Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ficha upumbavu wakoKana laana ya Magufuli hako hata kashinde nini hakawezi kutoboa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ficha upumbavu wakoKana laana ya Magufuli hako hata kashinde nini hakawezi kutoboa
Mwenye amelaaniwa hawezi kushinda tuzo hiyo. Huyo amebarikiwa.Kana laana ya Magufuli hako hata kashinde nini hakawezi kutoboa
Hivi kwanini chadema haimtumii yeriko?
Hivi huyu si ndiye alisifiwa sana na Prof. TibaijukaUsiku wa Agosti 03.2024 katika mji wa Sandton, jijini Johannesberg Afrika Kusini, Mtanzania Yericko Nyerere ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya uandishi bora wa vitabu Barani Afrika, tuzo inayotolewa na 'Shining Stars Africa Awards'
Yericko ambaye pia ni Mjumbe wa mkutano mkuu CHADEMA Taifa alikuwa akiwania tuzo hiyo sambamba na waandishi nguli kutoka mataifa mbali kama Laone Kabelo kutoka Botswana, Lolato Moalosi kutoka Botswana, Bankhe Shabangu kutoka Swazland na Grettelle Gazah kutoka Zimbabwe
Hatua ya Yericko Nyerere kutwaa tuzo hiyo, kunamfanya kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda tuzo mbili (2) za uandishi bora mfululizo ambapo mwaka jana (2023) alishinda tuzo ya uandishi bora wa vitabu iliyotolewa na 'Zikomo Africa Award' jijini Lusaka nchini Zambia.
View attachment 3061207
View attachment 3061208
Imtumie kwenye nyanja gani mtu hopeless kama yule?Hivi kwanini chadema haimtumii yeriko?
Hamna kitu hapoKwamba ana ubavu wa kuchuanw na akina Ngugi?
Nime-google hiyo taasisi ya Shining Stars Africa Awards ili WIKIPEDIA wanipe uelewa ni taasisi ya aina gani sikupata.Usiku wa Agosti 03.2024 katika mji wa Sandton, jijini Johannesberg Afrika Kusini, Mtanzania Yericko Nyerere ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya uandishi bora wa vitabu Barani Afrika, tuzo inayotolewa na 'Shining Stars Africa Awards'
Yericko ambaye pia ni Mjumbe wa mkutano mkuu CHADEMA Taifa alikuwa akiwania tuzo hiyo sambamba na waandishi nguli kutoka mataifa mbali kama Laone Kabelo kutoka Botswana, Lolato Moalosi kutoka Botswana, Bankhe Shabangu kutoka Swazland na Grettelle Gazah kutoka Zimbabwe
Hatua ya Yericko Nyerere kutwaa tuzo hiyo, kunamfanya kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda tuzo mbili (2) za uandishi bora mfululizo ambapo mwaka jana (2023) alishinda tuzo ya uandishi bora wa vitabu iliyotolewa na 'Zikomo Africa Award' jijini Lusaka nchini Zambia.
View attachment 3061207
View attachment 3061208
Rudi google SHINNING STAR usilete ujuaji wa NkubaNime-google hiyo taasisi ya Shining Stars Africa Awards ili WIKIPEDIA wanipe uelewa ni taasisi ya aina gani sikupata.
Pia hilo neno 'SHINNING' kwenye award nadhani lilitakiwa kuwa 'SHINING'
Are you mentally ill??Kana laana ya Magufuli hako hata kashinde nini hakawezi kutoboa
Mhhhh, mi nasoma Sana, vitabu, nilianza nikiwa, darasa la nne, vitabu vya, hadithi, kama vya Elvis Musiba, (series za, Will Gamba), Joram kiango,nk,Usiku wa Agosti 03.2024 katika mji wa Sandton, jijini Johannesberg Afrika Kusini, Mtanzania Yericko Nyerere ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya uandishi bora wa vitabu Barani Afrika, tuzo inayotolewa na 'Shining Stars Africa Awards'
Yericko ambaye pia ni Mjumbe wa mkutano mkuu CHADEMA Taifa alikuwa akiwania tuzo hiyo sambamba na waandishi nguli kutoka mataifa mbali kama Laone Kabelo kutoka Botswana, Lolato Moalosi kutoka Botswana, Bankhe Shabangu kutoka Swazland na Grettelle Gazah kutoka Zimbabwe
Hatua ya Yericko Nyerere kutwaa tuzo hiyo, kunamfanya kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda tuzo mbili (2) za uandishi bora mfululizo ambapo mwaka jana (2023) alishinda tuzo ya uandishi bora wa vitabu iliyotolewa na 'Zikomo Africa Award' jijini Lusaka nchini Zambia.
View attachment 3061207
View attachment 3061208