Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
..."inawezekana"...!Mihangwa alikatazwa kushindania tuzo?Ukishinda kombe/mbuzi huruhusiwi kumfuga au kumla kwa faida yako?Acha husda.Ikiwezekana. Halafu hizi tuzo ni miradi ya watu. Hazina maana. Ni kama kushinda kombe la mbuzi
Naungana nawe kumpongeza kwa dhati bingwa wa plagiarism ndugu Yericko Nyerere kwa kutwaa hii tuzo. Wewe mfuasi wa Mbowe ungeweza kumpongeza Yeriko bila kuponda serikali inavyosapoti mchezo wa soka. Bila mkono wa serikali ligi ya Tanzania isingekuwa ligi bora Afrika mashariki, kusini na kati ikiwa imepitwa na ligi kuu ya Afrika kusini.Wakati Serikali ya Tanzania inapoteza pesa kusaidia mchezo wa soka ambao haujawahi kuleta Manufaa yoyote, Bwana Yerricko Nyerere anajipigania binafsi na kuiletea Heshima Nchi yake kila Mwaka.
Ametwaa tena Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Barani Afrika, Tuzo ambayo akina Nyambari Nyangwine na Wenzake hawajawahi kuipata.
Angalia replies utaona akili za watu wa CCM.Shigongo types kwa kukopi kazi za watu na hadithi zisizoleta uhalisia kifikra.
Ulipochanganya soka na tuzo za vitabu vya yeriko nyerere hapo ndio nimegundua hauna akili. Hujui ni vijana wangapi wanalisha familia zao kwa kucheza mpira na kulipwa. Au ulitaka vijana wote hao wa kitz waingie chadema!!???Wakati Serikali ya Tanzania inapoteza pesa kusaidia mchezo wa soka ambao haujawahi kuleta Manufaa yoyote, Bwana Yerricko Nyerere anajipigania binafsi na kuiletea Heshima Nchi yake kila Mwaka.
Ametwaa tena Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Barani Afrika, Tuzo ambayo akina Nyambari Nyangwine na Wenzake hawajawahi kuipata.
Labda hataki. Haiondoi ukweli kuwa Yeriko alifanya plagiarism...."inawezekana"...!Mihangwa alikatazwa kushindania tuzo?Ukishinda kombe/mbuzi huruhusiwi kumfuga au kumla kwa faida yako?Acha husda.
Ungeenda kuwaambia waandaaji wa tuzo na kuwakabidhi ushahidi.Labda hataki. Haiondoi ukweli kuwa Yeriko alifanya plagiarism.
Sio kazi yangu hiyo.Ungeenda kuwaambia waandaaji wa tuzo na kuwakabidhi ushahidi.
Na wewe si utafisiri upewe tuzo.Huyu ni lufufu mkandala wa vitabu, ni mwendo wa kutafsiri tu alafu anapewa tuzo😂
Hakuna mwandishi hapo
Hawo wasiochamba na kupewa pesa ni lini wameipatia serikali tunzo?Mpira na uandishi wa Habari wapi na wapi?
Unataka Msaada wa Serikali huku unaichamba then unataka nani akupe pesa?
Wewe uliyemwandishi umefanikiwa tunzo ngapi?Huyu ni lufufu mkandala wa vitabu, ni mwendo wa kutafsiri tu alafu anapewa tuzo😂
Hakuna mwandishi hapo
Kazi yako wewe ni kuandikaandika mitandaoni bila ushahidi wa kuwafikia walengwa?Bora kuchunga punda kuliko kutwanga mawe!Sio kazi yangu hiyo.
Mm sio mwandishiWewe uliyemwandishi umefanikiwa tunzo ngapi?
Kwa hiyo nifanye kila kitu? Mm kazi yangu ni kucheza mpira, ni pro playerNa wewe si utafisiri upewe tuzo.
Acha kunililia mimi sio babako.Kazi yako wewe ni kuandikaandika mitandaoni bila ushahidi wa kuwafikia walengwa?Bora kuchunga punda kuliko kutwanga mawe!
Wewe uliyemwandishi umefanikiwa tunzo ngapiHuyu ni lufufu mkandala wa vitabu, ni mwendo wa kutafsiri tu alafu anapewa tuzo😂
Hakuna mwandishi hapo
Basi tulizana wala hajaenda kuiomba hiyo tunzo ameipata kwa juhudi zake.Mm sio mwandishi
Nimetoa maoni ambayo ni haki yangu ya msingiWewe uliyemwandishi umefanikiwa tunzo ngapi
Basi tulizana wala hajaenda kuiomba hiyo tunzo ameipata kwa juhudi zake.
Baba yangu hana sifa ya uchawi na chuki grade za juu kwa mambo yasiyomuhusu.Tabia hizo wanazo paka vimburu na mbwa wa majalalani.Acha kunililia mimi sio babako.
Ujumbe umefika kwa wahusika, wewe endelea kuliaMpira na uandishi wa Habari wapi na wapi?
Unataka Msaada wa Serikali huku unaichamba then unataka nani akupe pesa?