Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Wamuulize Japs na kamikaze wake kilichowakuta mpaka leo imebaki historia na Mjapani hataki tena ugomvi.
Mpaka sasa naamini hakuna jeshi lililokuwa na nguvu huko Pacific, Asia mpaka middle east kuliko Japani.
Mjapani ndio Taifa pekee duniani mpaka sasa lilliwoweza kuishambulia USA na kuwa na uthubutu wa kuishambulia USA.
Mpaka sasa naamini hakuna jeshi lililokuwa na nguvu huko Pacific, Asia mpaka middle east kuliko Japani.
Mjapani ndio Taifa pekee duniani mpaka sasa lilliwoweza kuishambulia USA na kuwa na uthubutu wa kuishambulia USA.