Yericko ogopa sana teknolojia. Njoo ujisahihishe hapa

Yericko ogopa sana teknolojia. Njoo ujisahihishe hapa

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Yericko Nyerere

Pitia hapa ujifunze kuwa mkweli.

20241224_233506.jpg


Kisha soma na hii hapa
20241224_233316.jpg


Kukemea uovu kunakofanywa na Lisu ni kutoa siri za chama? Hebu tueleze hapa umekuwa na ushirika na mfumo kwa muda gani sasa?
 
Yericko na wenzie sasa hivi ndio wanashtuka kuwa kuna “mambo ya ndani/siri za Chama”?

Kumshambulia Lissu wanaona sawa ili akijibu mapigo wanaona kama vile anatoa siri za chama. Kumbe kuna siri chafu za Chama ambazo hawataki tujue?

Silaha wanazotumia kushambuliana ndio hizohizo CCM wataziscreenshot na kuzitumia next year kuiangamiza CHADEMA kwenye uchaguzi mkuu
 
Siri za Chama akiongea Tundu lisu tu.

Wenje alivyoongea kuwa Lissu aliomba radhi kwenye kikao na video ya ushahidi ipo. Hiyo haikuwa sehemu ya siri za Chama?

Mbona huyo Yerico hakumkemea Wenje kwa kitendo hicho?

Halafu kwanini Chama kiwe na siri za viongozi wala rushwa??

Kwanini kitendo cha kuwa-expose viongozi wala rushwa kionekane ni ukiukwaji wa faragha za Chama?

Haoni kwamba anatoa tafsiri kuwa Chama kinasapoti rushwa zinazoendelea chinichini na ndio maana inapotokea kiongozi mmoja anawaumbua wanamlaumu kwa hoja za "anatoa siri za chama"??
 
Yericko Nyerere njoo huku ujibu hoja...

Ni siri gani hizo ambazo zilikuwa siri kati yenu viongozi na sasa Tundu Lissu anazitoa..??

Hizi za nyie kura rushwa ya mama Abdul kupitia kwa mawane Abdul...?

Kama hii ilikuwa siri, basi nyie nyote ni wajinga na waoumbavu sana..?

Hamfai kuwa viongozi asilani...

Chama hakihitaji kuwa na kiongozi au viongozi wala rushwa kwa sbb rushwa ndiye adui wa haki namba moja...

Pia rushwa hupofusha macho na ufahamu wa viongozi...

Ona kwa sasa mlivyo baada ya siri zenu za rushwa kuwa wazi. Ni kama vile fahamu zenu na akili zenu zote zimeruka...!!
 
Yericko Nyerere

Pitia hapa ujifunze kuwa mkweli.

View attachment 3184304

Kisha soma na hii hapa
View attachment 3184305

Kukemea uovu kunakofanywa na Lisu ni kutoa siri za chama? Hebu tueleze hapa umekuwa na ushirika na mfumo kwa muda gani sasa?
Yeriko ni mwepesi sana kichwani kama Steven Nyerere. Wote hawa ni low battery, ndio maana wanatumia majina ya watu. Anapenda kujipambanua kuwa ni mwandishi wa vitabu kumbe kilaza mkubwa.
 
Yeriko ni mwepesi sana kichwani kama Steven Nyerere. Wote hawa ni low battery, ndio maana wanatumia majina ya watu. Anapenda kujipambanua kuwa ni mwandishi wa vitabu kumbe kilaza mkubwa.
Vitabu vyake ni copy & paste maandishi ya watu. Kitabu cha ujasusi kakopi na kupesti makala nyingi sana za Mzee Mihangwa.
 
Ameingia kwenyemfumo. Enewei, mimi namsupport mbowe kwasababu ni mjomba wangu na kwakuwa hicho kikoba chake ni cha ukoo wetu, mkichangaga hela tunakuja kuzipiga hapa machame kila christmass.
 
Back
Top Bottom