Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Ni vema tukajikita kwenye hoja iliyo ubaoniNilimdharau sana baada kushangalia uvamizi wa Urusi kwa Ukraine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vema tukajikita kwenye hoja iliyo ubaoniNilimdharau sana baada kushangalia uvamizi wa Urusi kwa Ukraine
Simple tu na wewe tafsiri vitabu vya wengine upewe tuzo. Jaribu kuheshimu jitihada za mtuHuyu ni lufufu mkandala wa vitabu, ni mwendo wa kutafsiri tu alafu anapewa tuzo😂
Hakuna mwandishi hapo
Ubora wa kwenye makaratasi tuNaungana nawe kumpongeza kwa dhati bingwa wa plagiarism ndugu Yericko Nyerere kwa kutwaa hii tuzo. Wewe mfuasi wa Mbowe ungeweza kumpongeza Yeriko bila kuponda serikali inavyosapoti mchezo wa soka. Bila mkono wa serikali ligi ya Tanzania isingekuwa ligi bora Afrika mashariki, kusini na kati ikiwa imepitwa na ligi kuu ya Afrika kusini.
Majibu alishaga Yatoa MwendazakeUjumbe umefika kwa wahusika, wewe endelea kulia
Wewe baada ya kumkabidhi akili Mbowe unaandika ujinga mwingi sana.Ubora wa kwenye makaratasi tu
Serikali haihitaji tuzo kutoka Kwa mtu yeyote maana haifanyi jambo kufurahisha mtuHawo wasiochamba na kupewa pesa ni lini wameipatia serikali tunzo?
Kwanini hamtaki kuambiwa ukweli mkifanya upuuzi?Simple tu na wewe tafsiri vitabu vya wengine upewe tuzo. Jaribu kuheshimu jitihada za mtu
Mm nina kazi nyingine nayofanya.Simple tu na wewe tafsiri vitabu vya wengine upewe tuzo. Jaribu kuheshimu jitihada za mtu
Mimi nina akili kuliko Viongozi wanaokulipa, Kapuku we! nina connection Dunia nzima, Nyie endeleeni kuteka watuWewe baada ya kumkabidhi akili Mbowe unaandika ujinga mwingi sana.
Kama hujui kusoma hilo si kosa languwanachadema kunasaa ni kama mdudu anapanda kichwani wallah
Hizi tuzo una subscribe kwanza na kulipa kiasi cha fedha kama kiingilio. As long as umelipa kiingilio huwezi kukosa tuzo hata moja. Wakikunyima it means mwaka kesho huji na wanapoteza mapato.Kwa hiyo tuzo apewe Mihangwa?
Ingekua kweli ulichokiandika,hakuna maana ya kuita ni tuzo.Zingeitwa ni vitu vya kutambua ushiriki wa muhusika aliyepewa.Hizi tuzo una subscribe kwanza na kulipa kiasi cha fedha kama kiingilio. As long as umelipa kiingilio huwezi kukosa tuzo hata moja. Wakikunyima it means mwaka kesho huji na wanapoteza mapato.
Sawa na washindi wa maonyesho ya Nanenane au TANTRADE, hakuna anayekosa cheti kwenye category mbalimbali.
Joseph Mihangwa hahitaji upuuzi huo
Mama hajakuza ligi ya Tanzania. Alichofanya mama ni kudandia treni kwa mbele.Naungana nawe kumpongeza kwa dhati bingwa wa plagiarism ndugu Yericko Nyerere kwa kutwaa hii tuzo. Wewe mfuasi wa Mbowe ungeweza kumpongeza Yeriko bila kuponda serikali inavyosapoti mchezo wa soka. Bila mkono wa serikali ligi ya Tanzania isingekuwa ligi bora Afrika mashariki, kusini na kati ikiwa imepitwa na ligi kuu ya Afrika kusini.
Nalo neno mkalitazame kama ni sawaVijana wa CHADEMA wana akili sana. Wale wengine wanaweza kushinda njaa, mitusi na vigodoro
Unakinyongo wwHizi tuzo una subscribe kwanza na kulipa kiasi cha fedha kama kiingilio. As long as umelipa kiingilio huwezi kukosa tuzo hata moja. Wakikunyima it means mwaka kesho huji na wanapoteza mapato.
Sawa na washindi wa maonyesho ya Nanenane au TANTRADE, hakuna anayekosa cheti kwenye category mbalimbali.
Joseph Mihangwa hahitaji upuuzi huo
Hiyo taasisi toa tuzo inaitwaje inatambulika kimataifa ?Wakati Serikali ya Tanzania inapoteza pesa kusaidia mchezo wa soka ambao haujawahi kuleta Manufaa yoyote, Bwana Yerricko Nyerere anajipigania binafsi na kuiletea Heshima Nchi yake kila Mwaka.
Ametwaa tena Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Barani Afrika, Tuzo ambayo akina Nyambari Nyangwine na Wenzake hawajawahi kuipata.
Huo ndiyo ukweli mchungu. Nenda kwenye website kaisome hiyo taasisi inayotoa tuzo, utanielewaIngekua kweli ulichokiandika,hakuna maana ya kuita ni tuzo.Zingeitwa ni vitu vya kutambua ushiriki wa muhusika aliyepewa.
Sahihi Ana copy WikipediaYericko Nyerere ni mwandishi wa intelejensia uchwara
Mama yako alidandia wheel barrow?Mama hajakuza ligi ya Tanzania. Alichofanya mama ni kudandia treni kwa mbele.