Yericko Nyerere ashinda tuzo ya mwandishi bora wa vitabu Afrika 2024

Hivi huyu si ndiye alisifiwa sana na Prof. Tibaijuka
 
Nime-google hiyo taasisi ya Shining Stars Africa Awards ili WIKIPEDIA wanipe uelewa ni taasisi ya aina gani sikupata.
Pia hilo neno 'SHINNING' kwenye award nadhani lilitakiwa kuwa 'SHINING'
 
Nime-google hiyo taasisi ya Shining Stars Africa Awards ili WIKIPEDIA wanipe uelewa ni taasisi ya aina gani sikupata.
Pia hilo neno 'SHINNING' kwenye award nadhani lilitakiwa kuwa 'SHINING'
Rudi google SHINNING STAR usilete ujuaji wa Nkuba
 
Mhhhh, mi nasoma Sana, vitabu, nilianza nikiwa, darasa la nne, vitabu vya, hadithi, kama vya Elvis Musiba, (series za, Will Gamba), Joram kiango,nk,
Eddie Ganzel msako wa hayawani, na vingine vingi, hawa waandishi waliandika vitabu vyenye story nzuri na za kusisimua, kipindi hicho, 80s, 90s, kabla ya mobile phone, YouTube nk, sasa huyu jamaa story anazoandika, unaweza kuzipata hata kwenye YouTube, nk, anapataje tuzo?
I smell rat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…