Yemen yatungua ndege jeshi ya 6 ya jeshi la USA- tazama ilivyoitungua!!

Pole kwa maumivu,
Naona hii habari imekuchoma kama pasi Yahudi wa Ifakara.
Kandege ka dola milioni 30 kwa US ni kitu gani. Na bado Marekani itawalisha hao ndugu zako hapo Yemen ambao Saudi Arabia ndugu zao katika imani wanawabonda 😂
 
Kandege ka dola milioni 30 kwa US ni kitu gani. Na bado Marekani itawalisha hao ndugu zako hapo Yemen ambao Saudi Arabia ndugu zao katika imani wanawabonda 😂
Saudi Arabia wanawabonda WaYemen toka lini!??
Yemeni na Saudi Arabia wameshapatana na wanasaidiana pia.
Drone bei rahisi ni shahed drone za $20k ila kwa $30 millions ni hela kubwa kwa drone.
Na nimesoma maelezo yake hiyo MQ-9 imefanyiwa upgrade 2021 na kuongezewa ufanisi.
Sasa nashindwa kuelewa huo ufanisi ulioongezwa mbona hauonekani!
 
Kandege ka dola milioni 30 kwa US ni kitu gani. Na bado Marekani itawalisha hao ndugu zako hapo Yemen ambao Saudi Arabia ndugu zao katika imani wanawabonda 😂
Una akili finyu sana aisee mpaka unatia huruma,

Ndege imepigwa au haikupigwa? vipi kuhusu Meli walizozipiga na nyingine kuzama baharini? zenyewe zilikua za dola ngapi? ile operation ya Air strike iliishia wapi?

Unaijua hasara wanayoipata hao unaowaabudu toka Houthi kufunga njia Red sea?
 
Achana nae huyo,anatembea na kichwa kitupu ili kukamilisha umbo la mwili tu.
 
Wahi kabla hujachelewa ukapate baraka.
Mabikra 72 wanatusubiri sisi waislamu swagi sheikh,tuwahi huko tukapige borrow mabikra , Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Pia kur'an imehalalisha kwa sisi waislamu kuwala wake zetu mbele na nyuma soma hapa

نِسَاؤُكُمْ حَرْثٌ لَّكُمْ فَأْتُوا حَرْثَكُمْ أَنَّىٰ شِئْتُمْ ۖ وَقَدِّمُوا لِأَنفُسِكُمْ ۚ وَاتَّقُوا اللَّهَ وَاعْلَمُوا أَنَّكُم مُّلَاقُوهُ ۗ وَبَشِّرِ الْمُؤْمِنِينَ
[ البقرة: 223]

Wake zenu ni kama konde zenu. Basi ziendeeni konde zenu mpendavyo. Iwe mbele ama nyuma Lakini jitangulizieni kheri nafsi zenu.​

 
Hio si inajulikana waarabu wamezungukana wenyewe kwa wenyewe tena Mmoroco ndo alikua anatoa siri nyingi,,,,,Muisrael advantage anayoipata ni sababu waarabu wanazungukana ila siku wakiamua kiuhakika wawe na nia 1 jamaa hapo ni mapema wanaamsha
 
Wewe bikra yako ilitolewa na Bodaboda au na muuza chips?
Naona umeanza kuwaonea wivu wenye bikra zao.
 
Tuambie sasa ni kipi hasa cha upekee ilicho nacho mpaka iwe na gharama kubwa kiasi hicho?
Hivi unajua kitu kinapo itwa chombo cha upelelezi nini maana yake?
 
Houthi sio Hamas.
USA kuanzia 2014 mpaka 2021 alifadhili vita ya kuwaua hao Houthi,ila alichokipata hatoweza kusahau.
Hao wayemen wanagonga shaba wewe.
Kumbuka maneno yako, be careful with your words. Natambua wewe ni mtoto wa miaka ya hivi karibuni maana hakuna taifa lililowahi kusifiwa kama ni kiboko wa USA kama Iraq.
 
Kumbuka maneno yako, be careful with your words. Natambua wewe ni mtoto wa miaka ya hivi karibuni maana hakuna taifa lililowahi kusifiwa kama ni kiboko wa USA kama Iraq.
Middle East Taifa lenye nguvu za kijeshi na ambalo linaogopewa ni Iran pekee! Kwa kutambua nguvu zao ndio maana tangu late 70 walipigwa vikwazo baada ya Ayatollah kumpindua kibaraka Mfalme Shaha,bahati mbaya sana pamoja na vikwazo,Irani chini ya utawala wa Ayatollah imezidi kua na nguvu zake binafsi kwa kuzalisha kila kitu ndani yenyewe,hata silaha hatari inazomiliki ni matunda ya Teknolojia yake..

Hakuna USA wala Israel wanaoweza kuanzisha vita rasmi dhidi ya Iran kwa sasa,sana sana kuvizia kufanya mapinduzi ya kiutawala (wameshajaribu mara kadhaa kupitia maandamano na kulaani mfumo wa utawala kwa kutumia vibaraka wa ndani na wakashindwa)

Iraq unayoisema isema ilipigwa na Marekani chini ya utawala wa George Bush Jr, pengine haujui kua Iraq ilishapigana na USA na NATO na wakashindwa kumtoa Sadam,late 90s raisi akiwa Bush Sr,Iraq ikawekewa vikwazo lukuki jeshi lake likawa dhaifu kwani tofauti na Iran, Iraq ilikua inategemea silaha kununua kutoka Ulaya na USA- baada ya jeshi kudumaa,miaka 20 mbeleni USA akaja na NATO wakamuua Sadam na kuweka kibaraka wao mpya!!

Yote kwa yote,wazungu wapo middle East kwa ajili ya mafuta na gesi maana ndio uhai wa uchumi wa nchi zao na dunia nzima na OPEC 70% ya mafuta ni kutoka middle east.

Irani ni kinyume chake,kila kitu anatengeneza mwenyewe,vikwazo vimewakomaza na kuwakuza!
 
Naona unajitetea
 
Kwamba "iwe mbele au nyuma"
😆 😆 😆 😆 😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…