Yemen na Iraq waionya Marekani kuiunga mkono Israel. Watalenga maslahi yao

Yemen na Iraq waionya Marekani kuiunga mkono Israel. Watalenga maslahi yao

Hawa sio watu wa kelele.Ni watu wa vitendo kama vile walivyowahi kufanya kweli.

Waliwahi kufanya lini kweli? America amekuwa akimuunga mkono israel kwa miongo kadhaa sasa. Kipindi hiko walikuwa wapi mpaka sasa?
 
Iraq ipi😂😂😁😬😀😀, Sadam hussein yuko wapi? . Hizi ni failure states zinyamaze kimya, Mungu wa Israeli yupo macho.
 
Back
Top Bottom