Yemen chini ya Houth yataja mikakati yake ya kupigana na Marekani kwa muda mrefu

Yemen chini ya Houth yataja mikakati yake ya kupigana na Marekani kwa muda mrefu

Kama unamzungumzia mtume mohammad basi jua ya kwamba,, alikuwa na wake wanne, watoto saba, alikuwa mfanyabiashara na jemedari wa kivita aliongoza vita Zaidi ya moja,,, kifupi alikuwa mwanaume wa shoka haswa
Mtume wa kweli hawezi kuwa jemedari wa vita, yeye Mungu ndiye anampigania.
 
Mikakati iliyotajwa na mmoja wa makamanda wakuu wa Houth ni pamoja na kuimarisha ngome zao ndani ya milima inayotazamana na baharai nyengine ambamo tangu hapo silaha hata nyuklia ni shida kupenya.
We Jamaa wewe.....
 
Back
Top Bottom