Yemi Alade kuifagilia Kenya, kunani?

Yemi Alade kuifagilia Kenya, kunani?

Fanya tafiti kabla ya kuropoka....
 
Maswali mengine bana! Angetaja Tanzania ungehoji pia. Mi naona angetaja nchi zote za Africa.
 
Hivi huyu dada aliwaza nini kuitaja Kenya katika nyimbo yake ya Na Gode aliyo iimba kwa kiswahili kwa hiyo aliona akiitaja Tanzania Hii nyimbo haita hit sana au? Watu wengine wanaboa sana

Samahani nimesahau hata kusalimia habari zenu wana JF

Mim nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu wimbo wa Yemi alade Na Gode! Idea yake ilikuwa nzuri kwamba aimbe kwa kiswahili ndo maana version ya huo wimbo aliutoa kwa kiswahili kabla ya kuufanyia remix kwa kumshirikisha producer selebobo! Lengo lake la kuimba kwa kiswahili ni kutaka kuzidi kutusua Afrika mashariki hasa Tanzania

Kinacho niuma mimi ni kwanini aitaje Kenya katika huo wimbo akati watanzania ndo wamemfanya ajue kiswahili na ndio walio muinfluence kuimba kwa kiswahili,mwanzoni Yemi Alade bongo alikuwa hajulikani alipo kuja kutoa 'John' ndo kidogo wabongo wakamjua akapata na show yake ya kwanza afrika mashariki nahisi ilikuwa ni kuperform pale uwanja wataifa Alifanya show yake kuonesha aliko tokea hadi alipo hiyo show akaweka kajipande kashow katika video yake ya huo wimbo wa Na Gode akionesha yupo uwanja wa Taifa ana perform

Baadae ndo alikutana na kina Diamond akafanya nae wimbo coc studio diamond akaimba kwa kiswahili Yemi alade akafahamika Tz,baadae akawa anakutana na Akina Vanessa

Akashawishika kuimba kwa kiswahili wimbo ambao Tanzania ndo unapendwa sana kuliko Nchi yoyote Afrika! Alipo ona watanzania tunaupenda huo wimbo akaamua kuutoa kwa kingereza ili Nigeria nako uwe unapendwa

Sasa Kenya haijamsaidia chochote katika maendeleo ya mziki wake hata hicho kiswahili kukijua kenya haijamsaidia sasa kwanini aitaje Kenya aanaacha kuitaja Tanzania au hata Dar es salaam ambako alifanya show yake ya kwanza

Means huyu mkimama katudharau sana watanzania na katuona sisi wakuja sana.....Huyu aliwahi andika Tanzania ni second home leo anatuletea unafiki anaitaja kenya katika wimbo huo.......Bora hata English version ingekuwa ya kwanza kutoka na kaitaja kenya ningesema sawa kwasababu sisi wabongo kingereza hatujui! Sasa kaanza kwa kiswahili halafu anaitaja kenya ambayo haijampa mchango wowote hiyo ni Dharau kubwa kwetu Wabongo

Tangu nyimbo itoke nilikuwa namfikiria sana ila leo nimeamua kumwambia

Kama Yemi Alade upo hapa JF nakwambia tutakamatana ipo siku utaingia kwenye 18 zetu.....Endelea na wakenya wako

It is obvious itajwe kenya, sauti soul wa kenya ndo wameandika ile verse ya kiswahili kwa maelezo ya yemi alade meenyewe
 
Maswali mengine bana! Angetaja Tanzania ungehoji pia. Mi naona angetaja nchi zote za Africa.


Watanganyika hao utawaweza wapi, Wao kila kitu wanalia wameonewa.
 
Mr. Nice kaimba fagilia Bongo mkasema nyimbo zake za kitoto. Hamuishiwi maneno nyinyi.
 
Kwa hili wengi tunakosea bila kufahamu. Lugha ya Taifa(National language) Kenya ni Kiswahili (Tangu Uhuru). Lugha rasmi (Official Languages) ni Kiswahili (Tangu 2010) na Kiingereza.

Na kuongezea, barua za ki kazi zote kenya zinaandikwa kwa kiswahili hasa employment application letters
 
Watanganyika hao utawaweza wapi, Wao kila kitu wanalia wameonewa.
Mimi ni mtanganyika na wala siwezi kufikiria kuhoji kitu kama hicho. sijawahi kusikia watanganyika wamelalamika kuonewa.
 
Mimi ni mtanganyika na wala siwezi kufikiria kuhoji kitu kama hicho. sijawahi kusikia watanganyika wamelalamika kuonewa.


Mimi huwa nawasikia Sana wanalalamika.
 
Hata mimi nilijiuliza.... sio kwa wivu.. ila maana aliongea kiswahili nikajua atapaisha na nchi yenye wazungumzaji wengi wa hiyo lugha... mwisho wa siku akatuachia nyoya
 
Nini hasa wamelalamika? Na wewe ni wa wapi?


Acha kunisumbua na maswali, hivi we huoni hata humu upo kwenye thread jamaa analalamika hawakutajwa kwenye nyimbo?
 
Acha kunisumbua na maswali, hivi we huoni hata humu upo kwenye thread jamaa analalamika hawakutajwa kwenye nyimbo?
Wewe ndio umeanza kuniquote sikukuita uniquote. Huyo jamaa kulakamika haimaanishi watanganyika wote ni walalamishi kama yeye. huna hata mfano unaoeleweka kutetea hoja yako. Acha kukariri!
 
Wewe ndio umeanza kuniquote sikukuita uniquote. Huyo jamaa kulakamika haimaanishi watanganyika wote ni walalamishi kama yeye. huna hata mfano unaoeleweka kutetea hoja yako. Acha kukariri!


Okay.
 
Hivi huyu dada aliwaza nini kuitaja Kenya katika nyimbo yake ya Na Gode aliyo iimba kwa kiswahili kwa hiyo aliona akiitaja Tanzania Hii nyimbo haita hit sana au? Watu wengine wanaboa sana

Samahani nimesahau hata kusalimia habari zenu wana JF

Mim nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu wimbo wa Yemi alade Na Gode! Idea yake ilikuwa nzuri kwamba aimbe kwa kiswahili ndo maana version ya huo wimbo aliutoa kwa kiswahili kabla ya kuufanyia remix kwa kumshirikisha producer selebobo! Lengo lake la kuimba kwa kiswahili ni kutaka kuzidi kutusua Afrika mashariki hasa Tanzania

Kinacho niuma mimi ni kwanini aitaje Kenya katika huo wimbo akati watanzania ndo wamemfanya ajue kiswahili na ndio walio muinfluence kuimba kwa kiswahili,mwanzoni Yemi Alade bongo alikuwa hajulikani alipo kuja kutoa 'John' ndo kidogo wabongo wakamjua akapata na show yake ya kwanza afrika mashariki nahisi ilikuwa ni kuperform pale uwanja wataifa Alifanya show yake kuonesha aliko tokea hadi alipo hiyo show akaweka kajipande kashow katika video yake ya huo wimbo wa Na Gode akionesha yupo uwanja wa Taifa ana perform

Baadae ndo alikutana na kina Diamond akafanya nae wimbo coc studio diamond akaimba kwa kiswahili Yemi alade akafahamika Tz,baadae akawa anakutana na Akina Vanessa

Akashawishika kuimba kwa kiswahili wimbo ambao Tanzania ndo unapendwa sana kuliko Nchi yoyote Afrika! Alipo ona watanzania tunaupenda huo wimbo akaamua kuutoa kwa kingereza ili Nigeria nako uwe unapendwa

Sasa Kenya haijamsaidia chochote katika maendeleo ya mziki wake hata hicho kiswahili kukijua kenya haijamsaidia sasa kwanini aitaje Kenya aanaacha kuitaja Tanzania au hata Dar es salaam ambako alifanya show yake ya kwanza

Means huyu mkimama katudharau sana watanzania na katuona sisi wakuja sana.....Huyu aliwahi andika Tanzania ni second home leo anatuletea unafiki anaitaja kenya katika wimbo huo.......Bora hata English version ingekuwa ya kwanza kutoka na kaitaja kenya ningesema sawa kwasababu sisi wabongo kingereza hatujui! Sasa kaanza kwa kiswahili halafu anaitaja kenya ambayo haijampa mchango wowote hiyo ni Dharau kubwa kwetu Wabongo

Tangu nyimbo itoke nilikuwa namfikiria sana ila leo nimeamua kumwambia

Kama Yemi Alade upo hapa JF nakwambia tutakamatana ipo siku utaingia kwenye 18 zetu.....Endelea na wakenya wako



Sikia, it's just a fucking song na Yemi is only muhimu kwa wale wanaomfuatilia. We don't need Yemi atusifie kwani tayari Tanzania tuna sifa lukuki nzuri tu.
 
Tofautisha ukubwa wa kiswahili nchini kenya na ukubwa wa kiswahili Tanzania! Lugha ya Taifa kenya ni Kingereza na Lugha ya Taifa Tanzania ni kiswahili

Labda kama alimua kutaja kwa sababu hus B wake ni Mkenya

lugha ya kiswahili Kenya kiko juu sana, na ndicho kinachotoa maprofesa wa kiswahili duniani, tz kiswahili ni jina tu na wala hatukikuz, wala kukiendeleza, zaid zaid tunasifia kiingereza. waache waimbwe tena na tena. kiswahili Kenya kipo juu sana.
 
lugha ya kiswahili Kenya kiko juu sana, na ndicho kinachotoa maprofesa wa kiswahili duniani, tz kiswahili ni jina tu na wala hatukikuz, wala kukiendeleza, zaid zaid tunasifia kiingereza. waache waimbwe tena na tena. kiswahili Kenya kipo juu sana.
Kamwene Veyaaa.......Majengo Muyaaa
 
Back
Top Bottom