Yericko Nyerere na historia ya African Association

Yericko Nyerere na historia ya African Association

Yericko Nyerere Njoo ujibu tuhuma mkuu
Historia ya Tanganyika nilishaijibu kupitia kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi...
IMG_20221216_105136_513.jpg
 
Histiria sio lazima uwe ulikuwepo wakati wa matukio. Haya unayapata kupitia masimulizi na kujisomea
Hakika, lazima nia ya kujifunza iwepo.

Yericko amewahi kuweka humu picha ya kina mama waliomsindikiza Nyerere uwanja wa ndege kwenye moja ya safari zake nje, Yericko kawatambulisha kimakosa wale kina mama kama watawa wa Maryknoll.
 
Hakika, lazima nia ya kujifunza iwepo.

Yericko amewahi kuweka humu picha ya kina mama waliomsindikiza Nyerere uwanja wa ndege kwenye moja ya safari zake nje, Yericko kawatambulisha kimakosa wale kina mama kama watawa wa Maryknoll.
Gag...
Picha hiyo hapo chini ipo katika kitabu hicho unachokiona:

1672604913197.png

Kulia: Bi. Chiku bint Said Kisusa (mke wa Shariff Abdallah Omar Attas), Bi. Titi Mohamed na mwanzo kushoto ni Bi. Tatu bint Mzee na Julius Nyerere ndiye huyo katikati. Akina mama hawa wanamsindikiza Nyerere Uwanja wa Ndege safari ya kwanza UNO 1955.

1672605190565.jpeg
 
Gag...
Picha hiyo hapo chini ipo katika kitabu hicho unachokiona:

View attachment 2466107
Kulia: Bi. Chiku bint Said Kisusa (mke wa Shariff Abdallah Omar Attas), Bi. Titi Mohamed na mwanzo kushoto ni Bi. Tatu bint Mzee na Julius Nyerere ndiye huyo katikati. Akina mama hawa wanamsindikiza Nyerere Uwanja wa Ndege safari ya kwanza UNO 1955.

View attachment 2466110
Kuamini porojo za Yericko yapaswa uwe na moyo mgumu sana.
 
Back
Top Bottom