Yemen Houthi: Tutajibu mashambulizi Israel nchi yeyote itakayozua makombora tutaishambulia

Yemen Houthi: Tutajibu mashambulizi Israel nchi yeyote itakayozua makombora tutaishambulia

BREAKING: TAARIFA RASMI YA YEMEN HOUTHI

"Uchokozi wa "Waisraeli" dhidi ya Hodeidah ulikuwa wazi na adui alifungua vita vya wazi.

Uchokozi wa "Waisraeli" dhidi ya Hodeidah ni jaribio la kubadilisha sura iliyoshindwa ya adui.

Tutalenga kina cha "Israeli".

Uchokozi wa "Waisraeli" unajaribu kupanua mzozo na kupitisha sheria za ushiriki.

Kufungua vita na watu wa Yemen haitakuwa rahisi.

Makabiliano na adui Mzayuni yatakuwa wazi na bila mipaka.

Hatutazingatia kanuni zozote za kujihusisha na adui Mzayuni.

Hatuogopi ongezeko lolote na tunasonga kwa sababu ya haki.

Tuko tayari na tunaweza kubeba matokeo yote.

Waisraeli wanapaswa kutarajia majibu yetu kila wakati

Vifaa vyote nyeti katika ngazi zote vitalengwa

Lengo letu kuu ni kuwatetea wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina

Watu wa Yemen walichukua msimamo wa kuwajibika na watu wa Palestina

Tunayo nia na uwezo wa kutosha wa kupigana vita ndefu."
Pumbafu nyinyi magaidi wa kiislamu mnabweka wkt IDF anazidi kuwatanguliza kwa mabikira 72 mbweha nyie
 
Unaropoka wewe tena unaropoka haswa.
Yemeni haina Civil war vita zilishaisha.
Yemeni yote iko moja chini ya Houthi.
Na kilichoifanya Yemeni kuwa masikini ni vita za miaka 7 za kumuondoa madarakani Mansour.
Yemeni ina nguvu ya kijeshi ya kuipiga hata hiyo Egypt unayoitaja hapa.
Muulize Saudi Arabia kilimkuta nini alipoungana na USA kumbakiza Mansour madarakani.
MAVI YAKO HUIJUI ISRAEL WEWE
 
MAVI YAKO HUIJUI ISRAEL WEWE
Haya majamaa yana shingo ngumu sana.
Yaani yaliamini kabisa Houthi ni size ya Israel, Israel size yake ni nchi za G7 siyo magaidi ya kiislamu.
Walete houthi na hamas tuwaone.wako kimya wamejichimbia kwenye mashimo kama panya buku!
 
Back
Top Bottom