Yemen yatungua ndege jeshi ya 6 ya jeshi la USA- tazama ilivyoitungua!!

Yemen yatungua ndege jeshi ya 6 ya jeshi la USA- tazama ilivyoitungua!!

kipumbwi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
3,162
Reaction score
9,073
20240529_215828.jpg
Houthi wanaotawala eneo kubwa la Yemen wametungua tena ndege jeshi ya USA aina ya MQ-9 ambayo thamani yake ni dola 30mln.
Taarifa rasmi ya msemaji wa jeshi na video ya hatua nzima ya kuipiga komborq ikiwa umbali wa zaidi ya 10km angani nimeambatanisha.


20240529_170313.jpg
20240529_170318.jpg
 
Hamasi wangekuwa na Angalau hivyo vifaa myahudi angeita maji mman
Syria, Yemen na Egypt tena kipindi Egypt ina nguvu kuliko nchi zote hapo Middle East walijaribu mara mbili kwa pamoja wakashindwa.
Yemen wanasema kudungua drone ya sita ndani ya miezi kadhaa au miaka. Israel iliwahi haribu ndege zaidi ya 200 za Egypt kwa usiku mmoja, zaidi ya nusu ya ndege za Egyptian Airforce.
 
Kudungua drone hakuhitaji shabaha. Ni kuwa na silaha husika kwa sehemu husika na kwa wakati sahihi. Hata S-128 Neva iliyoundwa wakati Tanganyika tunapata uhuru inaweza dungua MQ-9
Drone ya Karne ya 21,iliyoundwa kutoonekana kwenye rada haiwezi dunguliwa na silaha ya 1960,acha uwongo,najua unaumia kuona vifaa vya chama lako unalolikubali kuonekana dhaifu
 
Drone ya Karne ya 21,iliyoundwa kutoonekana kwenye rada haiwezi dunguliwa na silaha ya 1960,acha uwongo,najua unaumia kuona vifaa vya chama lako unalolikubali kuonekana dhaifu
MQ-9 haijaundwa kutoonekana kwenye radar kama hujui uliza. Imeundwa kwa ajili ya nchi njaa zisizo na air defense ya uhakika. Popote penye comfirmed presence ya air defense MQ-9 haipelekwi uko.

Of all things, Reaper sio stealth drone. Inaonekana kwenye radar kuliko hata fighter jets za miaka ya 1970
 
Houthi sio Hamas.
USA kuanzia 2014 mpaka 2021 alifadhili vita ya kuwaua hao Houthi,ila alichokipata hatoweza kusahau.
Hao wayemen wanagonga shaba wewe.
Hahahah kweli ila inaonekana wapo na sapoti ya Iran
 
Syria, Yemen na Egypt tena kipindi Egypt ina nguvu kuliko nchi zote hapo Middle East walijaribu mara mbili kwa pamoja wakashindwa.
Yemen wanasema kudungua drone ya sita ndani ya miezi kadhaa au miaka. Israel iliwahi haribu ndege zaidi ya 200 za Egypt kwa usiku mmoja, zaidi ya nusu ya ndege za Egyptian Airforce.
Pole kwa maumivu,
Naona hii habari imekuchoma kama pasi Yahudi wa Ifakara.
 
MQ-9 haijaundwa kutoonekana kwenye radar kama hujui uliza. Imeundwa kwa ajili ya nchi njaa zisizo na air defense ya uhakika. Popote penye comfirmed presence ya air defense MQ-9 haipelekwi uko.

Of all things, Reaper sio stealth drone. Inaonekana kwenye radar kuliko hata fighter jets za miaka ya 1970
Mkuu hii ni ndege iliyo tumia gharama kubwa kutengenezwa hivyo haiwezi kuwa dhaifu kiasi hichi kama unavyo razimisha kutuaminisha.

Kama ndo hivyo hiyo drone itakuwa na tofauti gani na hivi vidrone vya kurekodia move za kibongo vyene thamani ya $800?

Kwenye Post ya kwanza umedai kuwa drone hiyo ina weza kuangushwa hata na mifumo ya miaka 1960 alafu wakati huo huo unatuambia imeundwa kwa ajili ya nchi zisizo na uhakika ID.
Basi tuseme hiyo drone imetengenezwa kama mwana sesele wa kuchezea tu maana kila nchi itakapo paa itatunguliwa kwa sababu kila nchi hapa duniani ina ID zinacho tofautiana ni ubora tu.
 
Jamaaa wAna shabaha atari
Hamasi wangekuwa na Angalau hivyo vifaa myahudi angeita maji
Syria, Yemen na Egypt tena kipindi Egypt ina nguvu kuliko nchi zote hapo Middle East walijaribu mara mbili kwa pamoja wakashindwa.
Yemen wanasema kudungua drone ya sita ndani ya miezi kadhaa au miaka. Israel iliwahi haribu ndege zaidi ya 200 za Egypt kwa usiku mmoja, zaidi ya nusu ya ndege za Egyptian Airforce.
Bado mnakuwa na illusion tu na hizo poroji za miaka 30 nyuma
Kodi za Wamarekani zinachezewa sana
Nina uhakika hizo drone anayeopperate ni mwisrael na sio usa ..
 
Mkuu hii ni ndege iliyo tumia gharama kubwa kutengenezwa hivyo haiwezi kuwa dhaifu kiasi hichi kama unavyo razimisha kutuaminisha.

Kama ndo hivyo hiyo drone itakuwa na tofauti gani na hivi vidrone vya kurekodia move za kibongo vyene thamani ya $800?

Kwenye Post ya kwanza umedai kuwa drone hiyo ina weza kuangushwa hata na mifumo ya miaka 1960 alafu wakati huo huo unatuambia imeundwa kwa ajili ya nchi zisizo na uhakika ID.
Basi tuseme hiyo drone imetengenezwa kama mwana sesele wa kuchezea tu maana kila nchi itakapo paa itatunguliwa kwa sababu kila nchi hapa duniani ina ID zinacho tofautiana ni ubora tu.
Air defense system sio mwanga kwamba unacover kila kona ya nchi nzima. Hata Urusi na batteries chungu nzima za AD bado Ukraine inarusha slow moving cardboard drones zinaenda deep 600km into Russian territories. AD zina sites zake na kuna loopholes na blindspots kibao.

Ndege kutumia gharama kubwa hakuifanyi iwe stealth. F-15EX sio stealth na ni bei kubwa kuliko F-35 ambayo ni stealth.

Again, MQ-9 Reaper sio stealth na ina radar cross section kubwa kuliko fighter jets za 1970, ni rahisi kudungua MQ-9 kuliko kudungua F-14 Tomcat ya early 1970s. Kajifunze kwanini iliundwa, not for a contested airspace.
 
Back
Top Bottom