Yericko Nyerere atwaa Tuzo ya Mwandishi Bora ya Vitabu Barani Afrika 2024

Yericko Nyerere atwaa Tuzo ya Mwandishi Bora ya Vitabu Barani Afrika 2024

Naungana nawe kumpongeza kwa dhati bingwa wa plagiarism ndugu Yericko Nyerere kwa kutwaa hii tuzo. Wewe mfuasi wa Mbowe ungeweza kumpongeza Yeriko bila kuponda serikali inavyosapoti mchezo wa soka. Bila mkono wa serikali ligi ya Tanzania isingekuwa ligi bora Afrika mashariki, kusini na kati ikiwa imepitwa na ligi kuu ya Afrika kusini.
Ubora wa kwenye makaratasi tu
 
Kwa hiyo tuzo apewe Mihangwa?
Hizi tuzo una subscribe kwanza na kulipa kiasi cha fedha kama kiingilio. As long as umelipa kiingilio huwezi kukosa tuzo hata moja. Wakikunyima it means mwaka kesho huji na wanapoteza mapato.

Sawa na washindi wa maonyesho ya Nanenane au TANTRADE, hakuna anayekosa cheti kwenye category mbalimbali.

Joseph Mihangwa hahitaji upuuzi huo
 
Hizi tuzo una subscribe kwanza na kulipa kiasi cha fedha kama kiingilio. As long as umelipa kiingilio huwezi kukosa tuzo hata moja. Wakikunyima it means mwaka kesho huji na wanapoteza mapato.

Sawa na washindi wa maonyesho ya Nanenane au TANTRADE, hakuna anayekosa cheti kwenye category mbalimbali.

Joseph Mihangwa hahitaji upuuzi huo
Ingekua kweli ulichokiandika,hakuna maana ya kuita ni tuzo.Zingeitwa ni vitu vya kutambua ushiriki wa muhusika aliyepewa.
 
Naungana nawe kumpongeza kwa dhati bingwa wa plagiarism ndugu Yericko Nyerere kwa kutwaa hii tuzo. Wewe mfuasi wa Mbowe ungeweza kumpongeza Yeriko bila kuponda serikali inavyosapoti mchezo wa soka. Bila mkono wa serikali ligi ya Tanzania isingekuwa ligi bora Afrika mashariki, kusini na kati ikiwa imepitwa na ligi kuu ya Afrika kusini.
Mama hajakuza ligi ya Tanzania. Alichofanya mama ni kudandia treni kwa mbele.
 
Hizi tuzo una subscribe kwanza na kulipa kiasi cha fedha kama kiingilio. As long as umelipa kiingilio huwezi kukosa tuzo hata moja. Wakikunyima it means mwaka kesho huji na wanapoteza mapato.

Sawa na washindi wa maonyesho ya Nanenane au TANTRADE, hakuna anayekosa cheti kwenye category mbalimbali.

Joseph Mihangwa hahitaji upuuzi huo
Unakinyongo ww
 
Wakati Serikali ya Tanzania inapoteza pesa kusaidia mchezo wa soka ambao haujawahi kuleta Manufaa yoyote, Bwana Yerricko Nyerere anajipigania binafsi na kuiletea Heshima Nchi yake kila Mwaka.

Ametwaa tena Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Barani Afrika, Tuzo ambayo akina Nyambari Nyangwine na Wenzake hawajawahi kuipata.
Hiyo taasisi toa tuzo inaitwaje inatambulika kimataifa ?
 
Ingekua kweli ulichokiandika,hakuna maana ya kuita ni tuzo.Zingeitwa ni vitu vya kutambua ushiriki wa muhusika aliyepewa.
Huo ndiyo ukweli mchungu. Nenda kwenye website kaisome hiyo taasisi inayotoa tuzo, utanielewa
 
Hiyo taasisi iliyo mpa hiyo tuzo ni ya wapi,isije ikawa ni hizi taasisi za uchochorini?
Sijawahi kuona cha maana anachoandika huyu jamaa
 
Back
Top Bottom