Yericko Nyerere atoa ushauri kwa serikali na TISS zianze kufanya biashara ya taarifa za kijasusi

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Katika mahojiano yaliyofanyika kwenye Channel ya YouTube ya Simulizi Na Sauti (SNS) kati ya Sky Walker, DJ Smaa na Yericko Nyerere. Nguli wa uchambuzi wa mambo ya Siasa na uchumi wa kivita na ujasusi, Yericko Nyerere amesikika akiishauri Serikali ya Tanzania na Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) kuhusu kuanza kufanya biashara ya taarifa za kijasusi kwa ajili ya kujipatia kipato na kununua taarifa muhimu ili kuweka nchi katika nafasi nzuri kwenye biashara hiyo. Kati ya dakika ya 56 hadi 58 ya Video alisikika akisema;
Mahojiano hayo yalijikita katika kuzungumzia vita vinavyoendelea huko Palestina na Israel huku wakigusia vita vya Urusi na Ukrein, na ushawishi wa mataifa mengine katika vita hivyo kwenye nyanja mbalimbali.

Video kamili


View: https://youtu.be/ak3D89O4Gz4?si=tG5SxX8pTElGKfR0
 
YERICKO mdogo wangu unavuka red-line.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…