Yemen Houthi: Tutajibu mashambulizi Israel nchi yeyote itakayozua makombora tutaishambulia

⚡️BREAKING: Nasr El-Din Amer @Nasr_Amer1, Makamu wa Rais wa Mamlaka ya Vyombo vya Habari vya Ansarallah:

Taarifa za hivi punde kutoka Hodeidah, Yemen baada ya shambulio la Israel:

"Hakuna vifo, ni majeruhi kadhaa tu, wengi wao wakiwa wameungua.

Moto huo unakaribia kuzimwa na timu za ulinzi wa raia.

Umeme huko Hodeidah umerejeshwa.

Asante Mungu."
 
Nikimuoanaga mtu anawashabikia hawa Houthis namuoanga kama Mjinga.

Imagine kijana amejaza mirungi hivi alafu mtu kama FaizaFixy ana amini akili iko sawa.

Yemen ni mfano wa nchi ambazo madawa ya kulevya yameharibu nchi nzima
Sasa kijana anayeshabikia ushoga na mla mirungi nani mjinga?
 
🚨🇾🇪HAWA WANADAI MASHAMBULIZI ZAIDI KWA ISRAEL YAKO HARAKA

Baada ya IDF kulenga shabaha kadhaa nchini Yemen, msemaji rasmi wa Houthi alitoa taarifa ifuatayo:

“Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vinathibitisha haki yao kamili ya kuilinda Yemen inayopendwa dhidi ya uvamizi wa Marekani na Uingereza, pamoja na uvamizi wa Israel, na kwamba uchokozi huu hautaizuia Yemen kuu kutoka kwenye misimamo yake thabiti kuelekea ukandamizaji wa watu wa Palestina.

Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vinathibitisha kwamba jibu la uvamizi wa Israel dhidi ya nchi yetu bila shaka linakuja na litakuwa kubwa na kubwa.

Chanzo: Tovuti rasmi ya Houthi
 
Hahaha ngoja tuone, walikuwepo wenzie with similar ambitions, where are they now?
Mabwana zako wanadhani Yemen ni Gaza wanataka kupigana na watu ambao hawana silaha wao wanapewa silaha na Marekani na Ulaya hawataki wengine wapewe silaha hawa mashoga wanachekesha sana.

Israel inasema Yemen, Hezbollah na Hamas wanatumia silaha za Iran na Urusi dhidi yetu.
 
Here is your problem kaka, ukikosolewa kidogo unachukulia personal, means you cant argue kwa style hiyo, mabwana hivi mabwana vile.. have some respect halaf focus of facts, dont take it personal
 
Kibandari Chao kimepigwa kibiriti wanaanza kutafuta huruma wapige tenawaone moto wa Israel
Hiyo siyo haki, sasa na wao si walitakiwa kujibu kwa kushambulia kwa drone tu. Kushambuliwa kidogo wao wanajibu kwa kuchoma moto, halafu mashambulizi yao yameishia kuathiri gas na mafuta kwa ajili ya wanawake na watoto
 
Mbona huzungumzii ushoga na transgender jinsi ilivyoharibu nguvu kazi za Magharibi!?
Marekani hadi leo kuna watu kama Trump wanapinga Ushoga na vitendo vyake, na ushoga ni kikundi cha watu wachache sana

Yemen nchi nzima wanakula Mirungi, maduka hayauzi kitu chochote zaidi ya mirungi, Iran inawalipa Houthi Mirungi na kuwapa makombora warushe popote.

What are they fighting for?
 
Wewe lazima utakuwa shoga unaulizwa mashoga Marekani unalete story za Trump, Serikali ya Marekani na Ulaya pamoja na Israel wanasheria za kuwalinda mashoga na wanaruhusu mashoga kufunga ndoa tena Kanisani. Umeshindwa kusema hayo unalalamika na mirungi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…