Yemen yatungua ndege jeshi ya 6 ya jeshi la USA- tazama ilivyoitungua!!

Yemen yatungua ndege jeshi ya 6 ya jeshi la USA- tazama ilivyoitungua!!

Air defense system sio mwanga kwamba unacover kila kona ya nchi nzima. Hata Urusi na batteries chungu nzima za AD bado Ukraine inarusha slow moving cardboard drones zinaenda deep 600km into Russian territories. AD zina sites zake na kuna loopholes na blindspots kibao.

Ndege kutumia gharama kubwa hakuifanyi iwe stealth. F-15EX sio stealth na ni bei kubwa kuliko F-35 ambayo ni stealth.

Again, MQ-9 Reaper sio stealth na ina radar cross section kubwa kuliko fighter jets za 1970, ni rahisi kudungua MQ-9 kuliko kudungua F-14 Tomcat ya early 1970s. Kajifunze kwanini iliundwa, not for a contested airspace.
Huyu mtaaalamu wa ndege kutoka Jamiii Forum
 
Tuambie sasa ni kipi hasa cha upekee ilicho nacho mpaka iwe na gharama kubwa kiasi hicho?
Hivi unajua kitu kinapo itwa chombo cha upelelezi nini maana yake?
Kinachofanya Reaper iwe na gharama kubwa ni sensors zake. Sensors zina gharama kubwa sana. Mfano kuweza kufuatilia mawasiliano ground na zile camera zake zinazoona mchana na usiku. Rais wa Iran alivyopotea na helicopter ni Akinci drone ya Uturuki ilikuja kuona crash site, sababu Iran walikuwa wanadumbukiza kichwa nje ya ndege kutafuta kwa macho, mara watumie drone hazina night vision camera na sio all weather, mara wadai kuna ukungu. Akinci ilipaa juu ambapo ukungu hamna ikawasha sensors ikawasha NV cameras haikutumia hata masaa mawili. Wakati Iran walishinda kutwa nzima wanatafuta.

Umuhimu wa Reaper unakuja pale ambapo inaweza kaa angani masaa 24 bila kutua wala kuongezwa mafuta na inaweza beba silaha kiasi. Kwenye operation ya kumuua Qasem Soleimani Reaper zilikaa angani uko Bagdad kwa masaa 20 zikizunguka, exact time ya yeye kufika haikuwa inajulikana so walikuwa wanafuatilia mawasiliano na movements. Ingekuwa ni suala la jet fighters zingeshindwa kusubiri muda wote huo.

Na umuhimu wa Reaper mwingine iko expendable. Ukiidungua unabaki na machuma na Marekani wanapotezea, ukidungua manned aircraft either uue rubani au atue kwenye territory yako jambo gumu kidiplomasia.
Na kimahesabu Marekani huona ni bora ipoteze drone kuliko ndege na rubani, Reaper ni $30 million inazidiwa na F-16 ila bado rubani mpaka anagraduate gharama zake ni kama $6 million. Kwa ndege complicated Marekani inatumia hadi $13 million kufundisha rubani, huyo ni basic sio pro. Na pro anaoatikana kwa mafunzo mengi na uzoefu, maana yake ni flights nyingi, ni gharama nyingi zaidi.
 
Hio si inajulikana waarabu wamezungukana wenyewe kwa wenyewe tena Mmoroco ndo alikua anatoa siri nyingi,,,,,Muisrael advantage anayoipata ni sababu waarabu wanazungukana ila siku wakiamua kiuhakika wawe na nia 1 jamaa hapo ni mapema wanaamsha
Waarabu gani wawe na nia moja. Hawa ambao Saudi Arabia iliiwekea economic sanctions Qatar kisa wivu.
Ambao Jordan wakati inapambana na magaidi ya Kipalestina ambayo yamo kwenye wakimbizi iliowapa hifadhi, Syria na Iraq zilikuja kuipiga na Israel ikaacha.
Waarabu hawa ambao Saudi Arabia inashambulia Yemen ili Houthi Washia wasitawale nchi. Ndio hawa Iraq ilivamia Kuwait, Algeria na Morocco zinachukiana.

Ni vigeugeu na wanafiki hao.
 
Waarabu gani wawe na nia moja. Hawa ambao Saudi Arabia iliiwekea economic sanctions Qatar kisa wivu.
Ambao Jordan wakati inapambana na magaidi ya Kipalestina ambayo yamo kwenye wakimbizi iliowapa hifadhi, Syria na Iraq zilikuja kuipiga na Israel ikaacha.
Waarabu hawa ambao Saudi Arabia inashambulia Yemen ili Houthi Washia wasitawale nchi. Ndio hawa Iraq ilivamia Kuwait, Algeria na Morocco zinachukiana.

Ni vigeugeu na wanafiki hao.
Na ndo maana nakwambia siku wakija kujielewa,,,,waarabu wanachezewa kama huku Afrika japo wao angalau tusenti wanapata
 
View attachment 3003191Houthi wanaotawala eneo kubwa la Yemen wametungua tena ndege jeshi ya USA aina ya MQ-9 ambayo thamani yake ni dola 30mln.
Taarifa rasmi ya msemaji wa jeshi na video ya hatua nzima ya kuipiga komborq ikiwa umbali wa zaidi ya 10km angani nimeambatanisha.
View attachment 3003538

View attachment 3003190View attachment 3003223View attachment 3003224
Kwenye vita hilo kutokea ni lakawaida kabisa piga nikupige atakae muwahi mwenzake lazima adunguliwe na hasara lazima aipate.
 
Kinachofanya Reaper iwe na gharama kubwa ni sensors zake. Sensors zina gharama kubwa sana. Mfano kuweza kufuatilia mawasiliano ground na zile camera zake zinazoona mchana na usiku. Rais wa Iran alivyopotea na helicopter ni Akinci drone ya Uturuki ilikuja kuona crash site, sababu Iran walikuwa wanadumbukiza kichwa nje ya ndege kutafuta kwa macho, mara watumie drone hazina night vision camera na sio all weather, mara wadai kuna ukungu. Akinci ilipaa juu ambapo ukungu hamna ikawasha sensors ikawasha NV cameras haikutumia hata masaa mawili. Wakati Iran walishinda kutwa nzima wanatafuta.

Umuhimu wa Reaper unakuja pale ambapo inaweza kaa angani masaa 24 bila kutua wala kuongezwa mafuta na inaweza beba silaha kiasi. Kwenye operation ya kumuua Qasem Soleimani Reaper zilikaa angani uko Bagdad kwa masaa 20 zikizunguka, exact time ya yeye kufika haikuwa inajulikana so walikuwa wanafuatilia mawasiliano na movements. Ingekuwa ni suala la jet fighters zingeshindwa kusubiri muda wote huo.

Na umuhimu wa Reaper mwingine iko expendable. Ukiidungua unabaki na machuma na Marekani wanapotezea, ukidungua manned aircraft either uue rubani au atue kwenye territory yako jambo gumu kidiplomasia.
Na kimahesabu Marekani huona ni bora ipoteze drone kuliko ndege na rubani, Reaper ni $30 million inazidiwa na F-16 ila bado rubani mpaka anagraduate gharama zake ni kama $6 million. Kwa ndege complicated Marekani inatumia hadi $13 million kufundisha rubani, huyo ni basic sio pro. Na pro anaoatikana kwa mafunzo mengi na uzoefu, maana yake ni flights nyingi, ni gharama nyingi zaidi.
Sasa mbona hiyo drone ya Uturuki gharama yake ni ndogo sana pomoja na sifa hizo zote ilizo nazo ?
Kuhusu sifa ya kukaa angani muda mrefu mbona kuna nchi nyingi zenye aina ya hizo drone na zinatengenezwa kwa bei rahisi?
 
Sijajua Marekani ana lengo gani maana anaendelea zipeleka tu pamoja na kuwa zinadondoshwa
 
Sasa mbona hiyo drone ya Uturuki gharama yake ni ndogo sana pomoja na sifa hizo zote ilizo nazo ?
Kuhusu sifa ya kukaa angani muda mrefu mbona kuna nchi nyingi zenye aina ya hizo drone na zinatengenezwa kwa bei rahisi?
Reaper imetengenezwa miaka kabla ya Akinci, kipindi hicho teknolojia yake ni ngumu.
Na Marekani inajitosheleza kwenye critical technology, haikufanya outscourcing ya baadhi ya vifaa sababu ndio kwanza drone concepts ilizifanya serious 1995 na hakuna wa kumuiga.
Unit cost ya Reaper inacover costs zote za utafiti, drone inayoifuata ni more affordable na more dispossable ila itakuwa na uwezo zaidi.

Drones za Uturuki zina baadhi ya componets kutoka suppliers wa Marekani, Canada na kwingineko. Hata hii Akinci ina injini kutoka Ukraine.
Canada ilitaka kuweka sanctions kwa Bayraktar kipindi TB2 zimetumika vita ya Armenia kama sikosei.
 
Waarabu gani wawe na nia moja. Hawa ambao Saudi Arabia iliiwekea economic sanctions Qatar kisa wivu.
Ambao Jordan wakati inapambana na magaidi ya Kipalestina ambayo yamo kwenye wakimbizi iliowapa hifadhi, Syria na Iraq zilikuja kuipiga na Israel ikaacha.
Waarabu hawa ambao Saudi Arabia inashambulia Yemen ili Houthi Washia wasitawale nchi. Ndio hawa Iraq ilivamia Kuwait, Algeria na Morocco zinachukiana.

Ni vigeugeu na wanafiki hao.
Unaoyazungumza bro yashatokea miaka ya nyuma.
Umeona wapi tokea 2022 Saudi arabia ameshambulia Houthi??
Usizungumze yaliyopita.
Sasa hivi waarabu wanajaribu kufanya UNIFICATION.
Na taifa wanaloliona ni zuri kwaajili ya hiyo UNIFICATION ni Qatar.
Yemeni na Saudi Arabia hawana ugomvi,ulishamalizwa toka 2021 pale China alipowapatanisha.
Mtu ambaye sio wa kumuamini ni Jordan na Egypt,maana hayo mataifa utawala wao hutegemea USA maana raia wao hawawapendi watawala wao.
Ila mataifa mengine yote sasa hivi yanajaribu kuweka umoja,ndio maana yalibariki Houthi kushambulia meli Red sea Baab al mandib.
Ndio maana waliialika Iran katika maonesho ya silaha Doha,ilhali hawakuwahi kumualika Iran sehemu yeyote.
Je hujajiuliza tu hapo mkuu!?
 
Mabikra 72 wanatusubiri sisi waislamu swagi sheikh,tuwahi huko tukapige borrow mabikra , Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Pia kur'an imehalalisha kwa sisi waislamu kuwala wake zetu mbele na nyuma soma hapa

نِسَاؤُكُمْ حَرْثٌ لَّكُمْ فَأْتُوا حَرْثَكُمْ أَنَّىٰ شِئْتُمْ ۖ وَقَدِّمُوا لِأَنفُسِكُمْ ۚ وَاتَّقُوا اللَّهَ وَاعْلَمُوا أَنَّكُم مُّلَاقُوهُ ۗ وَبَشِّرِ الْمُؤْمِنِينَ
[ البقرة: 223]

Wake zenu ni kama konde zenu. Basi ziendeeni konde zenu mpendavyo. Iwe mbele ama nyuma Lakini jitangulizieni kheri nafsi zenu.​

We PSYCHOPATH hata kama ni PSYCHOPATH ila usipotoshe watu.
Hiyo aayah inazungumzia kuhusu watoto,wanawake ni kama mashamba yetu twaweza panda mbegu tuzitakazo sisi(yani twaweza wazalisha watoto tutakao sisi).
Usipende kupotosha,mtu mzima wewe.
Screenshot_2024-05-31-18-53-22-40_9c8f038911ec651d7a588d16d22aeb03.jpg
 
Kumbuka maneno yako, be careful with your words. Natambua wewe ni mtoto wa miaka ya hivi karibuni maana hakuna taifa lililowahi kusifiwa kama ni kiboko wa USA kama Iraq.
Aaah weeeh! jiheshimu.
Mie mtu mzima haswa.
Kama sifa mataifa kibao yamepewa sifa ya uongo.
Ila kama uhalisia IRAN,RUSSIA,CHINA,VIETNAM ndio mataifa yaliyoyaaibisha USA katika uwanja wa vita.
Kwenye hayo mataifa manne USA hajawahi kufanya operation ya kijeshi akafanikiwa.
Iraq alifanya millitary operation na akafanikiwa kumkamata Saddam Hussein.
Ila katika taifa la Iran,Russia,China,Vietnam USA HAKUWAHI KUSHINDA MILLITARY OPERATION YEYOTE.
Kama unabisha tujadili hapa.

Kusifiwa ilisifiwa Cuba kuwa ina uwezo kuliko USA,ila kiuhalisia ni UONGO.
 
Unaoyazungumza bro yashatokea miaka ya nyuma.
Umeona wapi tokea 2022 Saudi arabia ameshambulia Houthi??
Usizungumze yaliyopita.
Sasa hivi waarabu wanajaribu kufanya UNIFICATION.
Na taifa wanaloliona ni zuri kwaajili ya hiyo UNIFICATION ni Qatar.
Yemeni na Saudi Arabia hawana ugomvi,ulishamalizwa toka 2021 pale China alipowapatanisha.
Mtu ambaye sio wa kumuamini ni Jordan na Egypt,maana hayo mataifa utawala wao hutegemea USA maana raia wao hawawapendi watawala wao.
Ila mataifa mengine yote sasa hivi yanajaribu kuweka umoja,ndio maana yalibariki Houthi kushambulia meli Red sea Baab al mandib.
Ndio maana waliialika Iran katika maonesho ya silaha Doha,ilhali hawakuwahi kumualika Iran sehemu yeyote.
Je hujajiuliza tu hapo mkuu!?
Saudi Arabia imeacha kushambulia Houthi majuzi 2022 ndio unataka kusema Saudi yenye majority Sunni tiyari iko pamoja na Houthi Washia wanaopewa silaha kwa Iran?

Kinachowaunganisha Waarabu kwa sasa ni Israel kuishambulia Gaza. Wengine wanajiona aibu, wanahisi watatengwa inabidi waishi kinafiki waikatae Israel. Ila Israel ikiacha mashambulizi Gaza, hao Waarabu wana ugomvi wa ghafla ghafla.

Qatar wanakuwa neutral kidogo ila wanatajwa kuhusika kidogo na Al Shabaab wa Somalia, na ndio walikuwa wadhamini wa Muslim Brotherhood hadi Saudi Arabia na Egypt zikawatenga.
UAE hiyo hapo ina mkono Sudan kwenye civil war.
Iran na Uturuki sio Waarabu ila wanajihusisha nao mambo mengi. Mara Uturuki inaishambulia Syria, mara Iran inalazimisha influence Iraq na Syria ili kuweka buffer dhidi ya mahasimu zake.

Egypt, Syria na Jordan huwezi walaumu kuwa makini, waliwahi pigwa hivihivi kwa sifa za kijinga. Hawa Waarabu wengine kina Saudi walivaa kanzu wakala upepo wakatoa msaada wa maombi na fedha kidogo huku Jordan, Egypt na Syria zinapigana zikashindwa. Kama wanataka na wao Qatar, Algeria, et al wapeleke majeshi yao yawapiganie Palestina. Nani anataka kufanywa chambo.

Jordan iko safe ikiwa upande wa Israel kuliko hao Waarabu wengine, kwanza ni trade partner wake mkubwa. Then Israel inaheshimu makubaliano yao, Syria na Iraq ziliwahi ishambulia Jordan kisa Wapalestina zaidi ya milioni wanaoishi uko na wasumbufu kama ni kwao vile. Waarabu wanataka kuiua Jordan kisa Wapalestina, ungekuwa royal family ya Jordan ungekubali?
Lebanon hiyo Wapalestina wameiua kiuchumi. Egypt yenyewe inawakataa inawajua.

NEMA ina mambo mengi yanafichwa na headlines za Gaza.
 
Saudi Arabia imeacha kushambulia Houthi majuzi 2022 ndio unataka kusema Saudi yenye majority Sunni tiyari iko pamoja na Houthi Washia wanaopewa silaha kwa Iran?

Kinachowaunganisha Waarabu kwa sasa ni Israel kuishambulia Gaza. Wengine wanajiona aibu, wanahisi watatengwa inabidi waishi kinafiki waikatae Israel. Ila Israel ikiacha mashambulizi Gaza, hao Waarabu wana ugomvi wa ghafla ghafla.

Qatar wanakuwa neutral kidogo ila wanatajwa kuhusika kidogo na Al Shabaab wa Somalia, na ndio walikuwa wadhamini wa Muslim Brotherhood hadi Saudi Arabia na Egypt zikawatenga.
UAE hiyo hapo ina mkono Sudan kwenye civil war.
Iran na Uturuki sio Waarabu ila wanajihusisha nao mambo mengi. Mara Uturuki inaishambulia Syria, mara Iran inalazimisha influence Iraq na Syria ili kuweka buffer dhidi ya mahasimu zake.

Egypt, Syria na Jordan huwezi walaumu kuwa makini, waliwahi pigwa hivihivi kwa sifa za kijinga. Hawa Waarabu wengine kina Saudi walivaa kanzu wakala upepo wakatoa msaada wa maombi na fedha kidogo huku Jordan, Egypt na Syria zinapigana zikashindwa. Kama wanataka na wao Qatar, Algeria, et al wapeleke majeshi yao yawapiganie Palestina. Nani anataka kufanywa chambo.

Jordan iko safe ikiwa upande wa Israel kuliko hao Waarabu wengine, kwanza ni trade partner wake mkubwa. Then Israel inaheshimu makubaliano yao, Syria na Iraq ziliwahi ishambulia Jordan kisa Wapalestina zaidi ya milioni wanaoishi uko na wasumbufu kama ni kwao vile. Waarabu wanataka kuiua Jordan kisa Wapalestina, ungekuwa royal family ya Jordan ungekubali?
Lebanon hiyo Wapalestina wameiua kiuchumi. Egypt yenyewe inawakataa inawajua.

NEMA ina mambo mengi yanafichwa na headlines za Gaza.
Mengi ulioongea ni propaganda ambazo hazina ukweli,na sijui mkuu hizi stori umezipata wapi!?
Aiseee!

*Saudi Arabia sababu ya kuishambulia Yemeni ni kwasababu ilitaka kumsimika Mansour asalie kuwa kiongozi wa Yemeni,Houthi waligoma na kupambana mpaka 2021 waliposuluhishwa Iran akiwemo,balozi za Iran na Saudi Arabia zikafunguliwa.
Walichoulizwa Houthi wanataka nini walisema hawataki USA inteference in Yemeni through Saudi Arabia.
Ugomvi ukaisha na mpaka sasa Iran officials na Yemeni Officials wanaenda Saudi Arabia na wanakaribishwa.
*Alshabaab hawakuwahi na hawadhaminiwi na Qatar,huu uongo wa wazi,Alshabaab waliwahi kuwa na uhusiano na Alqaeda ya Osama bin Ladain,silaha sasa hivi wanapata kwa kuvamia serikali na kwa black market na kwa piracy,kama Qatar wangekua wanahusika kwanini Alshabaab wafanye piracy kupata kipato??
Na ugomvi wa Alshabaab ni wa kikabila pale Somalia,wanataka kabila lao ndio liongoze Somalia,sasa ugomvi wa kikabila unahusu nini Qatar?
Muslim Brotherhood ya Morsi ilikua inatawala Egypt,sasa unaposema Qatar ilikua inaifadhili Muslim Brotherhood kiasi Egypt ikaitenga unanishangaza,maana Muslim brotherhood ilikua ikiitawala Egypt kupitia Muhammed Morsi kabla ya Elsisi kumpindua Morsi kupitia usaidizi wa USA.
Civil war ya Sudan ni ujinga wa serikali ya Sudan na kundi lake la mercenary RSF,msisingizie mataifa ya watu yaliyotulia huko.

*Iran haikuwahi kulazimisha kuweka buffer Syria na Iraq,bali kuna viongozi wengi wa Iraq wanaikubali Iran.
Tukija Syria Bashar ndiye aliyehitaji usaidizi wa Iran ila Iran haikumlazimisha Bashar aungane naye.
Na Iran ilipeleka jeshi Syria kwaajili ya kuzuia makundi hasimu dhidi ya Bashar La Assad baada ya Assad kutaka na kuridhia.
*Turkiye haiishambulii Syria bali kundi la PKK la wakurdi wanaosumbua amani ndani ya mipaka ya Syria na Turkiye.
*Palestina haikuwahi kuua uchumi wa Lebanon,uchumi wa Lebanon una sababu nyingi ya kuporomoka ikiwemo vita ya Israel na Hizbollah 2006
Kuhusu Iraq kuivamia Jordan nitaenda kufuatilia.

Waarabu sababu ya kuungana sio tu kisa Gaza,bali washajiona hawako salama wakiwa chini ya mbawa za USA na Israel.
Ndio maana wameanza kuisogeza karibu Iran,hakuna mwaka Qatar iliwahi ikaribisha Iran kufanya maonesho ya silaha ila baada ya vikwazo vya silaha kuisha dhidi ya Iran,mwaka huu Qatar kaikaribisha Iran kufanya maonesho ya silaha.
Pindi Houthi inashambulia Red sea meli zinazopita kuelekea Israel hakuna mwaarabu aliyelaani hata mmoja na Oman alikataa bandari yake itumike dhidi ya Houthi.
Saudi Arabia alikataa kwenda kinyume na Houthi na alikaa pembeni.

Unadhani waarabu wajinga?
Unadhani hawakumbuki aliyoyafanya USA na Israel 1958 pale Syria kwa kutengenesa crisis??
Unadhani hawakumbuki Muammar Gaddafi na Saddam Hussein walivyogeukwa??
Unadhani hawajui kuwa USA ndio iliyofadhili kupinduliwa kwa Muhammed Morsi??
Wanajua yote ndio maana wanajitahidi kuangalia wanarudije pamoja kama arab league.
 
Kinachofanya Reaper iwe na gharama kubwa ni sensors zake. Sensors zina gharama kubwa sana. Mfano kuweza kufuatilia mawasiliano ground na zile camera zake zinazoona mchana na usiku. Rais wa Iran alivyopotea na helicopter ni Akinci drone ya Uturuki ilikuja kuona crash site, sababu Iran walikuwa wanadumbukiza kichwa nje ya ndege kutafuta kwa macho, mara watumie drone hazina night vision camera na sio all weather, mara wadai kuna ukungu. Akinci ilipaa juu ambapo ukungu hamna ikawasha sensors ikawasha NV cameras haikutumia hata masaa mawili. Wakati Iran walishinda kutwa nzima wanatafuta.

Umuhimu wa Reaper unakuja pale ambapo inaweza kaa angani masaa 24 bila kutua wala kuongezwa mafuta na inaweza beba silaha kiasi. Kwenye operation ya kumuua Qasem Soleimani Reaper zilikaa angani uko Bagdad kwa masaa 20 zikizunguka, exact time ya yeye kufika haikuwa inajulikana so walikuwa wanafuatilia mawasiliano na movements. Ingekuwa ni suala la jet fighters zingeshindwa kusubiri muda wote huo.

Na umuhimu wa Reaper mwingine iko expendable. Ukiidungua unabaki na machuma na Marekani wanapotezea, ukidungua manned aircraft either uue rubani au atue kwenye territory yako jambo gumu kidiplomasia.
Na kimahesabu Marekani huona ni bora ipoteze drone kuliko ndege na rubani, Reaper ni $30 million inazidiwa na F-16 ila bado rubani mpaka anagraduate gharama zake ni kama $6 million. Kwa ndege complicated Marekani inatumia hadi $13 million kufundisha rubani, huyo ni basic sio pro. Na pro anaoatikana kwa mafunzo mengi na uzoefu, maana yake ni flights nyingi, ni gharama nyingi zaidi.
Mtaalam utazunguka na kuelezea mambo mengi sana ila kitendo cha any non civilian flying asset ya USA taifa namba moja duniani kijeshi na kiuchumi kudunguliwa na kikundi cha wala mirungi na kahawa inabaki kuwa kitu cha kushangaza. Mi nadhani sometimes kama binadamu uwe unakubali kwamba US ni giants kwenye almost kila kitu lakini sio malaika. Nadhani mwaka mmoja nyuma tungekuletea theory ya namna gani Houthi rebels wanaweza kudungua MQ-9 Reaper ungetuletea maelezo marefu sana kuonyesha namna isivowezekana kabisa kitu kama hicho ila leo kwakuwa imewezekana tayari unahamisha goli. Mkuu USA sio mungu, punguza mahaba.
 
Back
Top Bottom