Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Waislamu wengi wana utindio wa ubongo kama allah na muhammad
Kuliko wavishwa pampers ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislamu wengi wana utindio wa ubongo kama allah na muhammad
Wewe ni muongo
Wewe ni muongo View attachment 3035872
View: https://youtu.be/NSZELXjR0u4?si=coiCtQG-3LH9tvA6
Tuliwambia US atakimbia Yemen wakatokea wajinga hapa eti wale wala mirungi huku wakicheka, nikawambia kwenye history hakuna vita Yemen kaingia, akashindwa.
Wako wapi sasa waje wajibu hapa US, UK, India, France pamoja na Nato wako wapi.
Yemen wanaume wale si mchezo.
Unaelezea past stories.Wamuulize Japs na kamikaze wake kilichowakuta mpaka leo imebaki historia na Mjapani hataki tena ugomvi.
Mpaka sasa naamini hakuna jeshi lililokuwa na nguvu huko Pacific, Asia mpaka middle east kuliko Japani.
Mjapani ndio Taifa pekee duniani mpaka sasa lilliwoweza kuishambulia USA na kuwa na uthubutu wa kuishambulia USA.
Umemjibu vzuri sana huyo kilazadogo nani anaye kuambia Yemen nchi masikini wewe, tatizo lako we unasikiliza story za vijiweni.
Yemen ni matajiri kuliko hadi Saud Arabia ni Saud Arabia na US ndio wanao leta fitna huko miaka wanawahonga nchi zisiende chimba mafuta Yemen.
We unataka kuifananisha Yemen na Somali, we chizi nini hata Tanzania+uganda+kenya hawaoni kwa utajiri wa Yemen.
Eunuki ni mwanaume ambaye amekatwa korodani, kawaida mapema maishani hadi kuwa na athari kubwa za homoni. Kihistoria, eunuki walikuwa wakiajiriwa katika nafasi kama vile watumishi wa ikulu, walinzi wa harem, na wakati mwingine hata kama maafisa wa serikali, hasa katika jamii za kale na za enzi za kati. Zoezi la kuwakata korodani wanaume ili kuwafanya eunuki lilifanyika kwa sababu mbalimbali za kijamii, kisiasa, na kiuchumi.Mimi siandiki biblia
Eunuch ni Nani kwa mujibu wa biblia yako hiyo ?
Eunuki ni mwanaume ambaye amekatwa korodani, kawaida mapema maishani hadi kuwa na athari kubwa za homoni. Kihistoria, eunuki walikuwa wakiajiriwa katika nafasi kama vile watumishi wa ikulu, walinzi wa harem, na wakati mwingine hata kama maafisa wa serikali, hasa katika jamii za kale na za enzi za kati. Zoezi la kuwakata korodani wanaume ili kuwafanya eunuki lilifanyika kwa sababu mbalimbali za kijamii, kisiasa, na kiuchumi.
Endelea kusoma vizuri English language na Kiswahili ili ufahamu tofauti yaMimi siandiki biblia wala sitafsiri, sina mamlaka hayo
Hiyo ni tafsiri ya biblia yenu Jehovah Witnesses, imechakachuliwa,
Towashi ni eunuch kwa kiengereza
Ukiangalia kwenye biblia za kiengereza watu hao wameandikwa kuwa ni eunuch , na tafsiri niliyoletewa na , imeloa ni ni hii
eunuch
/ˈjuːnək/
noun
a man who has been castrated, especially (in the past) one employed to guard the women's living areas in an Asian court.
*******************************************
Please be informed accordingly.
KAMA WATU HAO WANAWEZA KUINGIA KWENYE MKUTANO WA BWANA , AGANO LA KALE LINASEMA WATU HAO HAWAINGII
The Darby Translation Bible
1 He that is a eunuch, whether he have been crushed or cut, shall not come into the congregation of Jehovah.
Douay-Rheims Catholic Bible
1 An eunuch, whose testicles are broken or cut away, or yard cut off, shall not enter into the church of the Lord.
Hapa kuna contradiction iliyofanywa na waliotafsiri ili kuepuka kuweka jina la wasenge , Gays na ndio ukifungua kwenye biblia ya Queen James version, wao, huyo eunuch wametafsiri kama ilivyokuwa asilia kuwa ni wasenge, GAYS kuepuka mkanganyiko
Mkuu, mbona jina lako kama linajieleza vizuri katika mchango wako kwenye hoja hii!!unajidanganya sana, unadhani chadema hao kama kuku aliepotea? Mpira wa baskeli ukipasuka wao wanaenda mbio?
Kitakachomtokea USA Yemen ni kama kilichomtokea alivyokuwa Somalia dhidi ya Farah Aidid.Sipati picha mkong'oto watakao kula wakisubutu kufanya hivyo. Kutulia Kwa USA hawa jamaa wanafikiri wanaiweza
Endelea kusoma vizuri English language na Kiswahili ili ufahamu tofauti ya
(Hanisi na Shoga)......
(A gay and an Eunuch)...