Yericko Nyerere ashinda tuzo ya mwandishi bora wa vitabu Afrika 2024

Yericko Nyerere ashinda tuzo ya mwandishi bora wa vitabu Afrika 2024

SANGAPIPI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
206
Reaction score
301
IMG_3351.jpeg
Usiku wa Agosti 03.2024 katika mji wa Sandton, jijini Johannesberg Afrika Kusini, Mtanzania Yericko Nyerere ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya uandishi bora wa vitabu Barani Afrika, tuzo inayotolewa na 'Shining Stars Africa Awards'

Yericko ambaye pia ni Mjumbe wa mkutano mkuu CHADEMA Taifa alikuwa akiwania tuzo hiyo sambamba na waandishi nguli kutoka mataifa mbali kama Laone Kabelo kutoka Botswana, Lolato Moalosi kutoka Botswana, Bankhe Shabangu kutoka Swazland na Grettelle Gazah kutoka Zimbabwe

Hatua ya Yericko Nyerere kutwaa tuzo hiyo, kunamfanya kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda tuzo mbili (2) za uandishi bora mfululizo ambapo mwaka jana (2023) alishinda tuzo ya uandishi bora wa vitabu iliyotolewa na 'Zikomo Africa Award' jijini Lusaka nchini Zambia.

IMG_3354.jpeg


 
Usiku wa Agosti 03.2024 katika mji wa Sandton, jijini Johannesberg Afrika Kusini, Mtanzania Yericko Nyerere ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya uandishi bora wa vitabu Barani Afrika, tuzo inayotolewa na 'Shining Stars Africa Awards'

Yericko ambaye pia ni Mjumbe wa mkutano mkuu CHADEMA Taifa alikuwa akiwania tuzo hiyo sambamba na waandishi nguli kutoka mataifa mbali kama Laone Kabelo kutoka Botswana, Lolato Moalosi kutoka Botswana, Bankhe Shabangu kutoka Swazland na Grettelle Gazah kutoka Zimbabwe

Hatua ya Yericko Nyerere kutwaa tuzo hiyo, kunamfanya kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda tuzo mbili (2) za uandishi bora mfululizo ambapo mwaka jana (2023) alishinda tuzo ya uandishi bora wa vitabu iliyotolewa na 'Zikomo Africa Award' jijini Lusaka nchini Zambia.

View attachment 3061207
View attachment 3061208
Huwa wanatumia vigezo gani?
 
Usiku wa Agosti 03.2024 katika mji wa Sandton, jijini Johannesberg Afrika Kusini, Mtanzania Yericko Nyerere ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya uandishi bora wa vitabu Barani Afrika, tuzo inayotolewa na 'Shining Stars Africa Awards'

Yericko ambaye pia ni Mjumbe wa mkutano mkuu CHADEMA Taifa alikuwa akiwania tuzo hiyo sambamba na waandishi nguli kutoka mataifa mbali kama Laone Kabelo kutoka Botswana, Lolato Moalosi kutoka Botswana, Bankhe Shabangu kutoka Swazland na Grettelle Gazah kutoka Zimbabwe

Hatua ya Yericko Nyerere kutwaa tuzo hiyo, kunamfanya kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda tuzo mbili (2) za uandishi bora mfululizo ambapo mwaka jana (2023) alishinda tuzo ya uandishi bora wa vitabu iliyotolewa na 'Zikomo Africa Award' jijini Lusaka nchini Zambia.

View attachment 3061207
View attachment 3061208
Hongera sana CHADEMA, ngoja waje waanze kukasirika
 
Yericko Nyerere hongera sana.

Namkumbusha johnthebaptist kuwa Yericko ni CHADEMA damu damu na ni kiongozi wa chama

Hivi huko ccm kuna mtu mwenye kuweza kuandika hata jarida likakubalika Duniani kama huyu mwana CHADEMA?
Mkuu Yericko Nyerere mimi ni role model wangu namfwatilia sana kwa kila jambo toka enzi za kulima bamia mbutu je chadema ana nafasi gani? Kwanini hatumpi jimbo agombee ubunge? Pia Yericko Nyerere ni kati ya wahanga wa mwanzo kabisa wa utekaji wa kipindi cha magufi.
 
Usiku wa Agosti 03.2024 katika mji wa Sandton, jijini Johannesberg Afrika Kusini, Mtanzania Yericko Nyerere ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya uandishi bora wa vitabu Barani Afrika, tuzo inayotolewa na 'Shining Stars Africa Awards'

Yericko ambaye pia ni Mjumbe wa mkutano mkuu CHADEMA Taifa alikuwa akiwania tuzo hiyo sambamba na waandishi nguli kutoka mataifa mbali kama Laone Kabelo kutoka Botswana, Lolato Moalosi kutoka Botswana, Bankhe Shabangu kutoka Swazland na Grettelle Gazah kutoka Zimbabwe

Hatua ya Yericko Nyerere kutwaa tuzo hiyo, kunamfanya kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda tuzo mbili (2) za uandishi bora mfululizo ambapo mwaka jana (2023) alishinda tuzo ya uandishi bora wa vitabu iliyotolewa na 'Zikomo Africa Award' jijini Lusaka nchini Zambia.

View attachment 3061207
View attachment 3061208
Huwezi kuwa Chadema halafu ukawa Boya
 
Back
Top Bottom