Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakina Taifa litakaloweza kuitoa Israel ktk nchi aliyopewa na Mungu. Biblia imeandika kila kitu kitakachojiri siku za mwisho. Hivi vita ni maandalizi tu ya vita kubwa itakayokuja ambapo nchi za kiislamu zikisaidiwa na Urusi zitaivamia Israel. Wakati huo Marekani haitakuwa na uwezo wa kuisaidia Israel. Lakini Mungu ndipo atajitokeza kuwapigania na Mrusi na chi za kiislamu watazikwa ktk Israel na Israel itakuwa salama. Ndipo watamwamini Yesu Kristo.
Afu kondoo walio potea wanakuambia imepinga Nyansi 😄
Wayemeni kwanza waliitandika Tel Aviv kwa drone, sasa wameitandika kwa ballistic missile.
Halafu Wayemeni vichwa sana. Wameipitusha missike Red Sea ikaingia Saudi Arabia, Ikaingia Jordan ikaibamiza Tel Aviv.
Maana yake nini?
Wamarekani na meli zao za kivita zote zote wameshindwa kuizuia missile ilipopita Red Sea, vikaragosi na vidosho vya mazayuni vya Saudi Arabia vikashindws kuizua missile, vikaragosi vya Jordan nao wakashindwa kuizuia.
Wayemeni wamesema hawajaanza kushambulia, hiyo ni Bashraf, mziki kamili haujaanza.
Msije anza lia maana Israel hajali mtoto wala mwanamke
Kikubwa tu msije kulia lia ndio mnachoambiwa hapaSiyo hawajali, ndicho wanachoweza hicho, ujanja wao ninkuuwa watoto na wanawake na nahospitali.
Hizo kijeshi zinaitwa dead targets.
Mwaka unakata vijana bado wamejichimbia na wanashambulia kutokea Ghaza. Na mateka wanao.
Hamas ni wrong nunber kabisa.
Vipi halijaua wanawake na watoto?
BREAKING: Israeli Channel 12 reports that the Israeli military has informed the families of hostages Ron Sherman, Nick Bezer, and Ilya Tolidano that they were killed in an Israeli airstrike. Their bodies were recovered by the Israeli military last December.Kikubwa tu msije kulia lia ndio mnachoambiwa hapa
Teh teh! Ipo kazi Yahya Sinwar nae anaishi kwenye mapango wakati kuna dada zake bikira wanasubili peponi akawapige shoo
Dawa yao wacha badaya yashtakiwe yalihusika kwenye genocide
Israel wanamwamini yesu kristo?Hakina Taifa litakaloweza kuitoa Israel ktk nchi aliyopewa na Mungu. Biblia imeandika kila kitu kitakachojiri siku za mwisho. Hivi vita ni maandalizi tu ya vita kubwa itakayokuja ambapo nchi za kiislamu zikisaidiwa na Urusi zitaivamia Israel. Wakati huo Marekani haitakuwa na uwezo wa kuisaidia Israel. Lakini Mungu ndipo atajitokeza kuwapigania na Mrusi na chi za kiislamu watazikwa ktk Israel na Israel itakuwa salama. Ndipo watamwamini Yesu Kristo.
Huyo ni Houthi sio Hamas.Kikubwa tu msije kulia lia ndio mnachoambiwa hapa
Sawa acha tuone.. uzur hizi show Myahud hajaanza leo, toka aanze kuwapangua hawa raia ni wengi mnoo toka enz kabla ya Masihi kuja duniani wala USA haifikiriwi kuepo enzi hizoHuyo ni Houthi sio Hamas.
Houthi sio Hamas mkuu.Sawa acha tuone.. uzur hizi show Myahud hajaanza leo, toka aanze kuwapangua hawa raia ni wengi mnoo toka enz kabla ya Masihi kuja duniani wala USA haifikiriwi kuepo enzi hizo
Sawa sawa chief.. hii kitu maadam washakata utepe, basi tuendelee kula show tu hufu fuel iki shoot, atakaye toa mlio bas tutamjua tuHouthi sio Hamas mkuu.
Muulize huyo USA anayemlea Israel kuanzia 2014 hadi 2021 alikutana na upinzani upi alipoungana na Saudi Arabia kuwazuia Houthi wasichukue madaraka Yemeni.
Mzigo huo…Sawa sawa chief.. hii kitu maadam washakata utepe, basi tuendelee kula show tu hufu fuel iki shoot, atakaye toa mlio bas tutamjua tu