezi minne ya ziada ya huduma yao.

Israel, ikikiuka azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kutaka kusitishwa mara moja kwa mapigano, imekabiliwa na shutuma za kimataifa kutokana na kuendelea na mashambulizi ya kikatili dhidi ya Gaza tangu mashambulizi ya Oktoba mwaka jana na kundi la muqawama la Palestina Hamas.
=====================

JERUSALEM

At least 10,000 Israeli soldiers have been killed and injured since the outbreak of the Gaza conflict last Oct. 7, according to Israeli media on Sunday.

Yedioth Ahronoth newspaper said some 1,000 soldiers are transferred every month to the Defense Ministry’s rehabilitation department due to injuries sustained in the Gaza war.

"The army is suffering from a shortage of at least 10,000 soldiers killed or wounded during the long months of fighting in the Gaza Strip,” the daily said.

The newspaper criticized the Knesset (Israel’s parliament) for going on summer break from July 22 until mid-October without passing legislation to extend mandatory military service.

“There has been no such a situation in the history of Israel’s wars…where soldiers fight inside enemy territory, under unfavorable conditions, for 10 consecutive months,” the mother of an Israeli soldier in the army’s Nahal Brigade told Yedioth Ahronoth.

According to the newspaper, female soldiers serving in Israel-occupied Syrian Golan Heights were unexpectedly informed of an additional four-month extension of their service.

Israel, flouting a UN Security Council resolution demanding an immediate cease-fire, has faced international condemnation amid its continued brutal offensive on Gaza since an attack last October by the Palestinian resistance group Hamas.

Habari zaidi bofya hapa chini
👇🏽

Military service of female soldiers in Israel-occupied Golan Heights extended by 4 months, according to Israeli media - Anadolu Ajansı At least 10,000 Israeli soldiers killed, injured in Gaza war: Report
Kuuawa na kujeruhiwa ndio nini wewe Kobaz?
 
Wamesema wenyewe akina nani?
Hicho ni kigazeti uchwara cha UDAKU na propaganda cha huko nchini Uturuki, angalia vizuri
Acha ujinga wewe.
Toka lini UTURUKI inamiliki chombo cha habari kinachoitwa TIMES OF ISRAEL!??
Hiko ni chombo cha Israel utake USITAKE.
 
Back
Top Bottom