Afghanistan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 308
- 403
HahahaHawa masikini wanatupigia kelele tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaHawa masikini wanatupigia kelele tu
baadae hatutak PRAY FOR PALESTINA , NA HAPA MNAWASHABIKIA WANAOWAPONZA PALESTINAHawa sio watu wa kelele.Ni watu wa vitendo kama vile walivyowahi kufanya kweli.
kwahyo mnavamia ili muwasingize wanaojitetea kuwa wameanzisha ww3?Inasubiriwa Amri tu kutoka kwa Boss Vladimir Moscow mkuu wewe unafikiri dogo alikurupuka kumvamia Mzayuni? backup ipo ya kutosha na mmarekani akicheza WW3 itanukia. Netanyahu kapagawa anafanya genocide Gaza Kazi anayo KUMEKUCHA
we jitie wendawazimu tu , unaona hlf unajifanya huelew , milipuko ya huko moscow imewai tokea lin , kuona drone za nchi yoyote zimegusa moscow , au bado unahisi si ttzo kwa urusi hilo?Yupo hoi kwa lipi mkuu twende kihoja!! Au unabwata tu hapa jf
hiyo inahusiano gan na hiki kinachoendelea ss hv ? ukihojiwa kwann ulikaa kimya utajibu kwasababu uliikataa Israel isijiunge na umoja wa afrika ?Si kweli,nchi 14 barani Afrika zimeikataa Israel kujiunga na umoja WA Afrika.
Mojawapo ya hizo nchi ni Tanzania.
na bado unasena prat for palestina wkt unajuwa ujinga walioufanya mpk wamepewa kipigo cha overHii ya juzi Jumamosi ya sabato unaionaje?
😅😂😂Huku ata tuambiwe tuende utasikia wajinga hao ngoja tukawapige shughuli ukienda uwanja wa vita hatupo😂Africa Kimya!
Si kweli,nchi 14 barani Afrika zimeikataa Israel kujiunga na umoja WA Afrika.
Mojawapo ya hizo nchi ni Tanzania.
Hawa jamaa imani yao inapenda umwagaji damu,unachokoza usichokiweza ukipigwa unalalamika?ni ushetani fulani hivi.baadae hatutak PRAY FOR PALESTINA , NA HAPA MNAWASHABIKIA WANAOWAPONZA PALESTINA
we jitie wendawazimu tu , unaona hlf unajifanya huelew , milipuko ya huko moscow imewai tokea lin , kuona drone za nchi yoyote zimegusa moscow , au bado unahisi si ttzo kwa urusi
Hizo drone zimeleta massive impact IPI? Hapo Noscow Utalinganisha na Kamikaze alichofanya huko Ukraine? Nyie kina Zelensky endeleeni kuomba misaada na mikopo ya silaha. Vita imehamia middle east atawafadhili nani? Biden yupo busy na Israel alafu unakuja kuongea porojo hapakwahyo mnavamia ili muwasingize wanaojitetea kuwa wameanzisha ww3?
Silaha alizokua anapeleka mmarekani na mashoga zake ukraine ndo zinazokinukisha mashariki ya kati Putin aliwapa onyo mapema,,,,,, unapeleka silaha nchi inanuka rushwa kwanini wasiziuze kwenye blackmarketMrusi anapumulia mashine, kala pesa za kununua silaha za Armenia na silaha hajakabidhi. Armenia inabidi afanye mchakato wa kununua silaha kutoka India na Ufaransa
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ministry of Defense of Ukraine in a bizarre statement:Hizo drone zimeleta massive impact IPI? Hapo Noscow Utalinganisha na Kamikaze alichofanya huko Ukraine? Nyie kina Zelensky endeleeni kuomba misaada na mikopo ya silaha. Vita imehamia middle east atawafadhili nani? Biden yupo busy na Israel alafu unakuja kuongea porojo hapa
Sauti ya maskini hupuuzwa hata na kuku wake mwenyewe.Africa Kimya!
Ministry of Defense of Ukraine in a bizarre statement:
"Hamas soldiers have been trained by Russian Wagner in Africa."
Zelensky also claimed Yesterday: "Without Russia, Hamas could not do this, we must defeat Russia. West should not forget Ukraine."
Ministry of Defense of Ukraine in a bizarre statement:
"Hamas soldiers have been trained by Russian Wagner in Africa."
Zelensky also claimed Yesterday: "Without Russia, Hamas could not do this, we must defeat Russia. West should not forget Ukraine."
So What?! Kwani walikuwaMinistry of Defense of Ukraine in a bizarre statement:
"Hamas soldiers have been trained by Russian Wagner in Africa."
Zelensky also claimed Yesterday: "Without Russia, Hamas could not do this, we must defeat Russia. West should not forget Ukraine."
Hii siyo AlmagedonNi lazma kwanza dhiki kuu itokee, ambayo itatokana na mdororo wa kiuchumi duniani ndipo mataifa yaanze kuzichapa
Hii Dunia Ina meeengi ya kukuacha mdomo wazi.Israeli ijiunge na AU kivipi wakati haipo bara la Africa?
Watulie sindano izamishwe.Ministry of Defense of Ukraine in a bizarre statement:
"Hamas soldiers have been trained by Russian Wagner in Africa."
Zelensky also claimed Yesterday: "Without Russia, Hamas could not do this, we must defeat Russia. West should not forget Ukraine."