Yericko Nyerere na wenzake wenye Mashaka na Lissu waende kwenye Kaburi la JPM halafu wamuulize Tundu Lissu ni Nani? Maana huenda hawamjui vizuri

Yericko Nyerere na wenzake wenye Mashaka na Lissu waende kwenye Kaburi la JPM halafu wamuulize Tundu Lissu ni Nani? Maana huenda hawamjui vizuri

Kuwa wakiki nguli hakumnyimi mtu sifa ya uropokaji ,,,, hii ni inborn Simlaumu, ukweli ni viatu havimtoshi
Kipimo Cha kuropoka ni Nini au Tafsiri yake ni nini?
Mmefundishwa kuficha ujinga kwa lugha tamu!
TAL hatumii lugha ya kuperemba ujinga anasema ulivyo
 
Wakitoka hapo wasogee kwa Benjamini Mkapa baada ya hapo waende kwa mzee wetu Jakaya hana baya yule mzee atawambia uwezo wa Lissu
 
Lissu huwezi kumpoza na virushwa vya kipumbavu lissu kwenye hii nchi angeamua uwaziri ingekua chap nikuunga mkono juhudi ila hakutaka
 
Halafu anatokea Mshamba mmoja anayeishi Kigamboni maporini anakuambia Lissu Msaliti…. Anachezwa na Msigwa kupitia CCM na inachezeshwa na Dola, Lissu amekaa vikao sana Nairobi kuihujumu chadema….. hivi huyu dogo anaakili sawa sawa kweli?

Unawezaje kumuita Lissu msaliti ?

JPM alituma hadi viongozi wa Dini kumwambia Lissu aache kuisema Serikali kwani Rais anajenga nchi iliyoharibika, Lissu aliwajibu hatoacha kuikosoa Serikali kwa kuwa ni kazi yake . JPM alipoona dogo hatulii ndio akataka kumuondoa mazima
Wakati huo Yericko anapost mambo ya Ulozi akiwa porini huko kigamboni….leo eti Lissu hafai……. Jamaa kiazi kabisa

Tufike mahali Chadema tuwe na maturity na tukubali kuwa nyakati zinabadilika na wasomi wanaongezeka mabadiliko yatakayo accomodate mawazo mengi ni lazima , tusiwe watu wa zidumu fikra Za mwenyeki….. sio muda wake
 
Halafu anatokea Mshamba mmoja anayeishi Kigamboni maporini anakuambia Lissu Msaliti…. Anachezwa na Msigwa kupitia CCM na inachezeshwa na Dola, Lissu amekaa vikao sana Nairobi kuihujumu chadema….. hivi huyu dogo anaakili sawa sawa kweli?

Unawezaje kumuita Lissu msaliti ?

JPM alituma hadi viongozi wa Dini kumwambia Lissu aache kuisema Serikali kwani Rais anajenga nchi iliyoharibika, Lissu aliwajibu hatoacha kuikosoa Serikali kwa kuwa ni kazi yake . JPM alipoona dogo hatulii ndio akataka kumuondoa mazima
Wakati huo Yericko anapost mambo ya Ulozi akiwa porini huko kigamboni….leo eti Lissu hafai……. Jamaa kiazi kabisa

Tufike mahali Chadema tuwe na maturity na tukubali kuwa nyakati zinabadilika na wasomi wanaongezeka mabadiliko yatakayo accomodate mawazo mengi ni lazima , tusiwe watu wa zidumu fikra Za mwenyeki….. sio muda wake
Lissu angeamua kulamba viatu vya watawala nchi hii angeshakua Jaji au mtu yoyote waziri wa sheria au mwanasheria mkuu wa serikali lakini mwamba hakutaka huo ujinga aliamua kusimamia haki
 
Leo hii magamba wamegeuka na kumtetea Mbowe?wakati kila siku walikuwa wanamlaumu kwa kuwa mwenyekiti muda mrefu?
Hakika Lisu ni tishio sana
 
Kipimo Cha kuropoka ni Nini au Tafsiri yake ni nini?
Mmefundishwa kuficha ujinga kwa lugha tamu!
TAL hatumii lugha ya kuperemba ujinga anasema ulivyo
Friji haligandishi,,,, anatakiwa awe na kifua
 
Kwema Wakuu!

Unaweza kuishi na mtu Miaka nenda Rudi lakini usiujue uwezo wake.

Kimichezo, huwezi kujua uwezo wa mshambuliaji wa timu yenu zaidi ya Beki anayemkaba Mshambuliaji wenu.
Yaani Mabeki wa Barcelona hawawezi uelewa uwezo wa Messi uwanjani kuliko Mabeki wa timu zingine kama Real Madrid.

Huwezi Jua Msimamo na uwezo wa Mkeo au mumeo kukataa na tamaa yake zaidi ya wale wanaomtongoza Mumeo au Mkeo.

Yericko Nyerere na wenzake hawana uwezo wowote wa kuelezea uwezo wa Tundu Lisu.

Watu pekee wanaomjua Tundu Lisu uwezo wake namba Moja kabisa ni Hayati John pombe Magufuli na washauri wake wote.
Hao wanaweza wakakueleza Tundu Lisu ni mtu wa aina gani.

Kipindi cha awamu ya tano wakati nchi nzima ikiwa imetulizwa, ikatulia, uwanja ukiwa umeinama, wapinzani wakiwa hoi dhidi ya JPM na team yake.

Lisu ndiye aliyekuwa kinara yaani kama kwenye Filamu tungesema Mhusika Mkuu katika mapambano ya awamu ya tano walikuwa ni Lisu Vs JPM.
Na mechi ilichezwa dakika Mia na ishirini Mpaka Penati.

Lisu licha ya kushambuliwa vikali lakini hakujisalimisha,

Ilifika hatua nchi ikabaki na watu wawili tuu. Yaani JPM Vs Lisu.

Sisi wengine akiwemo Yericko na wenzake tulibaki mashimoni kama panya Buku, tukigeuka Keyboard warriors huku tukimwambia Maxence Melo asije akatuuza 😃😃

Usalama wa taifa, serikali ndio inajua uwezo wa Lisu kwa sababu wao ndio wanakuwa wanakinzana mara kwa mara. Lakini sio kina Yericko.

Kwa Sisi watunzi wa simulizi na filamu, Lisu tungempa uwezo wa ajabu na ikiwezekana kumnusuru kivyovyote ili mwisho Adui kuu akutane na Star.

Nishamaliza
Machadema mtauana mwaka huu 😆😆

Huku mwamba kule Mbelgiji wa Amsterdam 😆 😆 😆 👇 👇

View: https://x.com/DianaJohn2224/status/1867921078267625953?t=YL6qGiHtvyjSJCxBczDkVw&s=19
 
Kila mtu abaki na mitano yake.
CCM mitano tena Mama anarusha.
CHADEMA wabaki na Mbowe mitano tena.

Kila mtu ashinde mechi zake.

Tatizo CHADEMA inawauma kauli ya Mama mitano tena
Inawauma Machadema kutumia falsafa za CCM kwenye mambo yenu.

By the way mbona ya chumbani kwenu mnayawwka wazi na nyie ndio Huwa mnajifanya kutoa ushauri wa kumaliza mambo kwenye vikao? 😆😆😆

Mbelgiji wa Amsterdam ametusaidia kuyajua ya wanafiki
 
Inawauma Machadema kutumia falsafa za CCM kwenye mambo yenu.

By the way mbona ya chumbani kwenu mnayawwka wazi na nyie ndio Huwa mnajifanya kutoa ushauri wa kumaliza mambo kwenye vikao? 😆😆😆

Mbelgiji wa Amsterdam ametusaidia kuyajua ya wanafiki

Sisi tunataka Mbowe aendelee kwani kaitoa CHADEMA Mbali lakini hatutaki CCM iendelee hatujui wapi imetoka na nchi hii
 
Kwema Wakuu!

Unaweza kuishi na mtu Miaka nenda Rudi lakini usiujue uwezo wake.

Kimichezo, huwezi kujua uwezo wa mshambuliaji wa timu yenu zaidi ya Beki anayemkaba Mshambuliaji wenu.
Yaani Mabeki wa Barcelona hawawezi uelewa uwezo wa Messi uwanjani kuliko Mabeki wa timu zingine kama Real Madrid.

Huwezi Jua Msimamo na uwezo wa Mkeo au mumeo kukataa na tamaa yake zaidi ya wale wanaomtongoza Mumeo au Mkeo.

Yericko Nyerere na wenzake hawana uwezo wowote wa kuelezea uwezo wa Tundu Lisu.

Watu pekee wanaomjua Tundu Lisu uwezo wake namba Moja kabisa ni Hayati John pombe Magufuli na washauri wake wote.
Hao wanaweza wakakueleza Tundu Lisu ni mtu wa aina gani.

Kipindi cha awamu ya tano wakati nchi nzima ikiwa imetulizwa, ikatulia, uwanja ukiwa umeinama, wapinzani wakiwa hoi dhidi ya JPM na team yake.

Lisu ndiye aliyekuwa kinara yaani kama kwenye Filamu tungesema Mhusika Mkuu katika mapambano ya awamu ya tano walikuwa ni Lisu Vs JPM.
Na mechi ilichezwa dakika Mia na ishirini Mpaka Penati.

Lisu licha ya kushambuliwa vikali lakini hakujisalimisha,

Ilifika hatua nchi ikabaki na watu wawili tuu. Yaani JPM Vs Lisu.

Sisi wengine akiwemo Yericko na wenzake tulibaki mashimoni kama panya Buku, tukigeuka Keyboard warriors huku tukimwambia Maxence Melo asije akatuuza 😃😃

Usalama wa taifa, serikali ndio inajua uwezo wa Lisu kwa sababu wao ndio wanakuwa wanakinzana mara kwa mara. Lakini sio kina Yericko.

Kwa Sisi watunzi wa simulizi na filamu, Lisu tungempa uwezo wa ajabu na ikiwezekana kumnusuru kivyovyote ili mwisho Adui kuu akutane na Star.

Nishamaliza
Agent number 2 down? No not down now in kenya hellow agent 1 down yaa confirmed rtn Tz
 
Back
Top Bottom