Yemen na Iraq waionya Marekani kuiunga mkono Israel. Watalenga maslahi yao

Yemen na Iraq waionya Marekani kuiunga mkono Israel. Watalenga maslahi yao

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Huku viongozi wa Marekani wakitoa matamko ya wazi ya utayari wao kuisaidia silaha zaidi Israel na kivitendo imeshasogeza meli za kivita kwenye bahari ya mediteranean karibu na Israel..

Viongozi wakubwa wa mataifa ya Yemen na Iraq wameionya Marekani dhidi ya uingiliaji kati wake huo.

Huko Iraq Hadi al-Amiri ambaye ni kiongozi wa kundi kubwa la Badri lenye mafungamano na Iran,amesema watu wake wanafuatilia kwa karibu kauli na uungaji mkono wa taifa hilo kwa Israel.

Na huko Yemen kiongozi wa kikundi cha Houth kilichoilazimisha Saudi Arabia kuingia nayo mkataba wa kusitisha vita baada ya kuishambulia nchi hiyo mfululizo naye amesema wataanza tena kutumia droni zao kushambulia popote penye maslahi ya Marekani.

Kule Iraq mwaka juzi na mwaka jana wanamgambo waliweza kuvurumisha makombora kwenye kambi za kijeshi za Marekani yaliyoleta madhara makubwa kwa kambi hizo.

1696955763521.png
 
Huku viongozi wa Marekani wakitoa matamko ya wazi ya utayari wao kuisaidia silaha zaidi Israel na kivitendo imeshasogeza meli za kivita kwenye bahari ya mediteranean karibu na Israel..

Viongozi wakubwa wa mataifa ya Yemen na Iraq wameionya Marekani dhidi ya uingiliaji kati wake huo.

Huko Iraq Hadi al-Amiri ambaye ni kiongozi wa kundi kubwa la Badri lenye mafungamano na Iran,amesema watu wake wanafuatilia kwa karibu kauli na uungaji mkono wa taifa hilo kwa Israel.

Na huko Yemen kiongozi wa kikundi cha Houth kilichoilazimisha Saudi Arabia kuingia nayo mkataba wa kusitisha vita baada ya kuishambulia nchi hiyo mfululizo naye amesema wataanza tena kutumia droni zao kushambulia popote penye maslahi ya Marekani.

Kule Iraq mwaka juzi na mwaka jana wanamgambo waliweza kuvurumisha makombora kwenye kambi za kijeshi za Marekani yaliyoleta madhara makubwa kwa kambi hizo.

View attachment 2778009

Naona wameichoka amani,anyway nani kawakataza na wao kuiunga mkono palestina na kuipelekea silaha.
 
Huku viongozi wa Marekani wakitoa matamko ya wazi ya utayari wao kuisaidia silaha zaidi Israel na kivitendo imeshasogeza meli za kivita kwenye bahari ya mediteranean karibu na Israel..

Viongozi wakubwa wa mataifa ya Yemen na Iraq wameionya Marekani dhidi ya uingiliaji kati wake huo.

Huko Iraq Hadi al-Amiri ambaye ni kiongozi wa kundi kubwa la Badri lenye mafungamano na Iran,amesema watu wake wanafuatilia kwa karibu kauli na uungaji mkono wa taifa hilo kwa Israel.

Na huko Yemen kiongozi wa kikundi cha Houth kilichoilazimisha Saudi Arabia kuingia nayo mkataba wa kusitisha vita baada ya kuishambulia nchi hiyo mfululizo naye amesema wataanza tena kutumia droni zao kushambulia popote penye maslahi ya Marekani.

Kule Iraq mwaka juzi na mwaka jana wanamgambo waliweza kuvurumisha makombora kwenye kambi za kijeshi za Marekani yaliyoleta madhara makubwa kwa kambi hizo.

View attachment 2778009
Vita kuu ya Tatu hii
 
Huku viongozi wa Marekani wakitoa matamko ya wazi ya utayari wao kuisaidia silaha zaidi Israel na kivitendo imeshasogeza meli za kivita kwenye bahari ya mediteranean karibu na Israel..

Viongozi wakubwa wa mataifa ya Yemen na Iraq wameionya Marekani dhidi ya uingiliaji kati wake huo.

Huko Iraq Hadi al-Amiri ambaye ni kiongozi wa kundi kubwa la Badri lenye mafungamano na Iran,amesema watu wake wanafuatilia kwa karibu kauli na uungaji mkono wa taifa hilo kwa Israel.

Na huko Yemen kiongozi wa kikundi cha Houth kilichoilazimisha Saudi Arabia kuingia nayo mkataba wa kusitisha vita baada ya kuishambulia nchi hiyo mfululizo naye amesema wataanza tena kutumia droni zao kushambulia popote penye maslahi ya Marekani.

Kule Iraq mwaka juzi na mwaka jana wanamgambo waliweza kuvurumisha makombora kwenye kambi za kijeshi za Marekani yaliyoleta madhara makubwa kwa kambi hizo.

View attachment 2778009
Wakae kitako tumalizane kwanza wa hii kundi la kwanza, zamu yao inafuata muda si mrefu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Inasubiriwa Amri tu kutoka kwa Boss Vladimir Moscow mkuu wewe unafikiri dogo alikurupuka kumvamia Mzayuni? backup ipo ya kutosha na mmarekani akicheza WW3 itanukia. Netanyahu kapagawa anafanya genocide Gaza Kazi anayo KUMEKUCHA
Mrusi anapumulia mashine, kala pesa za kununua silaha za Armenia na silaha hajakabidhi. Armenia inabidi afanye mchakato wa kununua silaha kutoka India na Ufaransa

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom